Orodha ya Hadithi

Muunga udugu si mlipa fadhila, bali muunga udugu ni yule ambaye udugu wake ukikatwa anauunga
عربي الإنجليزية الأوردية
Muumini iliyekamilika zaidi imani yake ni yule mwenye tabia nzuri zaidi kuliko wengine, na mbora wenu ni yule mbora wenu kwa wake zake
عربي الإنجليزية الأوردية
Dunia ni starehe, na starehe yake bora ni mke mwema
عربي الإنجليزية الأوردية
Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu: Toa ewe mwanadamu na mimi nikupe
عربي الإنجليزية الأوردية
Sharti zenye haki zaidi kwenu nyinyi kuzitekeleza ni zile mlizohalalishia tupu
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakapotoa matumizi mtu kwa familia yake kwa kutaraji malipo, basi hiyo kwake ni sadaka
عربي الإنجليزية الأوردية
Yakuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- amekataza kunyoa kiduku
عربي الإنجليزية الأوردية
Alitufundisha Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- hotuba ya dharura (Haja)
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakuna ndoa ila kuwe na walii (Msimamizi)
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika dunia ni tamu, ni ya kijani, na hakika Mwenyezi Mungu anakumilikisheni ndani yake aone ni namna gani mtafanya, iogopeni dunia na waogopeni wanawake
عربي الإنجليزية الأوردية
Hachukii muumini wa kiume tabia za muumini wa kike, akichukia tabia fulani basi ataridhishwa na tabia nyingine
عربي الإنجليزية الأوردية
Kunyonya pamoja kuna haramisha yale yanayo haramishwa na kuzaliwa pamoja
عربي الإنجليزية الأوردية
Kila mmoja miongoni mwenu ni mchunga hivyo ataulizwa kuhusu raia wake
عربي الإنجليزية الأوردية
Enyi kongamano la vijana mwenye uwezo miongoni mwenu wa kuoa na aoe, kwani ndoa ni sababu ya kuinamisha macho na kulinda tupu, na asiekuwa na uwezo basi ajilazimishe kufunga, hakika funga kwake itakata matamanio
عربي الإنجليزية الأوردية
Tahadharini sana na kuingia/kukaa kwa wanawake" Mtu mmoja katika Maanswari akasema: Ewe Mtume wa Allah vipi kuhusu shemeji? Akasema: "Shemeji ni kifo
عربي الإنجليزية الأوردية
Enyi hadhara ya wanawake, toeni sadaka, kwani hakika mimi nilionyeshwa kuwa nyinyi ndio wengi katika watu wa motoni" Wanawake wakasema: Na ni kwa nini ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu? Akasema: "Mnazidisha sana kulaani (kutukana) na mnawapinga waume, na mimi sijapata kuona wapungufu wa akili na dini wenye kuweza kuteka moyo ya mwanaume makini kuliko nyinyi
عربي الإنجليزية الأوردية
Asisafiri mwanamke mwendo wa siku mbili mpaka awe pamoja na mume wake, au maharimu yake
عربي الإنجليزية الأوردية
Mwanamke yeyote atakayeolewa bila idhini ya walii wake, basi ndoa yake ni batili" Akasema hivyo mara tatu "Ikiwa atamuingilia basi mahari yake ndio itakuwa kwa ajili ya kile alichokifanya kwake, na ikiwa watazozona basi kiongozi ndiye msimamizi wa asiyekuwa na msimamizi
عربي الإنجليزية الأوردية
Amelaaniwa mwenye kumuingilia mke wake kinyume na maumbile
عربي الإنجليزية الأوردية
Nilisema: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, ni zipi haki za mke wa mmoja wetu juu yake?, Akasema: "Ni umlishe pale unapokula, na umvishe unapovaa, au utakapopata kipato, na wala usipige uso, na wala usitoe maneno machafu, na wala usihame isipokuwa ndani ya nyumba
عربي الإنجليزية الأوردية
Kamlaani Mtume rehema na amani ziwe juu yake mwenye kuunga nywele na mwenye kuungwa, na mwenye kuchora chata na mwenye kuchorwa
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakayekuwa na wake wawili akaegemea kwa mmoja wao atakuja siku ya Kiyama upande wake mmoja ukiwa umepinda
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika Mwenyezi Mungu amewafutia umma wangu yale yanayozungumzwa na nafsi zao, madamu hayajafanyiwa kazi au kuzungumzwa
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika majina yenu yanayopendeza zaidi kwa Mwenyezi Mungu ni Abdullah na Abdul-Rahman
عربي الإنجليزية الإندونيسية
Hakika mimi siwapi mkono wanawake, bali hakika kauli yangu kwa wanawake mia moja ni sawa na kauli yangu kwa mwanamke mmoja
عربي الإنجليزية الإندونيسية
Chukua katika mali yake kwa wema, kiasi kinachokutosha wewe na wanao
عربي الإنجليزية الأوردية
Ukipenda unaweza kuvumulia na utapata malipo ya Pepo, na ukitaka nitakuombea kwa Mwenyezi Mungu akuponye
عربي الإنجليزية الأوردية
Mkono wa juu ni bora kuliko mkono wa chini
عربي الإنجليزية الأوردية
Msaidie ndugu yako akiwa amedhulumu au kudhulumiwa
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika vitu hivi viwili ni haramu kwa wanaume wa umma wangu, ni halali kwa wanawake wao
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika wamekuja katika familia za Muhammad wanawake wengi wakiwashitakia waume zao, (wanaume) hao si bora kati yenu
عربي الإنجليزية الأوردية
Asiache mapambo na kupendeza mwanamke yeyote kwa maiti zaidi ya siku tatu, isipokuwa kwa mume wake atakaa miezi minne na siku kumi
عربي الإنجليزية الأوردية
Akasema: Alikuwa akishiriki katika kazi za familia yake (anakusudia kuhudumia familia yake), unapofika wakati wa swala anatoka kwenda katika swala
عربي الإنجليزية الأوردية
Msiwazuie vijakazi wa Mwenyezi Mungu kwenda katika misikiti ya Mwenyezi Mungu, lakini wakitaka kutoka watoke wakiwa hawajajipamba
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika Mwenyezi Mungu anaridhia kwenu mambo matatu, na anachukia kwenu mambo matatu
عربي الإنجليزية الإندونيسية
Hivi nisikuelezeni lililo bora kuliko daraja ya swaumu na swala na sadaka?
عربي الإنجليزية الأوردية
Dinari moja unayoitoa kwenye njia ya Allah, na dinari moja unayoitoa kwa mtumwa, na dinari moja unayoitoa sadaka kwa masikini, na dinari moja unayoitoa kwa familia yako, yenye malipo makubwa kuliko yote ni ile unayoitoa kwa familia yako
عربي الإنجليزية الأوردية
Basi usinifanye mimi kuwa shahidi, kwani siwezi kushuhudia dhulma
عربي الإنجليزية الأوردية
Amemlaani Mtume rehema na amani ziwe juu yake mwanaume anayevaa vazi la mwanamke, na mwanamke anayevaa vazi la mwanaume
عربي الإنجليزية الأوردية
Kilichoshuka chini ya kongo mbili katika kikoi hicho ni motoni
عربي الإنجليزية الإندونيسية