عن عائشة رضي الله عنها قالت: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «أَبْغَضُ الرِّجَالِ إِلى اللهِ الأَلَدُّ الخَصِمُ».
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...
Kutoka kwa Aisha Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake Amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na Amani ziwe juu yake-: "Watu wanaochukiza zaidi kwa Mwenyezi Mungu ni mgomvi zaidi".
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim
Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu anamchukia mgomvi sana na mwenye ugomvi wa kudumu ambaye hakubali kujisalimisha mbele ya haki.