Orodha ya Hadithi

Atakapougua mja au akasafiri ataandikiwa malipo sawa na mfano wa yale aliyokuwa akiyafanya akiwa mkazi na mzima wa afya.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Fikisheni toka kwangu walau Aya moja, na simulieni kuhusu wana wa Israeli wala hakuna tabu, na atakayenizulia uongo juu yangu kwa makusudi basi ajiandalie makazi yake motoni.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Muabuduni Mwenyezi Mungu peke yake msimshirikishe yeye na chochote, na acheni wanayosema baba zenu, na anatuamrisha swala na ukweli
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Waliamrishwa watu kuwe kuagana kwao kwa mwisho ni katika nyumba (Alka'ba), isipokuwa likaondoshwa hilo kwa mwanamke mwenye hedhi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Waelezeni watu yale wanayoyafahamu, Hivi mnataka akadhibishwe (apingwe) Mwenyezi Mungu na Mtume wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Kilipomfikia Abuu Twalib kifo, Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- alimuendea akamkuta Abdullahi bin Abii Umaiyya na Abuu Jahli wakiwa wake, Akasema kumwambia mgonjwa: Ewe baba mdogo, Sema Laa ilaaha illa llaah -Hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu-, neno ambalo nitakutetea kwalo kwa Mwenyezi Mungu.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Namuapa yule ambaye nafsi yangu iko mkononi mwake, hivi karibuni atakuteremkieni Issa mwana wa Mariam atakuwa hakimu na muadilifu, atavunja misalaba, na ataua nguruwe, na ataweka kodi (Jizia), na mali itabugujika (itakuwa nyingi) mpaka itafikia mahali hakuna yeyote atakayeikubali
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
na mimi ndiye ninaitwa Dhwamam Bin Thaalaba ndugu wa Banii Saad Bin Bakri
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Enyi watu hakika Mwenyezi Mungu ameondosha kwenu nyinyi kiburi cha zama za ujinga, na kujifaharisha kwa nasaba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa