عن ابن عمر رضي الله عنهما ، قال: نهى رسول الله صلى الله عليه وسلم عن القَزَع.
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...

Kutoka kwa bin Omari -Radhi za Allah ziwe juu yao- Amesema: Amekataza Mtume wa Allah -Rehma na amani ziwe juu yake kunyoa panki(Kiduku)
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim

Ufafanuzi

Amekataza Mtume wa Allah -Rehma na amani ziwe juu yake kunyolewa baadhi ya kichwa cha mtoto na kuachwa baadhi, na katazo hili linamuhusu kila mmoja.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kivetenamu Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kireno Kimalayo Kitelguu Kunakili kumbukumbu mahala pa kutafsiri Burmese Thai Kijapani Pashto Kiassam Albanian السويدية الأمهرية الهولندية الغوجاراتية الدرية
Kuonyesha Tarjama

Katika Faida za Hadithi

  1. Katazo la kunyoa baadhi ya kichwa na kuacha baadhi yake.
Ziada