عن ابن عمر رضي الله عنهما ، قال: نهى رسول الله صلى الله عليه وسلم عن القَزَع.
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...

Kutoka kwa bin Omari -Radhi za Allah ziwe juu yao- Amesema: Amekataza Mtume wa Allah -Rehma na amani ziwe juu yake kunyoa panki(Kiduku)
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim

Ufafanuzi

Amekataza Mtume wa Allah -Rehma na amani ziwe juu yake kunyolewa baadhi ya kichwa cha mtoto na kuachwa baadhi, na katazo hili linamuhusu kila mmoja.

Kufanya Tarjama: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibaghali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kireno Kimalayo Kitelguu Kunakili kumbukumbu mahala pa kutafsiri Burmese Thai Kijapani
Kuonyesha Tarjama

Faida nyingi

  1. Katazo la kunyoa baadhi ya kichwa na kuacha baadhi yake.