Orodha ya Hadithi

Lau angejua mwenye kupita mbele ya mwenye kuswali nini anachokipata, basi kusimama arobaini ni bora kwake kuliko kupita mbele yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Eneza maji ya udhu, na uachanishe kati ya vidole, na pandisha maji yafike puani, isipokuwa utakapokuwa umefunga
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu huwaadhibu wale wanaowaadhibu watu duniani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika hastahiki kuadhibu kwa Moto isipokuwa Mola Mlezi wa Moto
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Misikiti hii haifai kuwekwa chochote katika mikojo hii, wala uchafu wowote, bali hii ni kwa ajili ya kumtaja Mwenyezi Mungu Mtukufu, na kuswali, na kusoma Qur'ani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mtume rehema na amani ziwe juu yake amekataza kustanji kwa kinyesi cha wanyama au mfupa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Asistanji mmoja wenu kwa chini ya mawe matatu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Basi Mwenyezi Mungu ana huruma zaidi kwa waja wake kuliko mwanamke huyu kwa mtoto wake
عربي Lugha ya kiingereza Kiispania
hebu chukueni katika matendo kiasi mkiwezacho, na Wallahi ninaapa, Mwenyezi Mungu hachoki mpaka mchoke
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Katika sunna atakaposema muadhini katika adhana ya Alfajiri: Hayya Alal-fala'h, aseme: Aswalatu khairu mmina nnaum. Yaani: Swala ni bora kuliko usingizi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Someni Qur'ani, kwani, itakuja Siku ya Kiyama kama muombezi kwa sahibu wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakitosimama Kiyama mpaka watu wajifaharishe katika Misikiti
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Waonaje ikiwa nitaswali swala zilizofaradhishwa, na nikafunga Ramadhani, na nikahalalisha kilichokuwa halali na nikaharamisha kilichokuwa haramu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nimeamrishwa nipambane na watu mpaka washuhudie kuwa hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu nakuwa Muhammadi ni Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, na wasimamishe swala, na watoe zaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Laiti wangepewa watu yote wanayodai basi kuna watu wangedai mali za wenzao na damu zao, lakini ushahidi ni kwa mwenye kudai na kiapo ni kwa mwenye kukanusha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Allah na Mtume wake ameharamisha kuuza pombe, na mzoga na nguruwe na masanamu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika katika yale waliyoyakuta watu miongoni mwa maneno ya kiutume ya mwanzo, usipokuwa na haya basi fanya ulitakalo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kuwa duniani kama msafiri au mpitanjia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ulimi wako usiache kuwa mbichi kwa kumtaja Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Wema ni tabia njema, na dhambi ni lile litakalokukereketa katika kifua chako, na ukachukia watu wasilione
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hivi kwani hajakuwekeeni Mwenyezi Mungu mambo mnayoweza kutoa sadaka: Hakika katika kila tasbihi (kauli ya sub-haanallaah) ni sadaka, na kila takbira (Allahu Akbaru) ni sadaka, na kila tahmidi (Alhamdulillah) ni sadaka, na kila tahalili (Laa ilaaha illallaahu) ni sadaka, na kuamrisha mema ni sadaka, na kukataza maovu ni sadaka, na katika kiungo cha siri cha mmoja wenu kuna sadaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Liepukeni chafu hili alilolikataza Mwenyezi Mungu, atakayetumbukia katika hilo basi ajifiche kwa stara ya Mwenyezi Mungu na atubie kwa Mwenyezi Mungu, kwa sababu atakayetufungulia ukurasa wake tutamsimamishia kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtukufu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu amefaradhisha faradhi basi msizipoteze, na akaweka mipaka basi msiivuke, na akaharamisha vitu basi msivivamie, na akayanyamazia mambo kwa kukuhurumieni si kwa kusahau basi msiyatafute
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika matendo yote huzingatiwa nia, na hakika kila mtu hulipwa kwa lile alilolinuia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Umejengwa uislamu kwa mambo matano
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika mmoja wenu hukusanywa umbile lake ndani ya tumbo la mama yake siku arobaini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yeyote atakayezua (kitu) katika jambo letu hili (dini) ambalo si miongoni mwake, basi hilo litakataliwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika halali iko wazi, na hakika haramu iko wazi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Dini ni nasaha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yale niliyokukatazeni basi yaepukeni, na yale niliyokuamrisheni basi fanyeni katika hayo kadiri muwezavyo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Enyi watu! Hakika Mwenyezi Mungu ni mzuri hakubali ila vizuri, na hakika Mwenyezi Mungu amewaamrisha waumini kwa yale aliyowaamrisha kwayo Manabii
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Acha yanayokutia shaka na uende katika yale yasiyokutia shaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hawezi kuwa na imani mmoja wenu mpaka ampendelee ndugu yake anachokipenda yeye katika nafsi yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu amefaradhisha (kutenda) wema katika kila kitu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe kijana, hakika mimi ninakufundisha maneno: Muhifadhi Mwenyezi Mungu naye atakuhifadhi, muhifadhi Mwenyezi Mungu utamkuta uendako, utakapo omba basi muombe Mwenyezi Mungu, na ukitaka msaada muombe msaada Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika katika yale waliyoyakuta watu miongoni mwa maneno ya kiutume ya mwanzo, usipokuwa na haya basi fanya ulitakalo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nieleze ndani ya Uislamu kauli ambayo sitomuuliza yeyote zaidi yako, akasema: "Sema: Nimemuamini Mwenyezi Mungu, kisha kuwa na msimamo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Waonaje ikiwa nitaswali swala zilizofaradhishwa, na nikafunga Ramadhani, na nikahalalisha kilichokuwa halali na nikaharamisha kilichokuwa haramu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Twahara ni nusu ya imani, na kusema Al-hamdulillah neno hilo hujaza mizani, na neno Sub-hanallah neno Alhamdulillah maneno hayo mawili hujaza mizani- au hujaza- sehemu iliyopo kati ya Mbingu na Ardhi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kila kiungo kwa watu kina sadaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ninawausia kumcha Mwenyezi Mungu, na kusikia na utii, hata kama atakutawaleni mtumwa. Kwani hakika yeyote kati yenu atakayeishi, ataona tofauti nyingi. Kwa hivyo shikamaneni na Sunna yangu na Sunna ya makhalifa wanyoofu waongofu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika umeniuliza kuhusu jambo kubwa, lakini nijepesi kwa yule atakayefanyiwa wepesi na Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Haifai kujidhuru wala kumdhuru mwingine
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Laiti wangepewa watu yote wanayodai basi kuna watu wangedai mali za wenzao na damu zao, lakini ushahidi ni kwa mwenye kudai na kiapo ni kwa mwenye kukanusha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu aliandika mema na maovu, kisha akalibainisha hilo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu alisema: Atakayemfanyia uadui kipenzi changu basi hakika nimemtangazia vita, na hatojiweka karibu kwangu mja wangu kwa kitu ninachokipenda zaidi kuliko kile nilichomfaradhishia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hatokuwa na imani mmoja wenu mpaka yawe matamanio yake ni yenye kufuata yale niliyokujua nayo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kila kilevi ni haramu.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mambo manne yatakayekuwa kwake atakuwa mnafiki halisi, na itakayekuwa kwake sifa moja kati ya hizo, atakuwa na sifa ya unafiki mpaka aiache: Akizungumza husema uongo, na akiingia makubaliano hufanya hiyana, na akiahidi anakwenda kinyume, na akigombana huvuka mipaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Laiti nyinyi mgetegemea kwa Mwenyezi Mungu ukweli wa kumtegemea, basi angekuruzukuni kama anavyowaruzuku ndege, wanatoka asubuhi wakiwa na njaa, wanarudi jioni wakiwa wameshiba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Wema ni tabia njema, na dhambi ni lile lililokukereketa katika nafsi yako na ukawa hukupendezwa watu walione
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ulimi wako usiache kuwa mbichi kwa kumtaja Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu ameniondolea mimi kwa umma wangu (madhambi ya) kukosea na kusahau, na yale waliyolazimishwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ipe nyongo dunia Allah atakupenda ,na usivitolee macho vitu vya watu, watu watakupenda
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kunyonya pamoja kuna haramisha yale yanayo haramishwa na kuzaliwa pamoja
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hajawahi kujaza mwanadamu yeyote chombo chenye shari zaidi kama tumbo, kinamtosha mwanadamu kiasi kidogo cha chakula kinachoweza kumpa nguvu, ikiwa hakuna namna, basi theluthi moja (ya tumbo lake) iwe kwa ajili ya chakula chake, na theluthi moja ya kinywaji chake, na theluthi moja kwa ajili ya pumzi yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Katika uzuri wa uislamu wa mtu: Ni kuacha kwake yale yasiyomuhusu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Peaneni zawadi, mtapendana
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Laiti wangeingia wasingelitoka humo mpaka siku ya Kiyama; Utiifu unakuwa katika jambo jema
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Muosheni mara tatu, au mara tano au zaidi ya hapo, mkiona kuna haja ya kuzidisha, kwa maji na mkunazi, na mwisho muweka kafuri -au chochote katika kafuri-, mkimaliza nipeni idhini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, mali zimeteketea na njia zote zimekatika, muombe Mwenyezi Mungu atuletee mvua
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba yeye alikuja kwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akiwa na mtoto wake mdogo hajaanza kula, Mtume rehema na amani ziwe juu yake akamkalisha katika mapaja yake, akakojoa katika nguo yake, akaomba maji, akanyunyizia na wala hakuosha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alisema kuniambia mimi Mtume rehema na amani ziwe juu yake: "Soma
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Si katika wema kufunga safarini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa kituamrisha tunapokuwa safarini tusivue khofu zetu kwa siku tatu (mchana na usiku) isipokuwa kwa ajili ya janaba, lakini ni kwa haja kubwa na ndogo na usingizi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake anaposema: Sami'allaahu liman hamidah: (Amemsikia Mwenyezi Mungu mwenye kumhimidi) alikuwa hanyanyui yeyote miongoni mwetu mgongo wake mpaka aporomoke Mtume rehema na amani ziwe juu yake kwa kusujudu, kisha nasi tunaporomoka baada yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mlisheni mwenye njaa, na mtembeleeni mgonjwa, na mwacheni huru mateka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akifungua swala kwa takbira (Allaahu Akbaru) na kisomo kwa kuanza na Alhamdulillaahi Rabbil a'alamiin
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Bwana mmoja alimuuliza Mtume Muhammad rehema na amani za Allah ziwe juu yake akiwa juu ya mimbari, waonaje kuhusu swala za usiku, akasema: "Ni rakaa mbili mbili
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msiadhibu kwa adhabu ya Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ya kwamba Mtume rehema na amani ziwe juu yake pindi alipomuelekeza kwenda Yemen alimuamrisha achukue miongoni mwa ng'ombe katika kila thelathini ndama alianza kufuatana na ng'ombe wengine, wa kiume au kike
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kafara ya nadhiri ndio kafara ya kiapo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hawatofanikiwa watu waliomkabidhi utawala wao mwanamke
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu na Mtukufu, halali, na wala haimstahikii kulala
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika mchamungu wenu na mwenye kumjua zaidi Mwenyezi Mungu kwenu nyinyi ni mimi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Sisi ni Umma wa mwisho, na ndio wa kwanza kuhesabiwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Tulikuwa pamoja Mtume rehema na amani ziwe juu yake nasi tukiwa vijana karibu na balehe, tukajifunza imani kabla ya kujifunza Qur'ani, kisha tukajifunza Qur'ani, tukaongeza imani kupitia Qur'ani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna yeyote katika Manabii isipokuwa alipewa mfano wa yale waliyoyaamini watu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Aliulizwa Anasi kilikuwa vipi kisomo cha Mtume rehema na amani ziwe juu yake? Akasema: "Kilikuwa ni kuvuta
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakuwa aliulizwa kuhusu kisomo cha Mtume rehema na amani ziwe juu yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Tambueni kuwa kila mmoja kati yenu ananong'ona na Mola wake, msiudhiane baadhi yenu kwa baadhi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akitusomesha Qur'ani katika kila hali madamu hana janaba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
bali semeni: Tumesikia na tumetii tunataraji msamaha toka kwako ewe Mola wetu Mlezi, na marejeo ni kwako
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
kuna Aya ndani ya kitabu chenu hua mnaisoma, laiti ingelikuwa imeteremka kwetu sisi jamii ya Mayahudi, basi tungeifanya siku hiyo kuwa sikukuu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu aliyetakasika na kutukuka aliteremsha "Na wasiohukumu kwa yale aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu basi hao ndio makafiri
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Funguo za mambo ya ghaibu ni tano
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mnayafanya, enyi watu, yale mnayoyasimamia ya kuwanwyesha mahujaji na kuuimarisha msikiti Mtukufu ni kama Imani ya aliyemuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho? [Tauba: 19] Mpaka mwisho wa Aya
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake kikimuosha kibaba cha maji kutokana na janaba, na ukimtia udhu ujazo wa kiganja
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilimuona Mtume rehema na amani ziwe juu yake, alikidhi haja ndogo, kisha akatia udhu na kafuta juu ya khufu zake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ya kwamba Mtume rehema na amani ziwe juu yake alikuwa anaposwali Alfajiri anakaa katika mswala wake mpaka Jua linachomoza vizuri
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msiwazuie vijakazi wa Mwenyezi Mungu kwenda katika misikiti ya Mwenyezi Mungu, lakini wakitaka kutoka watoke wakiwa hawajajipamba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapoingia mmoja wenu Msikitini basi amtakie rehema Mtume kisha aseme: Allaahummaf-tahlii abwaaba rahmatika
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayeswali swala yetu na akaelekea kibla chetu na akala kichinjwa chetu basi huyo ni Muislamu mwenye dhima ya Mwenyezi Mungu na dhima ya Mtume wake, msimfanyie hiana Mwenyezi Mungu katika dhima yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilikuwa nikimuona Mtume rehema na amani ziwe juu yake akitoa salamu kuliani kwake, na kushotoni kwake, mpaka ninaona weupe wa shavu lake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika mja anaweza kuswali swala, hakuna anachoandikiwa isipokuwa moja ya kumi yake, moja ya tisa yake, nane ya kumi yake, saba ya kumi yake, sita ya kumi yake, tano ya kumi yake, robo yake, theluthi yake, nusu yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Watamkisheni maiti wenu (neno) Laa ilaaha illa llaah
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ikiwa mtapenda nitakupeni, lakini mali hii tajiri hana fungu ndani yake wala mwenye nguvu mwenye uwezo wa kuchuma mali
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Timizeni safu ya mbele, kisha inayofuata, na kama kuna mapungufu basi yawe katika safu ya mwisho
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Itakapokimiwa swala basi hakuna swala nyingine isipokuwa swala ya faradhi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Achaneni (na ubaguzi) kwani una nuka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ya kwamba Nabii wa Mwenyezi Mungu rehema na amani ziwe juu yake aliandika ujumbe kwenda kwa Kisra, na Kaisari na kwenda kwa Najashi, na kwa kila jabari, akiwaita wote kuja kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mola wangu, hakika mimi ni mwanadamu, basi yeyote katika Waislamu niliyemtukana au kumlaani au kumpiga kwa mjeledi, basi hilo lifanye kwake kuwa ni utakaso na huruma
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuwahi kula Muhammadi rehema na amani ziwe juu yake milo miwili kwa siku isipokuwa mlo mmoja utakuwa ni tende
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hawakuwahi kushiba katika chakula cha ngano watu wa famili ya Muhammadi rehema na amani ziwe juu yake tangu alipofika Madina, kwa siku tatu mfululizo, mpaka alipofariki
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Lilikuwa tandiko la Mtume rehema na amani ziwe juu yake ni kutokana na ngozi, na ndani limejazwa majani ya mitende
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuacha Mtume rehema na amani ziwe juu yake wakati wa kifo chake Dirham moja wala Dinari, wala mtumwa wala kijakazi wala chochote, isipokuwa nyumbu wake mweupe, na silaha yake, na kipande cha Ardhi alichokitoa kama sadaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Bilali, hebu nihadithie kuhusu amali yenye matarajio makubwa zaidi uliyowahi kuifanya ndani ya Uislamu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuwahi kuwapiga vita Mtume rehema na amani ziwe juu yake watu hata siku moja isipokuwa kwanza alianza kuwaita katika Uislamu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu: Watu wa aina tatu mimi ndiye mgomvi wao siku ya Kiyama
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msimlaani, Wallahi, namuapa Mwenyezi Mungu sikujua lolote kwake isipokuwa anampenda Mwenyezi Mungu na Mtume wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hivi nisikuelezeni lililo bora kuliko daraja ya swaumu na swala na sadaka?
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Je, nisikuelezeni mbora wenu na muovu wenu?
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hamshukuru Mwenyezi Mungu asiyewashukuru watu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika mimi sikutumwa kuwa mtoa laana, bali nilitumwa kuwa huruma
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Wakati nikiwa natembea ghafla nilisikia sauti kutoka mbinguni, nikanyanyua macho yangu, ghafla yule Malaika aliyenijia nikiwa pango la Hiraa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayekutana na Mwenyezi Mungu hali yakuwa hamshirikishi na chochote halitomdhuru dhambi lolote kwa hilo, na atakayekufa na hali yakuwa anamshirikisha, basi hakuna jema litakalomnufaisha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mche Mwenyezi Mungu popote ulipo, na ovu lifuatishe jema litalifuta, na ishi na watu kwa tabia njema
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Si halali damu ya muislamu isipokuwa kwa moja kati ya mambo matatu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Gaweni mirathi kwa wastahiki wake, itakayobakia basi mwenye kustahiki zaidi upande wa mwanaume ni wa kiume
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu