عن عبد الله بن عمر رضي الله عنهما عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: «من تَشبَّه بقوم، فهو منهم».
[حسن] - [رواه أبو داود وأحمد]
المزيــد ...
Kutoka kwa Abdallah bin Omar Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- kutoka kwa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake: Amesema: "Mwenye kujifananisha na watu basi yeye ni miongoni mwao".
Ni nzuri - Imepokelewa na Abuu Daud
Hadithi inamaanisha ujumla, atakayejifananisha na watu wema basi atakuwa mwema na atafufuliwa pamojanao, na atakayejifananisha na makafiri au waovu basi na yeye atakuwa katika njia yao na mfumo wao.