عن أبي مسعود البدري رضي الله عنه عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: «من دلَّ على خير، فله مثلُ أجرِ فاعلِه».
[صحيح] - [رواه مسلم]
المزيــد ...
Na kutoka kwa Abii Masudi Al-Badriy- radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake, kutoka kwa Mtume rehema na Amani zimfikie, amesema: "Atakayejulisha juu ya kheri yoyote, atapata malipo mfano wa malipo ya mfanyaji wake.".
Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim
Hadithi hii ni tukufu, inaonyesha kuwa yeyote atakayemjulisha mwenzie katika kheri atakuwa na malipo mfano wa yale yaliyoko kwa mfanyaji, na hii inajumuisha kuelekeza kwa kauli kama kufundisha na kuelekeza kwa vitendo nako nikuwa kiigizo chema.