عن جبير بن مطعم رضي الله عنه مرفوعاً: «لا يدخل الجنة قاطع».
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...

Kutoka kwa Jubair bin Mutwi'm Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Hadithi Marfu'u: "Haingii peponi mkataji (udugu)".
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim

Ufafanuzi

Hadithi hii ni dalili juu ya uharamu wa kukata udugu, nakuwa hilo ni katika madhambi makubwa, na maana ya hadithi: Ni kukanushwa kuingia ambako hakujatanguliwa na adhabu, na wala si kukanusha msingi wa kuingia moja kwa moja; kwasababu mkata udugu si kafiri mpaka iwe ni haramu kwake pepo, bali mafikio yake ni peponi moja kwa moja madamu ni mtu mwenye tauhidi (mwenye kumpwekesha Mwenyezi Mungu), lakini ataingia ambako kutatanguliwa na adhabu kwa kadiri ya dhambi lake.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kivetenamu Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kireno Kimalayo Kitelguu Kunakili kumbukumbu mahala pa kutafsiri Burmese Thai German Kijapani Pashto Kiassam Albanian السويدية الأمهرية الهولندية الغوجاراتية الدرية
Kuonyesha Tarjama

Katika Faida za Hadithi

  1. Kukata udugu ni dhambi katika madhambi makubwa. Hatari ya kukata udugu, na kubainishwa madhara yake.