Orodha ya Hadithi

Acha yanayokutia shaka na uende katika yale yasiyokutia shaka
عربي الإنجليزية الأوردية
Haifai kujidhuru wala kumdhuru mwingine
عربي الإنجليزية الأوردية
Niacheni na vile nilivyo kuachieni, hakika waliangamia waliokuwa kabla yenu kwa sababu ya maswali mengi na kuwapinga mitume wao
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika halali iko wazi, na hakika haramu iko wazi
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakuna kujidhuru wala kusababisha madhara, na atakayedhuru Allah naye atamdhuru, na atakayemtia mtu uzito Mwenyezi Mungu atamtia uzito naye
عربي الإنجليزية الأوردية
Niliyokukatazeni basi yaepukeni, na yale niliyokuamrisheni basi yaleteni katika hayo kadiri muwezavyo, na hakika waliangamia wale waliokuwa kabla yenu, kwa kukithiri maswali yao, na kuhitilafiana kwao na Manabii wao
عربي الإنجليزية الأوردية
Ni nini kinachowaogopesha hawa? wanapatwa na ulaini (wanazikubali) katika aya zilizo wazi, na wanaangamia katika aya zinazotatiza
عربي الإنجليزية الأوردية
Acha linalokutia shaka fanya lisilokutia shaka, kwani ukweli ni utulivu, na bila shaka uongo ni shaka
عربي الإنجليزية الأوردية
Kwa hakika Mwenyezi Mungu anapenda ichukuliwe ruhusa yake katika kufanya yaliyo mepesi, kama vile anavyopendelea kwa waja wake kufanya mambo yake aliyowawajibishia kuyafanya
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakapo hisi mmoja wenu chochote tumboni kwake, akapata wasi wasi, je kuna chochote kimemtoka au la?, basi asitoke msikitini mpaka asikie sauti, au anuse harufu
عربي الإنجليزية الأوردية
Tulikatazwa kusindikiza jeneza, na hatukusisitiziwa katazo hilo
عربي الإنجليزية الأوردية
Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, hivi wasemaje endapo atakuja mtu anataka kuchukua mali yangu?
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika mchamungu wenu na mwenye kumjua zaidi Mwenyezi Mungu kwenu nyinyi ni mimi
عربي الإنجليزية الأوردية