عن عبد الله بن عمر رضي الله عنهما مرفوعاً: «الْحَيَاء مِنْ الْإِيمَانِ».
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...

Kutoka kwa Abdillah bin Omar - Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Hadithi Marfu'u: "Haya (Aibu) ni katika imani".
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim

Ufafanuzi

Haya (Aibu) ni katika imani kwasababu mwenye kuona haya anajivua maasi kupitia aibu yake, na anatekeleza wajibu, na hii ni katika athari za imani ya kumuamini Mwenyezi Mungu Mtukufu- pale moyo unapojaa, basi yenyewe humzuia mwenyenayo na maasi na inamuhimiza juu ya wajibu, kwa hilo ikiwa aibu katika nafasi ya imani, kutokana na athari za faida yake kwa muumini.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kivetenamu Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kireno Kimalayo Kitelguu Kunakili kumbukumbu mahala pa kutafsiri Burmese Thai German Kijapani Pashto Kiassam Albanian السويدية الأمهرية
Kuonyesha Tarjama

Katika Faida za Hadithi

  1. Kuhimizwa kujipamba na tabia ya haya kwa kuwa kwake ni katika imani.
  2. Nikuwa haya: Ni tabia inayoleta msukumo wa kufanya mazuri, na kuacha mabaya.
  3. Nikuwa lolote linalokuzuia kufanya kheri haliitwi Aibu bali huitwa ni uoga na uvivu na udhalili na udhaifu na hofu.
  4. Nikuwa haya inaweza kuwa ni kwa Mwenyezi Mungu kwa kuyafanya aliyoyaamrisha na kuyaacha aliyoyaharamisha, na inaweza kuwa haya ni kwa viumbe, na inakuwa kwa kuwaheshimu, na kuwapa nafasi zao.