عن عمران بن حصين رضي الله عنهما قال: كانت بي بَوَاسيرُ، فسألت النبي صلى الله عليه وسلم عن الصلاة، فقال: «صَلِّ قائما، فإن لم تستطع فقاعدا، فإن لم تستطع فعلى جَنْبٍ».
[صحيح] - [رواه البخاري]
المزيــد ...
Kutoka kwa Imran bin Huswain- Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- Amesema: Nilipatwa na bawasiri (ugonjwa unaosababisha uvimbe sehemu ya siri ya nyuma) Nikamuuliza Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake- kuhusu swala, Akasema: "Swali ukiwa umekaa, ikiwa hutoweza basi ukiwa umekaa, ikiwa hutoweza basi ukiwa umelalia ubavu".
Sahihi - Imepokelewa na Al-Bukhaariy
Inabainisha hadithi tukufu namna ya kuswali kwa atakayekuwa na maradhi ya bawasiri au maumivu wakati wa kusimama na mfano wa hayo katika nyudhuru, Akaeleza Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- kuwa asili ni kusimama, ispokuwa katika hali ya kutoweza, basi aswali akiwa amekaa, na ikiwa hatoweza kuswali akiwa kakaa basi anaweza kuswali kwa ubavu wake.