عن أبي هريرة رضي الله عنه مرفوعا: "قال تعالى : أنا أغنى الشركاء عن الشرك؛ من عمل عملا أشرك معي فيه غيري تركتُه وشِرْكَه".
[صحيح] - [رواه مسلم]
المزيــد ...

Kutoka kwa Abuu Huraira radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake, Hadithi Marfu'u: "Amesema -Mtukufu- Mimi nimejitosheleza na washirika juu ya kushirikishwa; atakayefanya jambo lolote akamshirikisha pamoja nami mwingine nitamuacha na shirki yake au (na mshirika wake)."
Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim

Ufafanuzi

Anapokea rehema na Amani zimfikie kutoka kwa Mola wake Mtukufu- Na huitwa hadithil Qudsiy- Kuwa yeye anajiepusha na amali yoyote ambayo imeingiwa ushirika na yeyote kwa kujionyesha au kwa kingine; kwasababu yeye Mtukufu hakubali ispokuwa yale yaliyotakasiwa nia kwa kutaka radhi zake.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kivetenamu Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kireno Kimalayo Kitelguu Kunakili kumbukumbu mahala pa kutafsiri Burmese Thai German Kijapani Pashto Kiassam Albanian السويدية الأمهرية
Kuonyesha Tarjama

Katika Faida za Hadithi

  1. Kutahadhari na ushirikina kwa namna zake zote; nakuwa ushirikina unazuia kukubaliwa matendo.
  2. Ulazima wa kutakasa matendo kwaajili ya Mwenyezi Mungu Mtukufu- kutokana na aina zote za shirki.
  3. Kumsifu Mwenyezi Mungu kwa sifa ya kuzungumza.
  4. Kuthibitisha sifa ya utajiri wa moja kwa moja kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.
  5. Hakubali Mwenyezi Mungu jambo lolote ispokuwa litakalokuwa limefanyika kwaajili yake yeye Mtukufu.
  6. Kuthibitisha ukarimu wa Mwenyezi Mungu Mtukufu.