En Ar


Mradi wa ukusanyaji wa Hadithi za bwana Mtume na Tafsiri zake:

Mradi uliojitosheleza kwa ajili ya kuchagua Hadithi za Bwana Mtume Zinazojirudiarudia kwa Maudhui za Uislamu na ufafanuzi wake kwa mapana yenye kutosheleza, kisha kuzifanyia tarjama kwa kiwango cha juu kwa mpangilio wa kina kwenye lugha zilizo hai, na kuzitoa bure kwa kila njia yenye kufaa..

Malengo:

  1. Kupata kumbukumbu na marejeo ya bure yenye hadhi ya kimataifa na yenye kukubalika na ya kisasa kwa ajili ya kufanya Tarjama za Hadithi za Mtume kwa lugha tofauti ..
  2. Kutoa kumbukumbu kwa njia za kielektronia za kufanya tarjama za Hadithi kwa wenye kufanya tarjama..
  3. Kuzifikisha Tafsiri kwa walengwa kwa njia zote zinazofaa na kuwezekana..

Katika Faida za Insaiclopidia:

  1. Ujumuishaji.
  2. Upatikanaji bure..
  3. Kupatikana Tafsiri tofautitofauti..
  4. Uboreshaji endelevu.
  5. Ufanisi.

Hatua za uanzishaji na undelezaji:

  1. Kuandika Insaiclopidia kwa lugha ya kiarabu.
  2. Kuitafsiri Insaiclopidia hii kwenda kwenye lugha tofauti.
  3. Uchapishaji na usambazaji wa Insiclopidia kwa njia ya mtandao.
  4. Uboreshaji endelevu wa insiclopidia.
Mradi huu ni kwa udhamini wa: