Mradi uliojitosheleza kwa ajili ya kuchagua Hadithi za Bwana mtume ambazo Zinazojirudiarudia kwa yenyekuhusu uislamu na ufafanuzi wake kwa mapana yenye kutosheleza, kisha kuzifanyia tarjama kwa kiwango cha juu kwa mpangilio wa kina kwenye lugha zilizo hai, na kuzitoa bure kwa kila njia yenyekufaa..