عن عائشة رضي الله عنها قالت: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «أَبْغَضُ الرِّجَالِ إِلى اللهِ الأَلَدُّ الخَصِمُ».
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...

Kutoka kwa Aisha Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake Amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na Amani ziwe juu yake-: "Watu wanaochukiza zaidi kwa Mwenyezi Mungu ni mgomvi zaidi".
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim

Ufafanuzi

Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu anamchukia mgomvi sana na mwenye ugomvi wa kudumu ambaye hakubali kujisalimisha mbele ya haki.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kivetenamu Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kireno Kimalayo Kitelguu Kunakili kumbukumbu mahala pa kutafsiri Burmese Thai German Kijapani Pashto Kiassam Albanian السويدية الأمهرية الهولندية الغوجاراتية الدرية
Kuonyesha Tarjama

Katika Faida za Hadithi

  1. Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu anamchukia mwanaume mwenye ugomvi mwingi na mijadala.
  2. Nikuwa yule mwenye kuhojiwa juu ya haki yake na hali yakuwa yeye amedhulumiwa kwa njia ya mahojiano ya kisheria, na njia ya kupeleka kesi ni za kisheria, hii haina tatazo na wala haiingii katika mlango wa ugomvi uliokemewa.
  3. Nikuwa mwanadamu anapogombana basi anatakiwa kuwa na ushahidi, ili aifikie haki yake, na wala asiukazanie ugomvi.
  4. (Wanaume wanaochukiza zaidi) hii ni katika kutaja kilichokithiri, na kama si hivyo hata mwanamke naye pia ni kama mwanaume katika hukumu.
  5. Nikuwa yule anayemshinda mwenzie na akazozana naye lakini kwa haki, swala hili ni sawa na mfanyaji wake anapendeka kwa Mwenyezi Mungu wala hachukiwi.
  6. Katika hadithi kumethibitishwa sifa ya kuchukia kwa Mwenyezi Mungu Aliyetakasika na Kutukuka kwa namna inayonasibiana naye Mtukufu.