Mradi uliojitosheleza kwa ajili ya kuchagua Hadithi za Bwana Mtume Zinazojirudiarudia katika Maudhui za Uislamu na ufafanuzi wake kwa mapana yenye kutosheleza, kisha kuzitafsiri kwa kiwango cha hali ya juu kwa utaratibu wa kina, kwenda katika lugha zilizo hai, na kuzitoa bure kwa njia zote zinazofaa..