Orodha ya Hadithi

Tulimuunga mkono Mtume rehema na Amani zimfikie- juu ya usikivu na Utii katika ugumu na wepesi, na katika raha na karaha, na hata kwa kujinyima sisi, nakuwa tusizozane na watu katika jambo wanalostahiki.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Hakika watakuongozeni nyinyi viongozi ambao watafanya mambo mtayajua na mengine hamtoyajua, atakayechukia atakuwa kajiepusha, na atakayepinga atakuwa kasalimika, lakini atakaye ridhia na akafuatisha, wakasema: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, kwanini tusiwapige vita? Akasema: Hapana, madam bado wanasimamisha kwenu nyinyi swala
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Atakapougua mja au akasafiri ataandikiwa malipo sawa na mfano wa yale aliyokuwa akiyafanya akiwa mkazi na mzima wa afya.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Fikisheni toka kwangu walau Aya moja, na simulieni kuhusu wana wa Israeli wala hakuna tabu, na atakayenizulia uongo juu yangu kwa makusudi basi ajiandalie makazi yake motoni.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Dini ni kupeana nasaha.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Ewe Mwenyezi Mungu yeyote atakayesimamia katika jukumu lolote la umma wangu, akawapa tabu, mpe tabu juu yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Hakuna mja yeyote atakayempa Mwenyezi Mungu raia, akafa siku anakufa, haliyakuwa aliwafanyia ghushi (udanganyifu) ispokuwa atamharamishia Mwenyezi Mungu pepo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Atakayejitoa katika utiifu< na akasambaratisha umoja akafa atakuwa kafa kifo cha zama za kijinga,na atakayepigana chini ya bendera ya kibubusa nachukia kwa kuwapendelea ndugu zake,au akahamasisha (kupendelea kwa sababu) ya ndugu zake au anaunusuru udugu akauwawa,basi hicho ni kifo cha zama za ujinga
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Yeyote atakaye kujieni na akakuamrisheni nyote muwe dhidi ya mtu mmoja, akataka kupasua nguvu yenu, na usambaratishe umoja wenu, basi muuweni
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Mwenye kuona miongoni mwenu jambo baya basi alibadilishe kwa mkono wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Shikamaneni na kumcha Mwenyezi Mungu, na usikivu na utii, hata kama (mzungumzaji) atakuwa mtumwa tena muhabeshi (Muethiopia), na mtakuja kuona baada yangu hitilafu nyingi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Jihadi bora ni neno la uadilifu kwa kiongozi muovu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Muabuduni Mwenyezi Mungu peke yake msimshirikishe yeye na chochote, na acheni wanayosema baba zenu, na anatuamrisha swala na ukweli
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Hakika ukweli ni kwamba utakuja kutokea uchoyo baada yangu na mambo msiyoyajua(uzushi)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Waliamrishwa watu kuwe kuagana kwao kwa mwisho ni katika nyumba (Alka'ba), isipokuwa likaondoshwa hilo kwa mwanamke mwenye hedhi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Mfano wa aliyesimama katika mipaka ya Mwenyezi Mungu na mwenye kuingia ndani yake, ni kama mfano wa watu waliotengeneza boti (safina) wakawa baadhi yao wako juu ya safina na wengine wako chini yake, na wakawa wale walioko chini yake wanapohitajia maji wanakwenda kwa wale walioko juu yao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Waelezeni watu yale wanayoyafahamu, Hivi mnataka akadhibishwe (apingwe) Mwenyezi Mungu na Mtume wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Kilipomfikia Abuu Twalib kifo, Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- alimuendea akamkuta Abdullahi bin Abii Umaiyya na Abuu Jahli wakiwa wake, Akasema kumwambia mgonjwa: Ewe baba mdogo, Sema Laa ilaaha illa llaah -Hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu-, neno ambalo nitakutetea kwalo kwa Mwenyezi Mungu.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Hakika watu watakapomuona mtu dhalimu (muovu) na wakawa hawakumzuia wako karibu mno, Mwenyezi Mungu kuwafunika wote kwa adhabu itokayo kwake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Namuapa yule ambaye nafsi yangu iko mkononi mwake, hakika mtaamrisha mema, na mtakataza mabaya; au hakika atakuwa karibu zaidi Mwenyezi Mungu kukutumieni adhabu toka kwake, kisha mtamuomba na wala hamtojibiwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Kila mmoja miongoni mwenu ni mchunga hivyo ataulizwa kuhusu raia wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Namuapa yule ambaye nafsi yangu iko mkononi mwake, hivi karibuni atakuteremkieni Issa mwana wa Mariam atakuwa hakimu na muadilifu, atavunja misalaba, na ataua nguruwe, na ataweka kodi (Jizia), na mali itabugujika (itakuwa nyingi) mpaka itafikia mahali hakuna yeyote atakayeikubali
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
na mimi ndiye ninaitwa Dhwamam Bin Thaalaba ndugu wa Banii Saad Bin Bakri
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Enyi watu hakika Mwenyezi Mungu ameondosha kwenu nyinyi kiburi cha zama za ujinga, na kujifaharisha kwa nasaba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa