عن حذيفة رضي الله عنه عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: «لا يدخل الجنة قَتَّات».
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...

Kutoka kwa Hudhaifa- Radhi za Allah ziwe juu yake- kutoka kwa Mtume- Rehma na amani ziwe juu yake- amesema: "Haingii peponi mfitinishaji".
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim

Ufafanuzi

Anaeleza Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake ahadi kali ya adhabu juu ya mwenye kufanya ufitinishaji- kuhamisha maneno kati ya watu kwa lengo la kuharibu-, nayo nikuwa hatoingia peponi mwanzoni, bali atatanguliwa na adhabu kwa kadiri ya dhambi lake, na mfitinishaji ni msengenyaji, na kitendo chake ni katika madhambi makubwa; kwa mujibu wa hadithi hii.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kihindi Kivetenamu Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kireno Kimalayo Kitelguu Kunakili kumbukumbu mahala pa kutafsiri Burmese Thai German Kijapani Pashto Kiassam Albanian السويدية الأمهرية الهولندية الغوجاراتية الدرية
Kuonyesha Tarjama

Katika Faida za Hadithi

  1. Usengenyaji ni katika madhambi makubwa; kwa yale yanayopatikana ndani yake katika athari mbaya, na mwisho mbaya.
  2. Nikuwa sheria hii imejengwa juu ya yote ambayo ndani yake yanaleta huruma kati ya watu.