Orodha ya Hadithi

Niacheni na vile nilivyo kuachieni, hakika waliangamia waliokuwa kabla yenu kwa sababu ya maswali mengi na kuwapinga mitume wao
عربي الإنجليزية الأوردية
Niliyokukatazeni basi yaepukeni, na yale niliyokuamrisheni basi yaleteni katika hayo kadiri muwezavyo, na hakika waliangamia wale waliokuwa kabla yenu, kwa kukithiri maswali yao, na kuhitilafiana kwao na Manabii wao
عربي الإنجليزية الأوردية
Tulikatazwa kusindikiza jeneza, na hatukusisitiziwa katazo hilo
عربي الإنجليزية الأوردية