Mkusanyiko wa Hadithi za Mtume zilizotafsiriwa

Mradi huu unalenga uwezeshaji wa kupatikana Uchambuzi wa kina na Tarjama zilizo wazi za Hadithi za Mtume zilizo sahihi.

Please review the Terms and Policies
عربي: Excel - PDF
English: Excel - PDF
Français: Excel - PDF
Español: Excel - PDF
Bahasa Indonesia: Excel - PDF
বাংলা: Excel
اردو: Excel - PDF
ئۇيغۇرچە: Excel
Hausa: Excel
Kurdî: Excel
Tagalog: Excel
Tiếng Việt: Excel
فارسی: Excel
中文: Excel
हिन्दी: Excel
සිංහල: Excel
Bosanski: Excel
Русский: Excel - PDF
Türkçe: Excel
Português: Excel
മലയാളം: Excel
తెలుగు: Excel
Kiswahili: Excel
தமிழ்: Excel
မြန်မာ: Excel
ไทย: Excel
Кыргызча: Excel
日本語: Excel
Deutsch: Excel
नेपाली: Excel
پښتو: Excel
অসমীয়া: Excel
Shqip: Excel
Svenska: Excel
አማርኛ: Excel
Nederlands: Excel
ગુજરાતી: Excel
Yorùbá: Excel
Lietuvių: Excel
دری: Excel
Српски: Excel
Soomaali: Excel
тоҷикӣ: Excel
Kinyarwanda: Excel
Română: Excel
Magyar: Excel
Čeština: Excel
Moore: Excel
Malagasy: Excel
Fulfulde: Excel
Italiano: Excel
Oromoo: Excel
ಕನ್ನಡ: Excel
Wolof: Excel
Български: Excel
Azərbaycan: Excel
Ελληνικά: Excel
Akan: Excel
O‘zbek: Excel
Українська: Excel
ქართული: Excel
Lingala: Excel
Македонски: Excel
ភាសាខ្មែរ: Excel
Bambara: Excel
ਪੰਜਾਬੀ: Excel
मराठी: Excel

Orodha ya Hadithi

Hakika matendo yote huzingatiwa nia, na hakika kila mtu hulipwa kwa lile alilonuia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayezua katika dini yetu hii, yale yasiyokuwemo, basi yatarejeshwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Uislamu ni ushuhudie kuwa hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu, nakuwa Muhammadi ni Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, na usimamishe sala, na utoe zake, na ufunge Ramadhani, na uhiji katika nyumba tukufu ikiwa utapata uwezo wa kuifikia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Umejengwa uislamu kwa mambo matano
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Basi tambua kuwa haki za Mwenyezi Mungu kwa waja wake ni wamuabudu yeye na wala wasimshirikishe na kitu chochote, na haki za waja kwa Mwenyezi Mungu asimwaadhibu yeyote ambaye hajamshirikisha yeye na chochote
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna mtu yeyote atakayeshuhudia kuwa hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu nakuwa Muhammadi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa ukweli toka moyoni mwake, isipokuwa Mwenyezi Mungu atamharamishia moto
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayesema: Laa ilaah illa llaah, na akayapinga yote yanayoabudiwa kinyume na Mwenyezi Mungu itakuwa haramu mali yake na damu yake, na hesabu yake itakuwa juu ya Allah
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yeyote atakaye kufa hali ya kuwa hamshirikishi Mwenyezi Mungu na kitu chochote ataingia peponi, na atakaye kufa akiwa anamshirikisha Mwenyezi Mungu na kitu chochote ataingia motoni
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayekufa hali yakuwa anaomba kinyume na Mwenyezi Mungu mungu mwingine, ataingia motoni
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika wewe utaiendea jamii ya watu wa kitabu (Mayahudi na Wakristo), utakapowajia basi waite kushuhudia kuwa hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu, nakuwa Muhammadi ni Mjumbe wa Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu