عن أبي سعيد الخدري رضي الله عنه أن رسول الله -صلى الله وعليه وسلم- قال: «لا ضَرَرَ ولا ضِرَارَ».
[صحيح] - [رواه ابن ماجه من حديث أبي سعيد الخدري -رضي الله عنه- ومن حديث عبادة بن الصامت -رضي الله عنه-.
ورواه أحمد من حديث عبادة بن الصامت -رضي الله عنه-.
ورواه مالك من حديث عمرو بن يحي المازني مرسلا]
المزيــد ...
Kutoka kwa Abii Saidi Al-Khudriy- Radhi za Allah ziwe juu yake- Yakwamba Mtume -Rehma na amani ziwe juu yake- "Amesema: "Hakufai kujidhuru wala kumdhuru mwingine.".
Sahihi - Imepokelewa na Ibnu Maajah
Hadithi hii inatupa kanuni ya uislamu katika sheria, na kanuni za tabia njema na namna ya kuamiliana na watu, nayo ni kuwaondolea madhara kwa aina zake tofauti tofauti na njia zake, madhara yameharamishwa na kuondoa madhara ni wajibu, na madhara bado yanaendelea kudhuru, na madhara yameharamishwa.