عن أبي مسعود البدري رضي الله عنه عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: «من دلَّ على خير، فله مثلُ أجرِ فاعلِه».
[صحيح] - [رواه مسلم]
المزيــد ...

Na kutoka kwa Abii Masudi Al-Badriy- radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake, kutoka kwa Mtume rehema na Amani zimfikie, amesema: "Atakayejulisha juu ya kheri yoyote, atapata malipo mfano wa malipo ya mfanyaji wake.".
Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim

Ufafanuzi

Hadithi hii ni tukufu, inaonyesha kuwa yeyote atakayemjulisha mwenzie katika kheri atakuwa na malipo mfano wa yale yaliyoko kwa mfanyaji, na hii inajumuisha kuelekeza kwa kauli kama kufundisha na kuelekeza kwa vitendo nako nikuwa kiigizo chema.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kivetenamu Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kireno Kimalayo Kitelguu Kunakili kumbukumbu mahala pa kutafsiri Burmese Thai German Kijapani Pashto Kiassam Albanian السويدية الأمهرية الهولندية الغوجاراتية الدرية
Kuonyesha Tarjama

Katika Faida za Hadithi

  1. Kuhimizwa juu ya kuelekeza katika kheri. Nyenzo huchukua hukumu ya malengo yake.