عن أبي موسى الأشعري رضي الله عنه قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ - صلى الله عليه وسلم -: «إنّي والله -إنْ شاء الله- لا أَحلف على يمين، فأرى غيرها خيراً منها إلاَّ أَتيتُ الَّذِي هو خير، وتحلَّلْتُهَا».
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...

Kutoka kwa Abuu Musa Al-Ash'ariy -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu -Rehema na Amani ziwe juu yake-: "Hakika mimi ninamuapa Mwenyezi Mungu -In shaa Allah- si api juu ya kiapo, nikaona kingine ni bora kuliko hicho isipokuwa nitaleta kilicho bora, na ninajivua nacho".
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim

Ufafanuzi

Nikuwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- amejielezea mwenyewe kuwa yeye anapo apa juu kiapo kisha baada ya hapo akaona kuwa kheri ni kutokuendelea nacho anakiacha kwa kuacha alichokiapia na anakitolea kafara kwa kushikamana na ambacho ni kheri katika kufanya au kuacha.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kireno Kimalayo
Kuonyesha Tarjama