Orodha ya Hadithi

Hakika Mwenyezi Mungu anapompenda mja humuita Jibril na husema: Hakika mimi ninampenda fulani basi mpende, anasema: Jibril humpenda
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Lau angejua mwenye kupita mbele ya mwenye kuswali nini anachokipata, basi kusimama arobaini ni bora kwake kuliko kupita mbele yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Eneza maji ya udhu, na uachanishe kati ya vidole, na pandisha maji yafike puani, isipokuwa utakapokuwa umefunga
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu huwaadhibu wale wanaowaadhibu watu duniani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika hastahiki kuadhibu kwa Moto isipokuwa Mola Mlezi wa Moto
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Misikiti hii haifai kuwekwa chochote katika mikojo hii, wala uchafu wowote, bali hii ni kwa ajili ya kumtaja Mwenyezi Mungu Mtukufu, na kuswali, na kusoma Qur'ani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mtume rehema na amani ziwe juu yake amekataza kustanji kwa kinyesi cha wanyama au mfupa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Asistanji mmoja wenu kwa chini ya mawe matatu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Basi Mwenyezi Mungu ana huruma zaidi kwa waja wake kuliko mwanamke huyu kwa mtoto wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
hebu chukueni katika matendo kiasi mkiwezacho, na Wallahi ninaapa, Mwenyezi Mungu hachoki mpaka mchoke
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Katika sunna atakaposema muadhini katika adhana ya Alfajiri: Hayya Alal-fala'h, aseme: Aswalatu khairu mmina nnaum. Yaani: Swala ni bora kuliko usingizi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Someni Qur'ani, kwani, itakuja Siku ya Kiyama kama muombezi kwa sahibu wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakitosimama Kiyama mpaka watu wajifaharishe katika Misikiti
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Waonaje ikiwa nitaswali swala zilizofaradhishwa, na nikafunga Ramadhani, na nikahalalisha kilichokuwa halali na nikaharamisha kilichokuwa haramu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nimeamrishwa nipambane na watu mpaka washuhudie kuwa hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu nakuwa Muhammadi ni Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, na wasimamishe swala, na watoe zaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Laiti wangepewa watu yote wanayodai basi kuna watu wangedai mali za wenzao na damu zao, lakini ushahidi ni kwa mwenye kudai na kiapo ni kwa mwenye kukanusha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Allah na Mtume wake ameharamisha kuuza pombe, na mzoga na nguruwe na masanamu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika katika yale waliyoyakuta watu miongoni mwa maneno ya kiutume ya mwanzo, usipokuwa na haya basi fanya ulitakalo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kuwa duniani kama msafiri au mpitanjia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ulimi wako usiache kuwa mbichi kwa kumtaja Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Wema ni tabia njema, na dhambi ni lile litakalokukereketa katika kifua chako, na ukachukia watu wasilione
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hivi kwani hajakuwekeeni Mwenyezi Mungu mambo mnayoweza kutoa sadaka: Hakika katika kila tasbihi (kauli ya sub-haanallaah) ni sadaka, na kila takbira (Allahu Akbaru) ni sadaka, na kila tahmidi (Alhamdulillah) ni sadaka, na kila tahalili (Laa ilaaha illallaahu) ni sadaka, na kuamrisha mema ni sadaka, na kukataza maovu ni sadaka, na katika kiungo cha siri cha mmoja wenu kuna sadaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Liepukeni chafu hili alilolikataza Mwenyezi Mungu, atakayetumbukia katika hilo basi ajifiche kwa stara ya Mwenyezi Mungu na atubie kwa Mwenyezi Mungu, kwa sababu atakayetufungulia ukurasa wake tutamsimamishia kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtukufu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu