عن ابن عمر رضي الله عنهما ، قال: نهى رسول الله صلى الله عليه وسلم عن القَزَع.
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...
Kutoka kwa bin Omari -Radhi za Allah ziwe juu yao- Amesema: Amekataza Mtume wa Allah -Rehma na amani ziwe juu yake kunyoa panki(Kiduku)
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim
Amekataza Mtume wa Allah -Rehma na amani ziwe juu yake kunyolewa baadhi ya kichwa cha mtoto na kuachwa baadhi, na katazo hili linamuhusu kila mmoja.