Orodha ya Hadithi

Hakika matendo yote huzingatiwa nia, na hakika kila mtu hulipwa kwa lile alilonuia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayezua katika dini yetu hii, yale yasiyokuwemo, basi yatarejeshwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Uislamu ni ushuhudie kuwa hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu, nakuwa Muhammadi ni Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, na usimamishe sala, na utoe zake, na ufunge Ramadhani, na uhiji katika nyumba tukufu ikiwa utapata uwezo wa kuifikia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Umejengwa uislamu kwa mambo matano
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Basi tambua kuwa haki za Mwenyezi Mungu kwa waja wake ni wamuabudu yeye na wala wasimshirikishe na kitu chochote, na haki za waja kwa Mwenyezi Mungu asimwaadhibu yeyote ambaye hajamshirikisha yeye na chochote
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna mtu yeyote atakayeshuhudia kuwa hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu nakuwa Muhammadi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa ukweli toka moyoni mwake, isipokuwa Mwenyezi Mungu atamharamishia moto
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayesema: Laa ilaah illa llaah, na akayapinga yote yanayoabudiwa kinyume na Mwenyezi Mungu itakuwa haramu mali yake na damu yake, na hesabu yake itakuwa juu ya Allah
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yeyote atakaye kufa hali ya kuwa hamshirikishi Mwenyezi Mungu na kitu chochote ataingia peponi, na atakaye kufa akiwa anamshirikisha Mwenyezi Mungu na kitu chochote ataingia motoni
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayekufa hali yakuwa anaomba kinyume na Mwenyezi Mungu mungu mwingine, ataingia motoni
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika wewe utaiendea jamii ya watu wa kitabu (Mayahudi na Wakristo), utakapowajia basi waite kushuhudia kuwa hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu, nakuwa Muhammadi ni Mjumbe wa Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mtu atakayepata furaha zaidi ya uombezi wangu siku ya Kiyama, ni yule atakayesema Laa ilaaha illa llah (Hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu), kwa kutakasa nia toka moyo mwake au nafsi yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Imani ni zaidi ya vitengo sabini au zaidi ya sitini, bora yake ni kauli ya Laa ilaaha illa llaah, na ya chini yake ni kuondoa udhia barabarani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilimuuliza Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake-: Ni dhambi ipi kubwa zaidi mbele ya Allah? Akasema: "Ni wewe kumuwekea Mwenyezi Mungu mshirika, na hali yeye ndiye aliyekuumba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mimi nimetosheka (sihitaji) washirika kushirikishwa nao, yeyote mwenye kufanya jambo akashirikisha ndani yake mwingine pamoja nami, nitamuacha na ushirika wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Umma wangu wote wataingia peponi isipokuwa atakaye kataa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msichupe mipaka katika kunisifu, kama walivyochupa mipaka Wakristo kwa mwana wa Mariam; Bila shaka, mimi ni mja wake, na semeni: Mja wa Mwenyezi Mungu na Mjumbe wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hawezi kua na imani mmoja wenu mpaka nipendeke kwake kuliko wazazi wake na mwanaye na watu wote
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Niacheni na vile nilivyo kuachieni, hakika waliangamia waliokuwa kabla yenu kwa sababu ya maswali mengi na kuwapinga mitume wao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Fikisheni kutoka kwangu japokuwa aya moja, na simulieni kuhusu wana wa Israeli wala hakuna ubaya, na yeyote atakayenisemea uongo mimi kwa makusudi basi na ajiandae, makazi yake ni motoni
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kwa hakika imefikia wakati ambao mtu atafikiwa na hadithi yangu akiwa amekaa kwenye tandiko lake na akisema: Hakika kitakachotuhukumu kati yetu ni kitabu cha Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Laana za Mwenyezi Mungu ziwe juu ya Mayahudi na Maswara, waliyafanya makaburi ya Manabii wao kuwa ni Misikiti
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mwenyezi Mungu, usilifanye kaburi langu kuwa ni sanamu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msiyafanye majumba yenu kuwa makaburi, na wala msilifanye kaburi langu kuwa sikukuu, na nitakieni rehema, kwani dua zenu hunifikia mahala popote muwapo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Watu hao anapokufa kwao mja mwema, au mwanaume mwema, wanajenga juu ya kaburi lake mahala pakuabudia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika mimi ninajivua dhima kwa Mwenyezi Mungu, kwa mimi kuwa na mwandani (Mtu mwenye mapenzi ya dhati zaidi) miongoni mwenu, hakika Allah Mtukufu kanifanya mimi kuwa mwandani wake, kama alivyomfanya Ibrahim kuwa mwandani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hivi sikutumi katika yale aliyonituma kwayo Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake-? (Nenda) Kamwe usiache sanamu au picha ila uifute, wala kaburi refu kupita kiasi isipokuwa umelisawazisha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kuamini mikosi ni shirki, Kuamini mikosi ni shirki, Kuamini mikosi ni shirki, alisema hivyo mara tatu", Na hakuna yeyote miongoni mwetu isipokuwa ana chembe ya hilo, isipokuwa Mwenyezi Mungu huliondoa kwa kumtegemea
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Si miongoni mwetu atakayetafuta kujua habari za mikosi au akafanyiwa, au akafanya ukuhani au akafanyiwa, au akaroga au akarogewa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna kuambukizana maradhi, wala kutuhumu mikosi kwa sababu ya ndege, na kinachonipendeza zaidi ni kujipa matumaini". Wakasema: Ni nini matumaini? Akasema: "Ni neno jema
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
"Hivi mnajua kuwa Mola wenu amesema nini?" Wakasema: Mwenyezi Mungu na Mtume wake ndiyo wanajua zaidi, akasema: "Watu wangu kwenye kuteremka Mvua wamegawanyika makundi mawili kuna waumini na makafiri
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayetundika hirizi atakuwa kafanya ushirikina
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika makombe, na hirizi, na limbwata, ni ushirikina
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayemuendea mpiga ramli akamuuliza kuhusu lolote hazitokubaliwa sala zake siku arobaini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atayeapa kinyume na Mwenyezi Mungu basi atakuwa amekufuru au kafanya ushirikina
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayeiapia amana basi huyo si miongoni mwetu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Wallahi – akipenda Mwenyezi Mungu - sitokula kiapo cha jambo fulani isipokuwa ninapoona kilichobora zaidi basi huwa ninatoa kafara ya kiapo changu kisha ninafanya lililo bora zaidi.”
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msiseme: Ni kwakutaka Mwenyezi Mungu na fulani, lakini semeni: Akitaka Mwenyezi Mungu kisha akataka fulani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika ninachokiogopea zaidi juu yenu ni shirki ndogo" Wakasema: Ni ipi shirki ndogo ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu? Akasema: "Ni riyaa (kujionyesha)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hatomtuhumu mtu mwenzake kwa machafu, na wala hatomtuhumu kwa ukafiri, isipokuwa hurejea kwake, ikiwa ndugu yake hatokuwa hivyo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mambo mawili kwa watu hayo kwao ni ukafiri: Kutiana doa katika nasaba (ukoo), na kulia kwa kumuomboleza maiti
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msikae juu ya makaburi, na wala msisali kwa kuyaelekea
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hawaingii Malaika nyumba ambayo ndani yake kuna mbwa au picha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hawafuatani Malaika na jamaa ambao ndani yao kuna mbwa au kengele
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Shetani humjia mmoja wenu na akamwambia: Ni nani aliumba kitu fulani? Mpaka anafikia kusema ni nani alimuumba Mola wako? Basi ikiwa atafikia kuuliza hivyo basi na ajikinge kwa Mwenyezi Mungu na awache kuuliza maswali hayo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayemfanyia uadui kipenzi changu basi nitakuwa nimemtangazia vita, na hatojiweka karibu kwangu mja kwa kitu ninachokipenda katika vile nilivyomfaradhishia juu yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Shikamaneni na kumcha Mwenyezi Mungu, na usikivu na utii, hata kama (mzungumzaji) atakuwa mtumwa tena muhabeshi (Muethiopia), na mtakuja kuona baada yangu hitilafu nyingi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayejitoa katika utiifu, na akasambaratisha umoja akafa, atakuwa amekufa kifo cha zama za ujinga
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna mja yeyote atakayepewa usimamizi na Mwenyezi Mungu kwa raia, akafa siku atakayokufa hali yakuwa aliwafanyia udanganyifu raia wake, isipokuwa Mwenyezi Mungu atamharamishia pepo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Watakuja watawala, mtayajua baadhi ya matendo yao kuwa yanakwenda sawa na sheria, na mengine mtayakemea (kwa kuwa yako nje ya sheria) atakayelijua hilo ataepukana na dhima, na atakayekemea atasalimika, lakini atakayeridhia na akawafuata
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika utakuja kutokea uchoyo na kujipendelea baada yangu na mambo msiyoyajua (uzushi)" Wakasema: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu unatuamrisha nini? Akasema: "Mtekeleze haki ya wajibu kwenu, na mumuombe Allah haki yenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kila mmoja miongoni mwenu ni mchunga hivyo ataulizwa kuhusu raia wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mola wangu! Yeyote atakayesimamia lolote katika mambo ya umma wangu akawatia tabu, basi naye mtie tabu, na yeyote atakayesimamia lolote katika mambo ya umma wangu akawahurumia, basi naye mhurumie
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Dini ni nasaha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ikiwa utawaona wenye kufuata Aya zenye kutatiza basi hao ndiyo ambao Mwenyezi Mungu amewataja katika aya
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yeyote miongoni mwenu atayeona jambo ovu na baya basi aliondoshe kwa mkono wake, ikiwa hawezi kuliondoa kwa mkono wake basi aliondoe kwa ulimi wake, na ikiwa hawezi kuliondoa kwa ulimi basi na alichukie kutoka moyoni mwake, na kuchukia moyoni ni udhaifu wa imani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mfano wa aliyesimama katika mipaka ya Mwenyezi Mungu na mwenye kuingia ndani yake, ni kama mfano wa watu waliotengeneza boti (safina)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayelingania katika uongofu, atakuwa kwake kapata malipo mfano wa malipo ya aliyemfuata, halipunguzi hilo chochote katika malipo yao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayeelekeza katika jambo la kheri basi atapata malipo mfano wa malipo ya mfanyaji wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ninamuapa Mwenyezi Mungu, ikiwa Mwenyezi Mungu atamuongoza mtu mmoja kupitia kwako, hilo ni bora zaidi kwako kuliko ngamia wekundu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakaye jifananisha na watu fulani basi na yeye ni miongoni mwao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mtu huwa katika mwenendo wa rafiki yake wa karibu, basi na aangalie mmoja wenu ni nani anayemfanya kuwa rafiki yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Halitoacha kuendelea kudhihiri kundi katika Umma wangu, mpaka iwajie amri ya Mwenyezi Mungu nao wakiwa katika kudhihiri huko
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Litafikia jambo hili ulipofika usiku na mchana, na wala hatoacha Mwenyezi Mungu nyumba ya mjini wala ya kijijini isipokuwa ataiingiza Mwenyezi Mungu dini hii
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ulianza Uislamu ukiwa ni mgeni na utarudi kuwa mgeni kama ulivyo anza, basi shangwe kwa wale wanaoonekana kuwa ni wageni
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Namuapa yule ambaye nafsi ya Muhammadi iko mkononi mwake, hatonisikia yeyote katika umma huu, Myahudi wala Mkristo, kisha akafa haliyakuwa hajayaamini yale niliyotumwa kwayo, isipokuwa atakuwa ni katika watu wa motoni
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Enyi watu, tahadharini sana na kuchupa mipaka katika dini, kwani kilichowaangamiza waliokuwa kabla yenu ni kuchupa mpaka katika dini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Wameangamia wenye kufanya uzito katika mambo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mayahudi wameghadhibikiwa, na Wakristo ni wapotofu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Aliandika Mwenyezi Mungu makadirio ya viumbe kabla ya kuumba Mbingu na Ardhi kwa zaidi ya miaka elfu hamsini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ametuhadithia Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- naye ni mkweli mwenye kukubaliwa: "Kwa hakika mmoja wenu hukusanywa umbile lake kwenye tumbo la mama yake mchana arobaini na nyusiku arobaini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Pepo iko karibu mno kwa mmoja wenu kuliko umbali wa kanyagio la kiatu na kisigino chake, na moto pia hivyo hivyo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Moto umezingirwa na yenyekutamanisha, na Pepo imezingirwa na yenyekuchukiza
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mwenyezi Mungu alipoumba Pepo na Moto alimtuma Malaika Jibril -Amani iwe juu yake- aende peponi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Moto wenu wa Dunia ni sawa na sehemu tu ya sabini itokanayo na moto wa Jahannam
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ataikamata Mwenyezi Mungu ardhi, na ataikunja mbingu kwa mkono wake wa kulia kisha atasema: Mimi ndiye Mfalme; wako wapi wafalme wa ardhi?
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Watu wenye adhabu kali zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu siku ya Kiyama, ni wale wenye kutengeneza mfano wa vile alivyoviumba Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Namuapa yule ambaye nafsi yangu iko mkononi mwake, hivi karibuni atakuteremkieni Issa mwana wa Mariam atakuwa hakimu na muadilifu, atavunja misalaba, na ataua nguruwe, na ataweka kodi (Jizia), na mali itabugujika (itakuwa nyingi) mpaka itafikia mahali hakuna yeyote atakayeikubali
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Sema: Laa ilaaha illa llahu, nitakutolea ushuhuda wa kusilimu kwa maneno hayo siku ya Kiyama
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Birika langu ukubwa wake ni sawa na mwendo wa mwezi mzima, maji yake ni meupe kuliko maziwa, na harufu yake ni nzuri kuliko ya Miski
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mauti yataletwa yakiwa kama dume la Kondoo mwenye rangi mchanganyiko ya weusi na weupe
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Lau kama nyinyi mngelimtegemea Mwenyezi Mungu ukweli wa kumtegemea, basi angekuruzukuni kama anavyomruzuku ndege, anatoka asubuhi akiwa na njaa anarudi mchana akiwa kashiba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Neema mbili wamepoteza thamani yake watu wengi: Afya na wakati
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amsalimie aliyepanda anayetembea, na anayetembea aliyekaa, na wachache kwa wengi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Enyi waja wangu hakika Mimi nimeharamisha dhulma juu ya Nafsi yangu na nikaifanya kuwa ni haramu baina yenu, basi msidhulumiane
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ogopeni dhulma, kwa hakika dhulma ni giza siku ya kiyama. Na ogopeni tamaa, kwa hakika tamaa iliwaangamiza walio kuwepo kabla yenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu humpa muda dhalimu, mpaka akija kumuadhibu hambakishi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu amepanga mema na mabaya, kisha akalibainisha hilo, atakayekusudia kufanya jema akawa hakulifanya Mwenyezi Mungu humuandikia jema moja kamili, ikiwa atapania na akalifanya Mwenyezi Mungu humuandikia kwake mema kumi mpaka ziada ya mia saba, mpaka kufikia nyongeza ya juu zaidi, na atakayekusudia jambo baya na akawa hakulifanya Mwenyezi Mungu humuandikia kwake jema moja kamili, ikiwa atapania na akalifanya Mwenyezi Mungu humuandikia kwake dhambi moja
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yeyote atakayefanya wema katika Uislamu basi hatoadhibiwa kwa yale aliyoyatenda katika zama za ujinga, na yeyote atakaye tenda maovu akiwa katika Uislamu ataadhibiwa kwa makosa yake ya mwanzo na ya mwisho
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika haya unayoyasema na kuwalingania watu ni mambo mazuri, ikiwa utatwambia juu ya haya tuliyoyafanya kama yana kafara
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Umekwisha pokea malipo yako kutokana na mema uliyoyatanguliza
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kwa hakika Mwenyezi Mungu hamdhulumu muumini kwa jema alilofanya, huandikiwa thawabu za wema wake hapa Duniani na hulipwa thawabu hizo huko Akhera
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
“Ewe mwanadam, maadamu unaniomba na kunitumainia, nitakusamehe uliyo nayo wala sitojali
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mja alifanya dhambi akasema: Ee Mola wangu nisamehe dhambi yangu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna mtu yeyote atakayetenda dhambi, kisha akasimama akajitwaharisha, kisha akaswali, kisha akamuomba Allah msamaha, isipokuwa Mwenyezi Mungu humsamehe
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu ananyoosha mkono wake wakati wa usiku ili amsamehe mkosefu wa mchana, na ananyoosha mkono wake wakati wa mchana ili amsamehe mkosaji wa usiku, mpaka jua litakapochomoza kutoka magharibi yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Anateremka Mola wetu Mlezi -Aliyetakasika na kutukuka- katika mbingu ya dunia pindi inapobakia theluthi ya mwisho ya usiku
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika halali iko wazi, na hakika haramu iko wazi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msiwatukane Maswahaba wangu, kwa sababu, lau kama yeyote kati yenu atatoa dhahabu sawa na (mlima) Uhud (katika njia ya Mwenyezi Mungu), basi haiwezi kuwa sawa na theluthi mbili ya kilo ya mmoja wao wala nusu yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe kijana, hakika mimi ninakufundisha maneno, muhifadhi Mwenyezi Mungu naye atakuhifadhi, muhifadhi Mwenyezi Mungu utamkuta uendako, utakapoomba basi muombe Mwenyezi Mungu, na utakapotaka msaada basi taka msaada kwa Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nieleze ndani ya Uislamu kauli ambayo sitomuuliza yeyote zaidi yako, akasema: "Sema: Nimemuamini Mwenyezi Mungu, kisha kuwa na msimamo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mfano wa waumini katika kupendana kwao na kuhurumiana kwao na kufanyiana kwao upole, ni kama mfano wa kiwiliwili, kinapopata tabu kiungo kimoja vinaitana kwa ajili ya hicho kimoja viungo vyote kwa kukesha na maumivu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayetawadha na akaufanya vizuri udhu wake, hutoka makosa yake ndani ya mwili wake mpaka yakatiririka kutoka chini ya kucha zake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ni safi Maji yake na ni halali mizoga yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Maji yatakapokuwa ni kulataini (Mapipa mawili) basi hayashiki uchafu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
“Mnapoingia chooni, msielekee Kibla, wala msikipe mgongo, bali elekeeni Mashariki au Magharibi.”
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Asishike mmoja wenu utupu wake kwa mkono wake wa kulia akiwa anakidhi haja ndogo, na asijifute haja ndogo au kubwa kwa mkono wake wa kulia na asipumulie ndani ya chombo anachonywea
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapoamka mmoja wenu kutoka usingizini mwake basi na apenge kwa maji mara tatu, kwani Shetani hulala ndani ya tundu zake za pua
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akiosha, au akioga, kwa kibaba kimoja mpaka vibaba vitano, na anatawadha kwa kibaba kimoja
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Haikubali Mwenyezi Mungu swala ya mmoja wenu atakapotengukwa udhu mpaka atawadhe
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba mtu mmoja alitawadha, akaacha sehemu ndogo saizi ya kucha miguuni kwake, akaiona Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake akasema: "Rudi katawadhe vizuri udhu wako" Akarudi, kisha akaswali
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ole wao (wasiofikisha maji katika) visigino (watakua na adhabu ya) moto, enezeni maji ya udhu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akitawadha kila wakati wa swala
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alitawadha Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- mara moja moja
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Anasimulia kuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alitawadha mara mbili mbili
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayetawadha mfano wa udhu wangu huu, kisha akasali rakaa mbili ambazo haizungumzishi ndani yake nafsi yake, basi Allah atamsamehe madhambi yake yaliyotangulia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapotawadha mmoja wenu basi na aweke maji puani mwake kisha ayapenge, na atakayestanji kwa mawe basi afanye yawe witiri
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika hao wawili wanaadhibiwa, na hawaadhibiwi kwa makosa makubwa, ama mmoja wao alikuwa hajistiri na mkojo, na ama mwingine alikuwa akitembea kwa kuchonganisha watu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume Rehema na amani ziwe juu yake anapoingia msalani anasema: "Allaahumma inniy Auudhubika minal khubuthi wal khabaa ithi" (Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi ninajikinga kwako kutokana na mashetani wa kike na mashetani wa kiume)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba Mtume rehema na amani ziwe juu yake alikuwa anapotoka kukidhi haja anasema: "Ghufraanaka" Msamaha unatoka kwako
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mswaki ni usafi wa kinywa, humridhisha Mola
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake anapoamka usiku anasafisha kinywa chake kwa mswaki
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Laiti nisingeliogopea uzito kwa waumini -au kwa umma wangu-; ningeliwaamrisha kupiga mswaki kila wakati wa swala
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ni haki kwa kila muislamu aoge katika kila siku saba walau siku moja, aoshe ndani yake kichwa chake na mwili wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mambo ya kimaumbile ni matano: Kutairi, na kunyoa sehemu za siri, na kupunguza masharubu, na kupunguza kucha na kunyofoa nywele za kwapa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilikuwa ni mtu mwenye kutokwa na madhii kwa wingi na nilikuwa nikiona haya kumuuliza Mtume Rehema na amani ziwe juu yake kutokana na nafasi ya binti yake kwangu, nikamuamrisha Mikidadi bin Aswadi, akamuuliza, akasema: "Aoshe tupu yake na atawadhe
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume Rehema na amani ziwe juu yake anapooga kwa ajili ya janaba, anaosha mikono yake, na anatawadha udhu wake ule wa swala, kisha anaoga
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika ilikuwa inakutosheleza kupiga kwa mikono yako hivi" Kisha akapiga kwa mikono yake miwili chini ya ardhi mpigo mmoja, kisha ukapaka mkono wa kushoto juu ya mkono wa kulia, na juu ya viganja vyake na uso wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ziache, kwani hakika mimi nimezivaa zikiwa safi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
hakika hilonitatizolinatokananamshipawakizazikukatika, lakini acha swala kwa kiasi cha siku ulizokuwa ukipata hedhi ndani yake, kisha oga na swali
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapo hisi mmoja wenu chochote tumboni kwake, akapata wasi wasi, je kuna chochote kimemtoka au la?, basi asitoke msikitini mpaka asikie sauti, au anuse harufu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapokunywa mbwa katika chombo cha mmoja wenu basi akioshe mara saba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapo sema Muadhini: Allahu Akbaru Allahu Akbaru, kisha akasema mmoja wenu: Allahu Akbaru Allahu Akbaru
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mtakapo msikia muadhini basi semeni mfano wa yale anayo yasema, kisha mnitakie rehema
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayesema wakati anamsikia muadhini: Ninashuhudia kuwa hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu yeye pekee asiye na mshirika nakuwa Muhammadi ni mja wake na ni Mtume wake, nimeridhia kuwa Mwenyezi Mungu ni Mola wangu na Muhammadi kuwa ni Mtume na Uislamu kuwa ni dini, atasamehewa dhambi zake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayesema wakati anasikia adhana: Allaahumma rabba haadhihid da'watit taamma, was swalaatul qaaima, aati Muhammadanil wasiilata wal fadhwiila, wab'ath-huu maqaaman mahmuudanil ladhii wa a'ttah, (Ewe Mwenyezi Mungu, Mola wa wito huu uliotimia, na swala iliyosimama, mpe Muhammad utetezi na fadhila, na umfufue mahali pakusifiwa ulipomuahidi) basi utakuwa halali kwake utetezi wangu siku ya Kiyama
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Dua hairejeshwi (inayoombwa) baina ya adhana na kukimiwa swala
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Je, wasikia wito wa swala?" Akasema: Naam, akasema: "Basi ujibu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hebu nielezeni lau kama Mto ungelikua mlangoni kwa mmoja wenu akioga humo kila siku mara tano, unasemaje kuhusu hilo, kunaweza kubaki na uchafu katika mwili wake?
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ni amali ipi inayopendeka zaidi kwa Mwenyezi Mungu? Akasema: "Ni swala kwa wakati wake", Akasema: Kisha ipi? Akasema: "Kisha wema kwa wazazi wawili" Akasema: "Kisha ipi? "Akasema: "Kupigana Jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna Muislamu yeyote atafikiwa na Sala ya lazima kisha akaufanya vizuri udhu wake, na Unyenyekevu wake na Rakaa zake, isipokuwa inakuwa ni kifuta madhambi yaliyo kuwa kabla ya Sala, kwa muda ambao hajafanya madhambi makubwa, na hivyo ndivyo ilivyo kila siku
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Swala tano, na ijumaa mpaka ijumaa, na Ramadhani hadi Ramadhani, hufuta madhambi yaliyo kati yake, ikiwa mtu atayaepuka madhambi makubwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
(Shikamaneni na) Swala nyinyi na waliomilikiwa na mikono yenu ya kuume
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Waamrisheni watoto wenu kuswali nao wakiwa watoto wa miaka saba, na wapigeni kwa ajili yake nao wakiwa watoto wa miaka kumi, na watenganisheni baina yao katika malazi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu: Nimeigawa swala baina yangu na mja wangu nusu mbili, na mja wangu ana haki ya kupata alichooomba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika ahadi iliyopo kati yetu na wasiokuwa waislamu ni sala, na atakayeiacha sala basi huyo ni kafiri
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika kilicho kati ya mtu na ushirikina na ukafiri ni kuacha swala
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Bilali, simamisha swala, tupe raha kwayo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Allaahumma baaid bainiy -Ewe Mwenyezi Mungu weka mbali baina yangu- wa baina khatwaayaaya -na baina ya makosa yangu- kamaa baa a'tta bainal mashriqi wal maghribi -kama ulivyoweka mbali baina ya mashariki na magharibi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- Alikuwa akinyanyua mikono yake usawa wa mabega yake anapofungua swala,
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hana swala yeyote ambaye hakusoma sura kifunguzi cha kitabu (suratul faatiha)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Rudi kaswali, kwani wewe hujaswali
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Namuapa yule ambaye nafsi yangu iko mkononi mwake, hakika mimi ndiye mtu niliyekaribu zaidi kwenu nyinyi swala yangu kufanana na swala ya Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake-, bila shaka hii ndio ilikuwa swala yake mpaka alipoondoka duniani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nimeamrishwa nisujudu kwa viungo saba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mahala pa karibu zaidi anapokuwa Mola Mlezi na mja ni katikati ya usiku wa mwisho
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika nyinyi mtamuona Mola wenu kama mnavyouona mwezi huu, hamtokingwa katika kumuona kwake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba Mtume rehema na amani ziwe juu yake alisoma katika rakaa mbili za (sunna ya) Alfajiri {Qul yaa ayyuhal kaafiruun} na {Qul huwallaahu ahad}
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayeswali (wakati) wa baridi mbili ataingia peponi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayeswali swala ya Asubuhi basi huyo yuko katika dhima ya Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayeacha swala ya Lasiri basi yameporomoka matendo yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayeisahau swala, basi aiswali atakapoikumbuka, haina kafara nyingine isipokuwa hiyo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika swala nzito zaidi kwa wanafiki ni swala ya Ishaa na swala ya Alfajiri, na lau kama wangejua (malipo) yaliyomo, basi wangeziendea hata kwa kutambaa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- anaponyanyua mgongo wake kutoka katika rukuu anasema: "Sami'allaahu liman hamidah
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikuwa akisema kati ya sijida mbiliL "Rabbigh-firlii, Rabbigh-firlii
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akisema kati ya sijida mbili: "Allaahumma ghfir lii, warhamnii, wa aafiniii, wahdinii, warzuqniii
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Pindi mtakaposwali basi nyoosheni safu zenu, kisha akuongozeni mmoja wenu, atakapotoa takbira basi toeni takbira
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alinifundisha Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake, namna ya tashahudi iletwayo ndani ya sala, na kiganja changu kikiwa kati ya viganja vyake, kama anavyonifundisha sura ndani ya Qur'ani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Allaahumma inniy a'udhubika min adhaabil Qabri, wa min adhaabin naari, wamin fitnatil mahyaa wal mamaati, wamin sharri fitnatil masiihiddajjaali
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Shikamana na kusujudu kwa wingi kwa ajili ya Allah, kwani hakika wewe huta sujudu kwa ajili ya Allah isipokuwa Allah atakupandisha kwa sijida hiyo daraja, na atakufutia kwa sijida hiyo makosa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna swala chakula kinapokuwa tayari, na wala hakuna (swala) akiwa anazuia na kubana vichafu viwili(Haja kubwa na ndogo)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Huyo ni Shetani anaitwa Khinzab, ukimuhisi basi haraka sana taka ulinzi kutoka kwa Allah dhidi yake, na uteme kushotoni kwako mara tatu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mwizi mbaya zaidi kuliko watu wote, ni yule anayeiba swala yake" Akasema: Ataiba vipi swala yake? Akasema: "Hatimizi rukuu zake wala sijida zake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hivi haogopi mmoja wenu (Au: Hachelei mmoja wenu) atakapoinua kichwa chake kabla ya imamu, Mwenyezi Mungu akifanye kichwa chake kuwa kichwa cha punda, au aifanye Mwenyezi Mungu sura yake kuwa sura ya punda
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapopata shaka mmoja wenu katika swala yake, akawa hajui kaswali rakaa ngapi tatu au nne? Basi aachane na shaka na ajenge yakini (uhakika), kisha atasujudu sijida mbili kabla hajatoa salamu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba Mtume rehema na amani ziwe juu yake alimuona mtu mmoja akiswali peke yake nyuma ya safu, akamuamrisha arudie swala yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alitajwa kwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake mtu mmoja aliyelala usiku mpaka pakapambazuka, akasema: "Huyo ni mtu aliyekojolewa na Shetani ndani ya masikio yake, au alisema: ndani ya sikio lake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
“Siku bora zaidi iliyochomozewa jua ni siku ya Ijumaa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakaye koga siku ya Ijumaa josho la janaba, kisha akatoka katika saa ya kwanza ni kana kwamba katoa sadaka ya ngamia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Allaahumma antas salaam waminkas salaam, tabaarakta yaa dhal-jalaali wal-ikraam
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akitoa tahlil (Laa ilaaha illa llaah) kwa maneno haya mwisho wa kila swala
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikua akisema mwishoni mwa kila swala ya faradhi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakaye msabihi Mwenyezi Mungu mwisho wa kila swala mara thelathini na tatu (33), na akamhimidi Mwenyezi Mungu mara thelathini na tatu (33), na akamtukuza Mwenyezi Mungu mara thelathini na tatu, hizo ni tisini na tisa (99) Na akasema ili kukamilisha mia moja (100): Laa ilaaha illa llaahu wahdahu laa shariika lahu, lahul Mulku walahul hamdu, wahuwaa'laa kulli shai in qadiir, basi yatasamehewa madhambi yake, hata kama yalikuwa na wingi mfano wa povu la Bahari
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yeyote atakayesoma Ayatul Kursiy mwisho wa kila swala ya faradhi hakuna kitakachomzuia kuingia peponi isipokuwa kufa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilihifadhi kutoka kwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- rakaa kumi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba Mtume -rehema na amani ziwe juu yake alikuwa haziachi rakaa nne kabla ya Adhuhuri na rakaa mbili kabla ya Alfajiri
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kati ya kila adhana mbili kuna swala, kati ya kila adhana mbili kuna swala" Kisha akasema katika mara ya tatu: "Kwa atakayetaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapoingia mmoja wenu msikitini basi asali rakaa mbili kabla hajakaa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Utakapomwambia mwenzako: Nyamaza, siku ya Ijumaa, na imamu akihutubu, basi utakuwa umefanya mchezo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Swali ukiwa umesimama, usipoweza basi swali ukiwa umekaa, usipoweza basi ukiwa umelala ubavu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kusali ndani ya Msikiti wangu huu ni bora kuliko sala elfu moja zinazo swaliwa nje ya Msikiti huu isipokuwa Msikiti wa Makka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayejenga msikiti kwa ajili ya Mwenyezi Mungu basi Mwenyezi Mungu atamjengea Peponi nyumba mfano wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna mwenye kumiliki dhahabu wala fedha, na akawa hazitolei zaka zake, isipokuwa, pindi itakapofika siku ya Kiyama, atakunjiwa Sahani la kutoka motoni
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Sadaka haikuwahi kupunguza chochote katika mali, na hakuna jambo zuri zaidi analomzidishia Mwenyezi Mungu mja kwa kusamehe zaidi kama kupewa utukufu, na hakuwahi kunyenyekea yeyote kwa ajili Mwenyezi Mungu isipokuwa Mwenyezi Mungu humnyanyua
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu: Toa ewe mwanadamu na mimi nikupe
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapotoa matumizi mtu kwa familia yake kwa kutaraji malipo, basi hiyo kwake ni sadaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Anapo kufa mwanadamu matendo yake hukatika isipokuwa mambo matatu: Sadaka yenye kuendelea, au elimu yenye manufaa, au mtoto mwema wa kumuombea dua
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Fedha kwa dhahabu ni riba, ila kama itakuwa mkono kwa mkono, na ngano isiyokobolewa ni riba, ila kama itakuwa mkono kwa mkono, na shairi (ngano iliyokobolewa ni riba ila kama itakuwa mkono kwa mkono, na tende kwa tende ni riba ila kama itakuwa mkono kwa mkono
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alifaradhisha Mtume rehema na amani ziwe juu yake zakatul-fitiri kibaba cha tende, au kibaba cha ngano, kwa mtumwa na aliyehuru, na mwanaume na mwanamke, na mdogo na mkubwa katika waislamu, na akaamrisha itolewe kabla ya watu kutoka kwenda katika swala
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Enyi watu, toleaneni salamu na muunge udugu, na mlishe chakula, na msali usiku watu wakiwa wamelala, mtaingia peponi kwa amani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Enyi watu! Hakika Mwenyezi Mungu ni mzuri hakubali ila vizuri, na hakika Mwenyezi Mungu amewaamrisha waumini kwa yale aliyowaamrisha kwayo Manabii
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayempa muda mwenye hali ngumu, au akamfutia deni, Allah atampa kivuli siku ya kiyama chini ya kivuli cha Arshi yake siku ambayo hapatokuwa na kivuli isipokuwa kivuli chake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu