En Ar


Mradi wa ukusanyaji wa Hadithi za bwana Mtume na Tafsiri zake:

Mradi uliojitosheleza kwa ajili ya kuchagua Hadithi za Bwana Mtume Zinazojirudiarudia katika Maudhui za Uislamu na ufafanuzi wake kwa mapana yenye kutosheleza, kisha kuzitafsiri kwa kiwango cha hali ya juu kwa utaratibu wa kina, kwenda katika lugha zilizo hai, na kuzitoa bure kwa njia zote zinazofaa..

Malengo:

  1. Kupata kumbukumbu na marejeo ya bure yenye hadhi ya kimataifa na yenye kukubalika na ya kisasa kwa ajili ya kufanya tafsiri za Hadithi za Mtume kwa lugha mbalimbali.
  2. Kutoa kumbukumbu kwa njia za kielektroniki za kufanya tafsiri za Hadithi kwa wenye kutafsiri..
  3. Kuzifikisha tafsiri kwa walengwa kwa njia zote zinazofaa na kuwezekana..

Katika Faida za Mkusanyiko:

  1. Ueneaji.
  2. Bure..
  3. Tafsiri tofauti tofauti..
  4. Uboreshaji endelevu.
  5. Al-itqān.

Hatua za uanzishaji na undelezaji:

  1. Kujenga Mkusanyiko katika Kiarabu.
  2. Tafsiri ya Mkusanyiko {Insaiklopidia} kwenda kwenye lugha mbalimbali.
  3. Uchapishaji na usambazaji wa Mikusanyiko kwa njia ya mtandao.
  4. Uboreshaji endelevu wa Mikusanyiko na tafsiri yake.