عن عبد الله بن عمر رضي الله عنهما مرفوعاً: «الْحَيَاء مِنْ الْإِيمَانِ».
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...
Kutoka kwa Abdillah bin Omar - Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Hadithi Marfu'u: "Haya (Aibu) ni katika imani".
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim
Haya (Aibu) ni katika imani kwasababu mwenye kuona haya anajivua maasi kupitia aibu yake, na anatekeleza wajibu, na hii ni katika athari za imani ya kumuamini Mwenyezi Mungu Mtukufu- pale moyo unapojaa, basi yenyewe humzuia mwenyenayo na maasi na inamuhimiza juu ya wajibu, kwa hilo ikiwa aibu katika nafasi ya imani, kutokana na athari za faida yake kwa muumini.