عن أبي هريرة رضي الله عنه عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: «إيَّاكم والظنَّ، فإن الظنَّ أكذبُ الحديث».
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...
kutoka kwa Abuu Huraira radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake, kutoka kwa Mtume rehema na Amani zimfikie, amesema: "Jiepusheni na dhana, kwani dhana ni maneno ya uongo".
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim
Katika hadithi kuna tahadhari kutokana na dhana ambayo haijajengwa juu ya ushahidi, kiasi ambacho anaamini mtu juu ya dhana hii kavu isiyo na ushahidi na kisha anajenga hukumu juu yake, nakuwa hili ni katika tabia mbaya, nakuwa hili ni katika maneno ya uongo mno, kwasababu mdhaniaji atakapoyaamini yale yanayotegemewa na akayafanya kuwa ndiyo asili na akakata shauri kwayo tayari unakuwa ni uongo bali uongo mbaya mno.