عَنِ ابْنِ عُمَرَ رَضيَ اللهُ عنهما قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ:
«إِنَّ أَحَبَّ أَسْمَائِكُمْ إِلَى اللهِ عَبْدُ اللهِ وَعَبْدُ الرَّحْمَنِ».
[صحيح] - [رواه مسلم] - [صحيح مسلم: 2132]
المزيــد ...
kutoka kwa bin Omari radhi za Allah ziwe juu yao yeye na baba yake, amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na amani ziwe juu yake:
"Hakika majina yenu yanayopendeza zaidi kwa Mwenyezi Mungu ni Abdullah na Abdul-Rahman".
[Sahihi] - [Imepokelewa na Imamu Muslim] - [صحيح مسلم - 2132]
Ameeleza Mtume rehema na amani ziwe juu yake ya kwamba majina yanayopendeza zaidi kwa Mwenyezi Mungu ni kumuita mtoto wa kiume: Abdullah, au Abdul-Rahman (Mja wa Allah au Mja wa Rahman).