Orodha ya Hadithi

Kinacholewesha kikiwa kingi, basi hata kidogo ni haramu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Tuliwekewa muda wa kupunguza sharubu, na kupunguza kucha, na kung'oa nywele za kwapa, na kunyoa nywele za siri, tusiziache zaidi ya siku arobaini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Hakika mimi siwapi mkono wanawake, bali hakika kauli yangu kwa wanawake mia moja ni sawa na kauli yangu kwa mwanamke mmoja
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Hakika watakuja viongozi wanaosema uongo na kudhulumu (watu), atakayewasadikisha kwa uongo wao na akawasaidia katika dhulma yao basi huyo si katika mimi, na mi si miongoni mwake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Moyo wa mzee huendelea kuwa kijana katika mambo mawili: Katika kupenda dunia na matumaini ya muda mrefu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Zidisheni sana kukikumbuka kikata ladha" Yaani: Kifo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Msiingie miji ya wale waliozidhulumu nafsi zao, isipokuwa muwe mnalia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Hupitishwa fitina katika nyoyo (kama ufumwavyo mkeka) ukindu (kijiti) kimoja kimoja
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Basi itakapokuja Ramadhani, basi fanya Umra, kwani Umra ndani ya Ramadhani ni sawa na Hija.”
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, tunaiona Jihadi kuwa ni amali bora zaidi, basi je tupigane? Akasema: "Hapana, lakini Jihadi iliyo bora zaidi ni Hija iliyokubaliwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Pindi atakapaowakusanya Mwenyezi Mungu wa mwanzo na wa mwisho siku ya Kiyama itanyanyuliwa bendera kwa kila haini, patasemwa: Hii ndio hiana ya fulani bin fulani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alituamrisha Mtume rehema na amani ziwe juu yake mambo saba, na akatukataza mambo saba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Chukua katika mali yake kwa wema, kiasi kinachokutosha wewe na wanao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kudumu siku moja katika njia ya Mwenyezi Mungu ni bora kuliko dunia na vilivyo juu yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alichinja Mtume rehema na amani ziwe juu yake kondoo wawili wazuri weupe wenye pembe, aliwachinja kwa mkono wake, akasema, Bismillahi Allaahu Akbar, na akaweka mguu wake ubavuni mwao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yeyote atakayetoa kiapo hali yakuwa ni muongo, ili ajikatie mali ya mtu Muislamu, basi atakutana na Mwenyezi Mungu akiwa kamkasirikia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika wanyama hawa wafugwao ni wanyama kama walivyo wanyama pori, watakaokushindeni miongoni mwao (kuwachinja) basi fanyeni hivyo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Sijawahi kumuona mwenye nywele ndefu na vazi jekundu zuri kuliko Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na amani ziwe juu yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akiingia chooni, ninambebea mimi pamoja na kijana wa rika langu, chombo chenye maji na mkongojo, basi anastanji kwa maji
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilikuwa pamoja na Mtume rehema na amani ziwe juu yake akafika katika jalala la watu fulani akakidhi haja ndogo akiwa kasimama,
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Sub-haana llaah, ametakasika Mwenyezi Mungu, hakika muumini hanajisiki
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Fanyeni haraka kulipeleka jeneza, likiwa ni la mtu mwema, basi mnaliwahisha kupata kheri, na likiwa kinyume na hivyo, basi hiyo nishari mnajiwekea shingoni kwenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu amemuwajibishia pepo kwa kile alichokifanya, au amemuacha huru na moto kwa kile alicho kifanya
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ukipenda unaweza kuvumulia na utapata malipo ya Pepo, na ukitaka nitakuombea kwa Mwenyezi Mungu akuponye
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapofika mmoja wenu katika kikao basi na atoe salamu, na akitaka kunyanyuka pia atoe salamu, kwani ya mwanzo haina haki zaidi kuliko ya mwisho
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Dua ya mtu muislamu kwa ndugu yake, anapokuwa hayupo, hujibiwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Tulikatazwa kusindikiza jeneza, na hatukusisitiziwa katazo hilo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kulikuwa na Mfalme mmoja katika wale waliokuwa kabla yenu, na alikuwa na mchawi wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayesimamia chochote kwa watoto wa kike hawa, akawatendea wema, basi watakuwa ni kinga kwake kutokana na moto
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna msaada na riziki mnayopewa nyinyi isipokuwa ni kupitia kwa watu madhaifu wenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake kuwa na mkazo mkubwa na kudumu na jambo kama alivyokuwa katika rakaa mbili za Alfajiri
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Abubakari, kwani ipi dhana yako kwa wawili ambao Mwenyezi Mungu ndiye wa tatu wao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilimuuliza Aisha nikasema: Vipi kuhusu mwenye hedhi analipa swala na wala halipi swala?
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Shetani hukihalalisha chakula kwa kutotajwa jina la Mwenyezi Mungu katika chakula hicho
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, hivi wasemaje endapo atakuja mtu anataka kuchukua mali yangu?
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kulikuwa na mtu ambaye sifahamu kama kuna mtu alikuwa akiishi mbali kuliko yeye, na swala ilikuwa haimpiti
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Dunia ni Gereza la Muumini na ni Pepo ya Kafiri
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mkono wa juu ni bora kuliko mkono wa chini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Hakim, hakika mali hii ni kijani kibichi kitamu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Huenda mwenye nywele timtimu mwenye kusukumwa katika milango, lau angeliapia kwa Mwenyezi Mungu angelimuepusha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Peponi kuna mlango unaoitwa Rayyani, watauingia wafungaji siku ya Kiyama, hato ingia ndani ya Pepo hiyo isipokuwa wafungaji
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Je anashindwa mmoja wenu kuchuma kila siku mema elfu moja?
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mwenyezi Mungu hakuna maisha bora isipokuwa maisha ya Akhera, basi wasamehe Maanswari (watu wa Madina) na Muhajirina (waliohama kutoka kutoka Makkah)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ikiwa mmoja wenu atachukua kamba yake, akaleta mzigo wa kuni juu ya mgongo wake, akauuza, na Mwenyezi Mungu akausitiri uso wake, basi hilo ni bora zaidi kwake kuliko kuwaomba watu wampe au wamnyime
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Tambueni kuwa dunia imelaaniwa, na vimelaaniwa vilivyomo, isipokuwa kumtaja Mwenyezi Mungu na yanayompendeza, na msomi, au mwanafunzi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Basi kusanyikeni katika chakula chenu, na mkitajie jina la Mwenyezi Mungu, mtabarikiwa katika chakula hicho
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Pindi nilipopandishwa juu mbinguni, nilipita kwa watu wakiwa na kucha za shaba, wakizikwarua kwazo nyuso zao na vifua vyao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mfano wa yale aliyonituma nayo Mwenyezi Mungu miongoni mwa uongofu na elimu ni sawa na mfano wa mvua kubwa iliyonyesha katika ardhi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msaidie ndugu yako akiwa amedhulumu au kudhulumiwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hivi leo hii nyinyi si mnapata chakula na kinywaji mkitakacho? Kwa hakika mimi nilimuona Nabii wenu rehema na amani ziwe juu yake inafika mahala hapati hata tende mbovu ya kutosha kujaza tumbo lake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika vitu hivi viwili ni haramu kwa wanaume wa umma wangu, ni halali kwa wanawake wao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Allah na Mtume wake ameharamisha kuuza pombe, na mzoga na nguruwe na masanamu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilionyeshwa Pepo na Moto, katu sijawahi kuona katika kheri na shari mfano wa siku hiyo, na lau mngejua ninayoyajua basi mngelicheka kidogo na mngelia sana
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Miji inayopendeka zaidi kwa Mwenyezi Mungu ni misikiti yake, na miji inayochukiwa zaidi kwa Mwenyezi Mungu ni masoko yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Lau mwanadamu angelikuwa na mabonde mawili ya mali basi angelitafuta la tatu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi ninajikinga kwako kutokana na tabia mbaya na matendo mabaya, na matamanio mabaya
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Abuu Dhari utakapopika mchuzi basi zidisha maji yake, na umkumbuke jirani yako
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayekuwa na dhuluma yoyote ya ndugu yake kama heshima au chochote, basi na wamalizane leo hii, kabla ya wakati ambao hapatakuwa na Dinar wala Dirham
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Watafufuliwa watu siku ya Kiyama wakiwa peku, uchi, hawajatahiriwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Na hakika Mwenyezi Mungu ameniteremshia wahyi kuwa, kuweni wanyenyevu, mpaka asijikweze yeyote kwa mwingine, na wala asimfanyie uadui yeyote mwenzake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Bismillaahi Arqiika, Min kulli shai-in Yu-udhiika, min sharri kulli nafsin Au Aini Haasidin, Allaahu yash-fiika, bismillaahi Arqiika" Yaani: Kwa jina la Mwenyezi Mungu ninakuombea, kutokana na kila kitu kinachokuudhi, na kutokana na shari ya kila nafsi au jicho la hasidi, Mwenyezi Mungu atakuponya, kwa jina la Mwenyezi Mungu ninakusomea
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika mfano wa mtu wa Qur'ani ni sawa na mfano wa mmiliki wa ngamia aliyeachwa pasina kufungwa, akimuangalia kila mara atamzuia (kutoroka), na akimuachilia atatoroka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Pokea habari njema ya kupewa Nuru mbili hakupewa Nabii yeyote kabla yako: Ufunguzi wa kitabu (Alfatiha) na Aya za mwisho katika Suratul-baqarah, hautasoma herufi miongoni mwa Sura hizo mbili isipokuwa utapewa (unacho hitaji)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Wallah hatochukua chochote yeyote miongoni mwenu pasina haki yake, isipokuwa atakutana na Mwenyezi Mungu akiwa amekibeba alichochukua siku ya Kiyama
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Aisha, hakika Mwenyezi Mungu ni Mpole anapenda upole, na hutoa malipo katika upole ambayo hayatoi katika ususuwavu (ukali), na wala hatoi kwa mengineyo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika kwako wewe kuna mambo mawili anayapenda sana Mwenyezi Mungu: Upole, na utaratibu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika wamekuja katika familia za Muhammad wanawake wengi wakiwashitakia waume zao, (wanaume) hao si bora kati yenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna haki yoyote ya mtu muislamu anayotakiwa kuitolea usia, isipokuwa ahakikishae halali siku tatu, isipokuwa usia wake uwe umeandikwa kwake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi najikinga kwako kutokana na kushindwa, na uvivu, na uoga, na ubahili, na ukongwe, na adhabu ya kaburi, Ewe Mwenyezi Mungu ipe nafsi yangu uchamungu wake, na uitakase kwani wewe ndiye mbora wa kuitakasa, wewe ndiye msimamizi wa nafsi na mtawala wake. Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi ninajikinga kwako kutokana na elimu isiyo na manufaa, na moyo usiyo nyenyekea, na nafsi isiyo tosheka, na maombi yasiyo jibiwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Sema: Allaahumma kfinii bihalaalika an haraamika, wa aghninii bifadhlika amman siwaaka". Tafsiri: Ewe Mwenyezi Mungu nitosheleze kwa halali yako dhidi ya haramu yako, na unitajirishe kwa fadhila zako nisimuhitaji yeyote asiyekuwa wewe
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Watu wa aina tatu hatowasemesha Mwenyezi Mungu siku ya Kiyama wala hatowatakasa na watakuwa na adhabu chungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Asiache mapambo na kupendeza mwanamke yeyote kwa maiti zaidi ya siku tatu, isipokuwa kwa mume wake atakaa miezi minne na siku kumi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ubora wa msomi kwa mchamungu, ni kama ubora wangu mimi kwa aliyechini yenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mwenyezi Mungu nikinge na adhabu yako siku utakapowakusanya au kuwafufua waja wako
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Akasema: Alikuwa akishiriki katika kazi za familia yake (anakusudia kuhudumia familia yake), unapofika wakati wa swala anatoka kwenda katika swala
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayejifunza elimu katika yale yanayo ambayo hutafutwa radhi za Mwenyezi Mungu Mtukufu, hajifunzi isipokuwa kwa ajili ya kupata masilahi ya kidunia, basi hatoipata harufu ya Pepo siku ya Kiyama
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu anapompenda mja humuita Jibril na husema: Hakika mimi ninampenda fulani basi mpende, anasema: Jibril humpenda
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Siku moja mtu mmoja alikuwa akipita njiani akakuta tawi la miba likiwa njiani akaliondosha, Allah akamshukuru na akamfutia madhambi yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msitengeze mabustani, mkajakuipenda sana dunia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Lau angejua mwenye kupita mbele ya mwenye kuswali nini anachokipata, basi kusimama arobaini ni bora kwake kuliko kupita mbele yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika ndani ya Pepo kuna mti ambao anatembea aliyepanda kipando madhubuti chenye uimara na kasi kubwa ya kukimbia kwa muda wa miaka mia moja na haumalizi (kuuvuka) mti huo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Peponi kuna Soko, watakuwa wakienda hapo kila siku ya Ijumaa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Eneza maji ya udhu, na uachanishe kati ya vidole, na pandisha maji yafike puani, isipokuwa utakapokuwa umefunga
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu huwaadhibu wale wanaowaadhibu watu duniani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika hastahiki kuadhibu kwa Moto isipokuwa Mola Mlezi wa Moto
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilimuuliza Mtume rehema na amani ziwe juu yake kuhusu kutazama ghafla, akaniamrisha nigeuze jicho langu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Misikiti hii haifai kuwekwa chochote katika mikojo hii, wala uchafu wowote, bali hii ni kwa ajili ya kumtaja Mwenyezi Mungu Mtukufu, na kuswali, na kusoma Qur'ani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mtume rehema na amani ziwe juu yake amekataza kustanji kwa kinyesi cha wanyama au mfupa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba Mtume rehema na amani ziwe juu yake alikuwa anapotoka kukidhi haja anasema: "Ghufraanaka" Msamaha unatoka kwako
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Asistanji mmoja wenu kwa chini ya mawe matatu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Basi Mwenyezi Mungu ana huruma zaidi kwa waja wake kuliko mwanamke huyu kwa mtoto wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Waadhini wote watakuwa na shingo ndefu zaidi kuliko watu wote siku ya Kiyama
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
hebu chukueni katika matendo kiasi mkiwezacho, na Wallahi ninaapa, Mwenyezi Mungu hachoki mpaka mchoke
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Katika sunna atakaposema muadhini katika adhana ya Alfajiri: Hayya Alal-fala'h, aseme: Aswalatu khairu mmina nnaum. Yaani: Swala ni bora kuliko usingizi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Someni Qur'ani, kwani, itakuja Siku ya Kiyama kama muombezi kwa sahibu wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakitosimama Kiyama mpaka watu wajifaharishe katika Misikiti
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Liepukeni chafu hili alilolikataza Mwenyezi Mungu, atakayetumbukia katika hilo basi ajifiche kwa stara ya Mwenyezi Mungu na atubie kwa Mwenyezi Mungu, kwa sababu atakayetufungulia ukurasa wake tutamsimamishia kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtukufu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikataza kula kila chenye meno ya chonge katika wanyama wanaoshambulia, na kila chenye mdomo wa chonge katika ndege
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
“Ninaapa kwa yule ambaye nafsi yangu iko mkononi mwake, hakika, hiyo ni sawa na theluthi moja ya Qur'ani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Lau kama mtu atadhamiria ubaya akiwa katika mji wa eden (Yemen) mbali huko, basi Mwenyezi Mungu angemuonjesha adhabu chungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Kati ya kila adhana mbili kuna swala, kati ya kila adhana mbili kuna swala" Kisha akasema katika mara ya tatu: "Kwa atakayetaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Vaeni katika nguo zenu nguo nyeupe, kwani hizo ni katika nguo zenu bora, na wavisheni kwazo maiti wenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Fuatanisheni kati ya Hija na Umra, kwani huondoa umasikini na madhambi kama moto unavyoondoa uchafu wa chuma, na dhahabu, na fedha, na haina Hija nzuri na safi malipo isipokuwa Pepo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Kwa hakika ima wakome watu kuziacha swala za Ijumaa, au Mwenyezi Mungu atawapiga mihuri juu ya mioyo yao, kisha kwa hakika watakuwa ni miongoni mwa walioghafilika
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Atakayeacha Ijumaa tatu kwa kuzipuuzia; Mwenyezi Mungu hupiga muhuri katika moyo wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Hakuna Muislamu yeyote atakayefikwa na msiba akasema aliyoamrishwa na Mwenyezi Mungu: "Innaa lillaahi wa innaa ilaihi raajiuun" (Hakika sisi sote ni wa Mwenyezi Mungu na hakika sisi sote kwake tutarejea) [Baqara: 156], Ewe Mwenyezi Mungu nilipe katika msiba wangu, na unipe badala bora kuliko hili, isipokuwa Mwenyezi Mungu atampa badala bora kuliko hiyo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Hakika imeteremshwa juu yangu aya ni aya ninayoipenda zaidi kuliko dunia nzima
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Nina haja gani mimi na dunia, kwani mimi katika dunia hii ni kama msafiri aliyeshuka chini ya mti kisha akaondoka akauacha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Watatokea katika zama za mwisho watu wenye umri mdogo (vijana), wenye mawazo ya kipumbavu, watazungumza maneno mazuri kuliko maneno ya viumbe wote, (lakini) wanatoka katika Uislamu kama unavyotoka mshale katika upinde
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Muumini hatoacha kuendelea kuwa katika wigo mpana katika dini yake, madam hajagusa damu ya haramu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Walikuja watu kutoka kabila la Ukli au Uraina, wakauchukia mjini Madina
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Atakayefanya jambo la kustahiki kuadhibiwa, ikaharakishwa adhabu yake basi Mwenyezi Mungu ni muadilifu zaidi juu ya mja wake (hawezi) kumuadhibu mara mbili akhera
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Hakika Mwenyezi Mungu anaridhia kwenu mambo matatu, na anachukia kwenu mambo matatu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Hana imani asiyekuwa na uaminifu, na hana dini asiyekuwa na ahadi (za kweli)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Kusimzuie mmoja wenu kuwaogopa watu akaache kusema haki atakapoiona au kuijua
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Jambo la kwanza alilioanza kupewa Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na amani ziwe juu yake katika wahyi, ni njozi nzuri (za kweli) usingizini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Yeyote atakaetubebea silaha dhidi yetu, si miongoni mwetu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mkono unakatwa kwa robo Dinari na kuendelea
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kulikuwa na jeraha (kwa mmoja) katika wale waliokuwa kabla yenu, akakasirishwa nalo akachukua kisu akaukata mkono wake, damu ikachuruzika na wala haikukatika mpaka akafa, akasema Mwenyezi Mungu Mtukufu: Kaniharakisha mja wangu yeye mwenyewe, na mimi nimemharamishia pepo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hapigwi mtu zaidi ya viboko kumi isipokuwa kama itakuwa katika kutelekeza sheria miongoni mwa sharia za Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayefuga mbwa isipokuwa mbwa wa mawindo au wa mifugo, basi yatapungua katika matendo yake kila siku kiratu (shehena) mbili
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika mimi ninajua kuwa wewe ni jiwe, haudhuru wala haunufaishi, na lau kama nisingemuona Mtume rehema na amani ziwe juu yake akikubusu basi nisingekubusu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mwenyezi Mungu kwa ajili yako nimejisalimisha, na kwako nimeamini, na juu yako nimetegemea, na kwako nimejisogeza, na kwa ajili yako napambana. Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi najikinga kwako kwa utukufu wako hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa wewe najikinga kwa kuto nipoteza, wewe ndiye uliye hai ambaye hafi, na majini na watu wanakufa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Rudi kaswali, kwani wewe hujaswali
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Pindi mja muislamu au muumini atakapotawadha akaosha uso wake, madhambi yake yote yanayotokana na kuangalia yanaondoka na tone la maji au tone la mwisho usoni mwake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akitufundisha kutaka uchaguzi (kwa Mwenyezi Mungu) katika mambo yetu yote kama anavyotufundisha sura katika Qur'ani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Likiwekwa Jeneza, na wanaume wakalibeba katika shingo zao, likiwa ni la mtu mwema basi husema: Niwahisheni,
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuja mtu mmoja kwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akasema: Assalaam alaikum, akamjibu, kisha akakaa, akasema Mtume rehema na amani ziwe juu yake: "Kumi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi nakuomba uongofu na uchamungu na kujizuia na machafu nakuwa ni mwenye kutosheka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika umesema neno ambalo lau lingechanganywa na maji ya Bahari basi (lingeyabadili rangi) kwa kuchanganyika nayo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe baba Saidi, yeyote atakayeridhia kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Mola, na Uislamu kuwa ndiyo dini, na Muhammadi kuwa ni Nabii, basi atakuwa kastahiki Pepo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayesema: Sub-haanallaahi wabihamdi, (Ametakasika Mwenyezi Mungu Mtukufu na sifa njema ni zake) ataoteshewa mti wa mtende peponi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Jua litasogezwa karibu na viumbe Siku ya Kiyama mpaka liwe karibu nao umbali wa maili moja
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayefunga siku moja katika njia ya Mwenyezi Mungu, atauweka mbali Mwenyezi Mungu uso wake na moto miaka sabini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Wanaendelea watu kuwa katika kheri kwa muda wote watakaofanya haraka kufuturu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Tulikuwa tukitoa kipindi alipokuwa nasi Mtume rehema na amani ziwe juu yake zakatul fitiri, kwa kila mdogo na mkubwa, huru au mamluki, kibaba cha chakula, au kibaba cha siyagi, au kibaba cha ngano, au kibaba cha zabibu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Tulikula daku pamoja na Mtume rehema na amani ziwe juu yake, kisha akasimama kwenda katika swala, nikasema: Ulipita muda gani baina ya adhana na daku? Akasema: Kiasi cha (kusoma) aya hamsini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba Mtume rehema na amani ziwe juu yake alikuwa akikaa itikafu siku kumi za mwisho wa Ramadhani, mpaka alimpomfisha Mwenyezi Mungu, kisha wakakaa itikafu wake zake baada yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Chelewesheni kula daku, hakika katika kuchelewesha kula daku kuna baraka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msiitangulizie Ramadhani kwa swaumu ya siku moja wala siku mbili, isipokuwa mtu aliyekuwa akifunga swaumu fulani basi na aifunge
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alifaradhisha Mtume rehema na amani ziwe juu yake zakatul-fitiri kibaba cha tende, au kibaba cha ngano, kwa mtumwa na aliyehuru, na mwanaume na mwanamke, na mdogo na mkubwa katika waislamu, na akaamrisha itolewe kabla ya watu kutoka kwenda katika swala
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Si halali kwa mwanamke wa kiislamu kusafiri mwendo wa usiku mmoja, isipokuwa awe pamoja na mwanaume mwenye uharamu wa kumuoa (ndugu yake)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayesahau hali yakuwa kafunga akala au akanywa, basi atimize swaumu yake, kwani Mwenyezi Mungu kamlisha na kamnywesha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilishuhudia swala ya Idd pamoja na Omari bin Khattwab radhi za Allah ziwe juu yake, akasema: Siku mbili hizi alikataza Mtume rehema na amani ziwe juu yake kufunga ndani yake: Siku ya kufungua kwenu kutoka katika swaumu yenu, na siku nyingine ni ile mnayokula katika vichinjwa vyenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nikuwa Talbiya (kuitika) kwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake kulikuwa ni: Labbaikallaahumma labbaika -Nimekuitikia ewe Mola nimekutikia, Labbaika laa shariika laka labbaika -Nimekuitikia huna mshirika wako nimekuitikia, Hakika sifa njema na neema zote ni zako pamoja na ufalme, wewe pekee usiye na mshirika
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Utafuteni usiku wenye cheo (Lailatul Qadri) katika witiri za kumi la mwisho katika Ramadhani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Naona ndoto zenu zimeafikiana katika siku saba za mwisho, basi atakayetaka kuitafuta basi na aitafute katika siku saba za mwisho
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hivi kwani hajakuwekeeni Mwenyezi Mungu mambo mnayoweza kutoa sadaka: Hakika katika kila tasbihi (kauli ya sub-haanallaah) ni sadaka, na kila takbira (Allahu Akbaru) ni sadaka, na kila tahmidi (Alhamdulillah) ni sadaka, na kila tahalili (Laa ilaaha illallaahu) ni sadaka, na kuamrisha mema ni sadaka, na kukataza maovu ni sadaka, na katika kiungo cha siri cha mmoja wenu kuna sadaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msihusudiane, na wala msipandishiane bei, na wala msichukiane, na wala msitengane, na wala wasiuze baadhi yenu juu ya biashara ya wengine, na kuweni waja wa Mwenyezi Mungu ndugu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayemtatulia muumini tatizo moja katika matatizo ya dunia, Mwenyezi Mungu atamtatulia yeye tatizo katika matatizo ya siku ya Kiyama
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Enyi watu, tubieni kwa Mwenyezi Mungu, kwani mimi ninatubia kwa siku mara mia moja
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
hakika Mtume rehema na amani ziwe juu yake alijitenga mbali na mpiga mayowe, na mnyoa nywele, na mchana nguo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Walikuwa wana wa Israeli wakiongozwa na Manabii, kila anapokufa nabii anafuatiwa na nabii mwingine, na hakika hakuna nabii baada yangu, na watafuata Makhalifa (viongozi) baada yangu, na watakithiri
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume -rehema na amani ziwe juu yake- zinapoingia siku kumi (za mwisho wa ramadhani) anauhuisha usiku, na anawaamsha watu wake, na anaongeza juhudi na anakaza kikoi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kikoi cha muislamu kifikie nusu ya muundi, na wala hakuna tabu wala hakuna ubaya kikiwa kati yake na kati ya fundo mbili za miguu, kitakachokuwa chini ya fundo mbili basi hicho ni motoni, na atakayeburuza kikoi chake kwa kiburi hatomtazama Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kufanya ibada katika (nyakati) za vita vurugu na mauaji ni kama kuhama kuja kwangu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna muislamu yeyote ataomba maombi yasiyokuwa ndani yake na kuomba dhambi wala kukata udugu, isipokuwa Allah atampa kwa maombi hayo moja kati ya mambo matatu: Moja ima amuharakishie maombi yake, au amlimbikizie ili amlipe siku ya Kiyama, au amuondoshee katika mabaya mfano wake" Wakasema: (Maswahaba) kwa hiyo tuzidishe? Akasema: "Allah ni mwenye kuzidisha mara dufu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba Mtume -rehema na amani ziwe juu yake- alikuwa akisema wakati wa matatizo: "Laa ilaaha illa llaahul a'dhwiimul haliim, Laa ilaaha illa llaahu Rabbul A'rshil A'dhwiim, Laa ilaaha illa llaahu Rabbu ssamaawaati warabbul A'rshil kariim" Tafsiri: Hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu Mtukufu na Mpole, Hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu Mola wa A'rshi tukufu, Hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu Mola wa mbingu, na Mola wa ardhi, na Mola wa A'rshi takatifu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuwahi kuswali tena Mtume rehema na amani ziwe juu yake swala yoyote baada kuteremka kwake: "Itakapokuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ufunguzi" [An-Naswir:1] Isipokuwa alikuwa akisema ndani yake: "Sub-haanaka Rabbanaa wabihamdika Allaahummagh-firlii, (umetakasika Mola wetu Mlezi na sifa njema ni zako, ewe Mwenyezi Mungu nisamehe)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapopiga mwayo mmoja wenu basi na ashike mkono wake juu ya kinywa chake, kwani Shetani huingia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mtazameni aliyeko chini yenu, na wala msimtazame aliyeko juu yenu, kwa kufanya hilo, hilo litakufanyeni msidharau neema za Allah mlizonazo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Haki za muislamu juu ya muislamu mwenzake ni sita" Pakasemwa: Na ni zipi hizo ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu?, akasema: "Ukikutana naye msalimie, na akikuita muitikie, na akikutaka nasaha mnasihi, na akipiga chafya akamhimidi Mwenyezi Mungu basi muombee dua ya rehema, na akiugua mtembelee, na akifariki msindikize
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hamtazami Mwenyezi Mungu mwenye kuburuza nguo yake kwa kiburi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amewalaani Mwenyezi Mungu Mayahudi na Wakristo, waliyafanya makaburi ya Manabii wao kuwa mahali pa kusalia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayejikatia haki ya muislamu kwa mkono wake wa kulia, basi Mwenyezi Mungu atakuwa kamuwajibishia moto, na kamharamishia pepo" Bwana mmoja akamuuliza: Hata kikiwa kitu kidogo ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu? Akasema: "Hata kikiwa kijiti cha mswaki wa Araki
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Neema mbili wamepoteza thamani yake watu wengi: Afya na wakati
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba Mtume -rehema na amani ziwe juu yake- alikuwa akisema katika sijida yake: "Ewe Mwenyezi Mungu nisamehe mimi dhambi zangu ndogo zake na kubwa zake za mwanzo wake na mwisho wake, za wazi zake na za siri zake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika watoa laana hawatokuwa mashahidi wala watetezi siku ya Kiyama
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mola wenu Mlezi ni Mwenye haya Mkarimu, anamuonea haya mja wake atakapo nyanyua mikono yake kumuelekezea kisha amrejeshe patupu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika ungesema maneno manne, mara tatu, kama ungeyapima kwa uliyo yasema toka siku ya leo yangeyazidi uzito
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hawajawahi kukaa watu kikao chochote wakawa hawakumtaja Mwenyezi Mungu ndani yake, na wala hawakumsalia Nabii wao, isipokuwa itakuwa ni hasara juu yao, akitaka atawaadhibu na akitaka atawasamehe
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ondosha tatizo, ewe Mola wa watu, na ponya kwani wewe ndiye mponyaji, hakuna ponyo ila ponyo lako, ponyo lisiloacha ugonjwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika katika watu wanaopendeka zaidi kati yenu kwangu mimi, na atakayekaa karibu zaidi kati yenu na mimi siku ya Kiyama ni yule atakayekuwa na tabia njema zaidi kati yenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Dinari moja unayoitoa kwenye njia ya Allah, na dinari moja unayoitoa kwa mtumwa, na dinari moja unayoitoa sadaka kwa masikini, na dinari moja unayoitoa kwa familia yako, yenye malipo makubwa kuliko yote ni ile unayoitoa kwa familia yako
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika amefaulu aliye jisalimisha, na akaruzukiwa kujizuia na kuombaomba, na Allah akamkinaisha kwa kile alichompa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayeamka miongoni mwenu akiwa na afya njema katika mwili wake, akiwa na amani katika mji wake, na anamiliki chakula cha siku yake hiyo, basi atakuwa ni kama kakusanyiwa dunia (yote)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akipendelea dua fupi yenye kukusanya, na anaacha mengine yasiyokuwa hiyo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kiapo hutoa bidhaa, na hufuta faida
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msiutukane upepo, mkiona yanayo kuchukizeni katika upepo basi semeni: Ewe Allah tunaomba kheri za upepo huu na kheri zilizomo, na kheri ambazo kwazo umeamrishwa upepo huu, na tunataka hifadhi na ulinzi kutokana na shari zake ,na shari ambazo kwa sababu yake umeamrishwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Asiseme mmoja wenu: Ewe Mwenyzi Mungu nisamehe ukitaka, nirehemu ukitaka, niruzukua ukitaka, na adhamirie maombi yake, kwani yeye anafanya ayatakayo, hakuna wa kumlazimisha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amepata hasara mtu nitakayetajwa mbele yake na akawa hakunitakia rehema, na kapata hasara mtu ambaye itaingia Ramadhani mpaka ikatoweka kabla hajasamehewa, na kapata hasara mtu atakayewapata wazazi wake akiwa mtu mzima na wao wakiwa wazee na wakawa hawakumuingiza peponi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hana swaumu atakayefunga milele, na funga ya siku tatu ni sawa na kufunga mwaka mzima
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Basi usinifanye mimi kuwa shahidi, kwani siwezi kushuhudia dhulma
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Wana nini watu waliosema kadhaa wa kadhaa? lakini mimi ninaswali na ninalala na ninafunga na ninakula, na ninaoa wanawake; atakayeuchukia muongozo wangu basi hayuko nami
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna waislamu wawili watakaokutana wakapeana mikono isipokuwa watasamehewa kabla hawajaachana
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayehifadhi aya kumi za mwanzo wa suratul Kahf, atakingwa na Dajali". Na katika riwaya nyingine: "Za mwisho wa suratul Kahf
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayemtembelea mgonjwa ambaye hajafikiwa na mauti, akasema akiwa kwake mara saba: Namuomba Allah Mtukufu, Mola wa Arshi Tukufu, akuponye, isipokuwa Mwenyezi Mungu atamponya kwa maradhi hayo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika nyoyo za wanadamu zote ziko baina ya vidole viwili miongoni mwa vidole vya Rahmaan (Mwingi wa rehema), kama moyo wa mtu mmoja, anaugeuza kokote atakako
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuwahi kupewa hiyari Mtume rehema na amani ziwe juu yake baina ya mambo mawili hata siku moja isipokuwa atachukua jepesi lake, madamu si dhambi, ikiwa itakuwa ni dhambi, basi hujiwekanalo mbali kuliko watu wote
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Allah amng'arishe mtu aliyesikia kutoka kwangu chochote akakifikisha kama alivyo sikia, huenda mfikishiwa akawa mwerevu zaidi kuliko aliye sikia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hivi hamna imani na mimi hali yakuwa mimi ni muaminiwa wa yule aliyeko mbinguni, zinanijia habari za mbingu asubuhi na jioni
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ni vyako vyote ulivyotamani, na mfano wake pamoja navyo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mwenyezi Mungu atawakusanya watu wa mwanzo na mwisho katika udongo mmoja, atawasikilizisha mwenye kunadi, na atawapa upeo wa kuona, na jua linaposogea, watu watafikwa na tabu na matatizo kiasi ambacho hawatoweza kuvumilia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika muumini peponi atakuwa na Hema moja la madini ya lulu lililo wazi urefu wake kwenda juu ni maili sitini, muumini humo atakuwa na wake, akiwazungukia na wala baadhi yao hawawaoni wenzao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amemlaani Mtume rehema na amani ziwe juu yake mwanaume anayevaa vazi la mwanamke, na mwanamke anayevaa vazi la mwanaume
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayeandaa mnyama kwa ajili ya kuchinja, na ukaandama mwandamo wa mwezi Dhul Hija, basi asipunguze chochote katika nywele zake wala kucha zake mpaka atakapochinja mnyama wake wa Udh-hiya
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Inapokuja Ramadhani hufunguliwa milango ya pepo na hufungwa milango ya moto, na mashetani hufungwa minyororo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amesema Allah Aliyetakasika na kutukuka: Nimewaandalia waja wangu wema, vitu ambavyo jicho halijawahi kuona, wala sikio kusikia, wala haijawahi kupita katika fikira ya moyo wa binadamu yeyote
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake na maneno machafu wala mwenye kujilazimisha machafu, wala hakuwa na makelele masokoni, na wala alikuwa halipi ubaya kwa ubaya, lakini alikuwa akisamehe na kufuta kosa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika kaburi ndio kituo cha kwanza katika vituo vya Akhera, ikiwa mtu atasalimika nalo basi yajayo baada yake ni mepesi kuliko hili, na asiposalimika nalo basi yajayo baada yake ni magumu kuliko hili
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu