عن أبي هريرة رضي الله عنه : أن رجلًا قال للنبي -صلى الله عليه وآله وسلم-: أوصني، قال لا تَغْضَبْ فردَّدَ مِرارًا، قال لا تَغْضَبْ».
[صحيح] - [رواه البخاري]
المزيــد ...
Kutoka kwa Abuu Huraira -Radhi za allah zimwendee- akisimulia kutoka kwa mtume: Kwamba mtu mmoja alimwambia Mtume -Rehma na amani ziwe juu yake- Niusie, Akasema: Usighadhibike, akarudiarudia swali na Mtume naye akaendelea kumwambia: Usighadhibike"
Sahihi - Imepokelewa na Al-Bukhaariy
Mmoja wa maswahaba -Radhi za Allah ziwe juu yao- alimtaka Mtume -Rehma na amani ziwe juu yake- amuamrishe jambo ambalo litamfaa katika dunia na akhera, Mtume akamuambia asiwe mwenye hasira, na katika wasia wake huo aliposema " Usikasirike" unaondosha shari nyingi za watu.