Orodha ya Hadithi

Hawezi kuwa na imani mmoja wenu mpaka ampendelee ndugu yake anachokipenda yeye katika nafsi yake
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika Mwenyezi Mungu amefaradhisha (kutenda) wema katika kila kitu
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika katika yale waliyoyakuta watu miongoni mwa maneno ya kiutume ya mwanzo, usipokuwa na haya basi fanya ulitakalo
عربي الإنجليزية الأوردية
Wema ni tabia njema, na dhambi ni lile lililokukereketa katika nafsi yako na ukawa hukupendezwa watu walione
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakapompenda mtu ndugu yake basi na amueleze kuwa anampenda
عربي الإنجليزية الأوردية
Allah amhurumie mtu ambaye ni mpole anapouza, na anaponunua, na anapo dai deni
عربي الإنجليزية الأوردية
Kulikuwa na mtu akiwakopesha watu,basi alikuwa akisema kumwambia kijana wake (Akienda kudai): Ukifika kwa mwenye hali ngumu, basi msamehe, huenda nasi Allah akatusamehe
عربي الإنجليزية الأوردية
Mche Mwenyezi Mungu popote ulipo, na ovu lifuatishe jema litalifuta, na ishi na watu kwa tabia njema
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika Mwenyezi Mungu amewajibisha (kufanya) wema katika kila kitu
عربي الإنجليزية الأوردية
Usikasirike
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika waadilifu mbele ya Mwenyezi Mungu watakuwa katika mimbari za nuru, kuliani mwa Allah Mtukufu, na mikono yake yote miwili ni kulia
عربي الإنجليزية الأوردية
Mwenye kunyimwa upole basi kanyimwa kheri yote
عربي الإنجليزية الأوردية
Kamwe!, Usidharau chochote katika wema, hata kama ni kukutana na ndugu ukiwa na uso mkunjufu
عربي الإنجليزية الأوردية
Mtu hawi na nguvu kwa kupigana miereka, bali mwenye nguvu ni yule anayeimiliki nafsi yake wakati wa hasira
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakayeelekeza katika jambo la kheri basi atapata malipo mfano wa malipo ya mfanyaji wake
عربي الإنجليزية الأوردية
Mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho basi na aseme la kheri au anyamaze
عربي الإنجليزية الأوردية
Asiyewahurumia watu naye Mwenyezi Mungu Mtukufu hamhurumii
عربي الإنجليزية الأوردية
Aliulizwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kuhusu mambo yatakayowaingiza watu peponi kwa wingi, akasema: "Ni uchamungu na tabia njema
عربي الإنجليزية الأوردية
Haya ni katika imani
عربي الإنجليزية الأوردية
Kutoka kwa Abdillah bin Mas'udi -radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Amesema: Amesema Mtume -rehema na amani ziwe juu yake-: "Shikamaneni na ukweli, kwani ukweli hupelekea katika wema, na hakika wema hupelekea katika pepo
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakayeitetea heshima ya ndugu yake basi Mwenyezi Mungu ataukinga uso wake na moto siku ya Kiyama
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika Mwenyezi Mungu humpenda mja mchamungu, mwenye kutosheka, mnyenyekevu
عربي الإنجليزية الأوردية
Muumini iliyekamilika zaidi imani yake ni yule mwenye tabia nzuri zaidi kuliko wengine, na mbora wenu ni yule mbora wenu kwa wake zake
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika upole hauwi ndani ya kitu isipokuwa hukipendezesha, na hautolewi ndani ya kitu ila hukichafua
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika muumini hufikia kwa sababu ya tabia zake njema daraja ya mfungaji mwenye kusimama usiku
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika katika wabora wenu ni mtu mwenye tabia njema kuliko wote
عربي الإنجليزية الأوردية
Fanyeni mambo kuwa mepesi na wala msiyafanye kuwa magumu, na wapeni watu bishara njema na wala msiwakimbize
عربي الإنجليزية الأوردية
Wenye huruma huwahurumia Ar-Rahmani -Mwingi wa huruma-, wahurumieni walioko ardhini atakuhurumieni aliyeko mbinguni
عربي الإنجليزية الأوردية
Hatomsitiri mja mja mwenzie duniani isipokuwa Mwenyezi Mungu atamsitiri siku ya kiyama
عربي الإنجليزية الأوردية
Wema ni tabia njema, na dhambi ni lile litakalokukereketa katika kifua chako, na ukachukia watu wasilione
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika katika yale waliyoyakuta watu miongoni mwa maneno ya kiutume ya mwanzo, usipokuwa na haya basi fanya ulitakalo
عربي الإنجليزية الأوردية
Hawezi kuwa na imani mmoja wenu mpaka ampendelee ndugu yake anachokipenda yeye katika nafsi yake
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakuna kitu chenye uzito zaidi katika mizani ya muumini siku ya Kiyama kuliko tabia njema, na hakika Mwenyezi Mungu anamchukia mtu muovu mwenye kauli chafu
عربي الإنجليزية الأوردية
Muislamu wa kweli ni yule wanayepata Amani waislamu wenzake kutokana na ulimi wake na mkono wake, na mhamaji ni yule mwenye kuyahama yale aliyoyakataza Mwenyezi Mungu
عربي الإنجليزية الأوردية
Muumini si msemaji watu vibaya wala mtoaji wa laana wala muovu wala mwenye kauli chafu
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakayesimamia chochote kwa watoto wa kike hawa, akawatendea wema, basi watakuwa ni kinga kwake kutokana na moto
عربي الإنجليزية الأوردية
Na hakika Mwenyezi Mungu ameniteremshia wahyi kuwa, kuweni wanyenyevu, mpaka asijikweze yeyote kwa mwingine, na wala asimfanyie uadui yeyote mwenzake
عربي الإنجليزية الأوردية
Ewe Aisha, hakika Mwenyezi Mungu ni Mpole anapenda upole, na hutoa malipo katika upole ambayo hayatoi katika ususuwavu (ukali), na wala hatoi kwa mengineyo
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika kwako wewe kuna mambo mawili anayapenda sana Mwenyezi Mungu: Upole, na utaratibu
عربي الإنجليزية الأوردية
Mlisheni mwenye njaa, na mtembeleeni mgonjwa, na mwacheni huru mateka
عربي الإنجليزية الأوردية
Hana imani asiyekuwa na uaminifu, na hana dini asiyekuwa na ahadi (za kweli)
عربي الإنجليزية الإندونيسية
Je, nisikuelezeni mbora wenu na muovu wenu?
عربي الإنجليزية الأوردية
Hamshukuru Mwenyezi Mungu asiyewashukuru watu
عربي الإنجليزية الأوردية
Msihusudiane, na wala msipandishiane bei, na wala msichukiane, na wala msitengane, na wala wasiuze baadhi yenu juu ya biashara ya wengine, na kuweni waja wa Mwenyezi Mungu ndugu
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika katika watu wanaopendeka zaidi kati yenu kwangu mimi, na atakayekaa karibu zaidi kati yenu na mimi siku ya Kiyama ni yule atakayekuwa na tabia njema zaidi kati yenu
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake na maneno machafu wala mwenye kujilazimisha machafu, wala hakuwa na makelele masokoni, na wala alikuwa halipi ubaya kwa ubaya, lakini alikuwa akisamehe na kufuta kosa
عربي الإنجليزية الأوردية
Kwa hakika nimetumwa ili kutimiliza tabia njema
عربي الإنجليزية الأوردية