عن حذيفة رضي الله عنه عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: «لا يدخل الجنة قَتَّات».
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...
Kutoka kwa Hudhaifa- Radhi za Allah ziwe juu yake- kutoka kwa Mtume- Rehma na amani ziwe juu yake- amesema: "Haingii peponi mfitinishaji".
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim
Anaeleza Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake ahadi kali ya adhabu juu ya mwenye kufanya ufitinishaji- kuhamisha maneno kati ya watu kwa lengo la kuharibu-, nayo nikuwa hatoingia peponi mwanzoni, bali atatanguliwa na adhabu kwa kadiri ya dhambi lake, na mfitinishaji ni msengenyaji, na kitendo chake ni katika madhambi makubwa; kwa mujibu wa hadithi hii.