Orodha ya Hadithi

Hivi nikuelezeni madhambi makubwa?
عربي الإنجليزية الأوردية
Yaepukeni mambo saba yenye kuangamiza
عربي الإنجليزية الأوردية
Tahadharini na dhana; kwani dhana ni mazungumzo ya uongo mno
عربي الإنجليزية الأوردية
Haingii peponi mfitinishaji
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika mtu anayechukiza zaidi kwa Mwenyezi Mungu ni mgomvi mkorofi
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika Mwenyezi Mungu humpa muda dhalimu, mpaka akija kumuadhibu hambakishi
عربي الإنجليزية الأوردية
Yakuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- amekataza kunyoa kiduku
عربي الإنجليزية الأوردية
Tulikuwa kwa Omari akasema: "Tumekatazwa kujilazimisha
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika hao wawili wanaadhibiwa, na hawaadhibiwi kwa makosa makubwa, ama mmoja wao alikuwa hajistiri na mkojo, na ama mwingine alikuwa akitembea kwa kuchonganisha watu
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika mimi ninajua neno ambalo lau kama angelisema yangemuondokea anayaoyapata (katika hasira), lau angesema: Audhubillaahi minash-shaitwani, -Najilinda kwa Mwenyezi Mungu kutokana na Shetani- ingemuondokea hasira anayoipata
عربي الإنجليزية الأوردية
Kumtukana Muislamu ni ufasiki (kutoka nje ya mipaka), na kupigana naye ni ukafiri
عربي الإنجليزية الأوردية
Ogopeni dhulma, kwa hakika dhulma ni giza siku ya kiyama. Na ogopeni tamaa, kwa hakika tamaa iliwaangamiza walio kuwepo kabla yenu
عربي الإنجليزية الأوردية
Je mnajua ni nani aliyefilisika?
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakayesimulia kutoka kwangu mazungumzo ambayo yanaonekana kuwa ni uongo basi huyo ni mmoja kati ya waongo
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika shetani alishakata tamaa kuabudiwa na wenye kuswali katika kisiwa cha Arab, Lakini yuko katika kuwachochea baina yao
عربي الإنجليزية الأوردية
Asiangalie mwanaume katika uchi wa mwanaume mwenzie, wala mwanamke kutazama uchi wa mwanamke mwenzie
عربي الإنجليزية الأوردية
Yeyote atakayenisingizia mimi uongo kwa makusudi basi ajiandalie makazi yake kuwa ni motoni
عربي الإنجليزية الأوردية
Katika uzuri wa uislamu wa mtu: Ni kuacha kwake yale yasiyomuhusu
عربي الإنجليزية الأوردية
Pindi atakapaowakusanya Mwenyezi Mungu wa mwanzo na wa mwisho siku ya Kiyama itanyanyuliwa bendera kwa kila haini, patasemwa: Hii ndio hiana ya fulani bin fulani
عربي الإنجليزية الأوردية
Lau mwanadamu angelikuwa na mabonde mawili ya mali basi angelitafuta la tatu
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakayejifunza elimu katika yale yanayo ambayo hutafutwa radhi za Mwenyezi Mungu Mtukufu, hajifunzi isipokuwa kwa ajili ya kupata masilahi ya kidunia, basi hatoipata harufu ya Pepo siku ya Kiyama
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika Mwenyezi Mungu huwaadhibu wale wanaowaadhibu watu duniani
عربي الإنجليزية الأوردية
Achaneni (na ubaguzi) kwani una nuka
عربي الإنجليزية الأوردية
Msimlaani, Wallahi, namuapa Mwenyezi Mungu sikujua lolote kwake isipokuwa anampenda Mwenyezi Mungu na Mtume wake
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika umesema neno ambalo lau lingechanganywa na maji ya Bahari basi (lingeyabadili rangi) kwa kuchanganyika nayo
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika watoa laana hawatokuwa mashahidi wala watetezi siku ya Kiyama
عربي الإنجليزية الأوردية