Orodha ya Hadithi

Yeyote miongoni mwenu atayeona jambo ovu na baya basi aliondoshe kwa mkono wake, ikiwa hawezi kuliondoa kwa mkono wake basi aliondoe kwa ulimi wake, na ikiwa hawezi kuliondoa kwa ulimi basi na alichukie kutoka moyoni mwake, na kuchukia moyoni ni udhaifu wa imani
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika katika Jihadi kubwa ni kusema neno la uadilifu kwa kiongozi dhalimu
عربي الإنجليزية الأوردية
Mfano wa aliyesimama katika mipaka ya Mwenyezi Mungu na mwenye kuingia ndani yake, ni kama mfano wa watu waliotengeneza boti (safina)
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika watu wakimuona dhalimu na wasimchukulie hatua, basi wako karibu Mwenyezi Mungu kuwaadhibu wote kwa adhabu yake
عربي الإنجليزية الأوردية
Namuapa yule ambaye nafsi yangu iko mkononi mwake, hakika mtaamrisha mema, na mtakataza mabaya; au hakika atakuwa karibu zaidi Mwenyezi Mungu kukutumieni adhabu toka kwake, kisha mtamuomba na wala hamtojibiwa
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika watakuja viongozi wanaosema uongo na kudhulumu (watu), atakayewasadikisha kwa uongo wao na akawasaidia katika dhulma yao basi huyo si katika mimi, na mi si miongoni mwake
عربي الإنجليزية الإندونيسية
Kusimzuie mmoja wenu kuwaogopa watu akaache kusema haki atakapoiona au kuijua
عربي الإنجليزية الإندونيسية