Orodha ya Hadithi

Allah amhurumie mtu ambaye ni mpole anapouza, na anaponunua, na anapo dai deni
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kulikuwa na mtu akiwakopesha watu,basi alikuwa akisema kumwambia kijana wake (Akienda kudai): Ukifika kwa mwenye hali ngumu, basi msamehe, huenda nasi Allah akatusamehe
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika watu wanaotumia mali ya Mwenyezi Mungu pasina haki, hao (wana adhabu ya) moto siku ya Kiyama
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amesema Mwenyezi Mungu: Kila amali ya mwanadamu hiyo ni ya kwake isipokuwa swaumu, bila shaka hiyo ni yangu na mimi ndiye ninayeilipa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayefunga Ramadhani kwa imani na kutaraji malipo toka kwa Allah, atasamehewa madhambi yake yaliyotangulia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Peponi kuna mlango unaoitwa Rayyani, watauingia wafungaji siku ya Kiyama, hato ingia ndani ya Pepo hiyo isipokuwa wafungaji
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Inapokuja Ramadhani hufunguliwa milango ya pepo na hufungwa milango ya moto, na mashetani hufungwa minyororo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayesahau hali yakuwa kafunga akala au akanywa, basi atimize swaumu yake, kwani Mwenyezi Mungu kamlisha na kamnywesha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba Mtume rehema na amani ziwe juu yake alikuwa akikaa itikafu siku kumi za mwisho wa Ramadhani, mpaka alimpomfisha Mwenyezi Mungu, kisha wakakaa itikafu wake zake baada yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akijitahidi katika siku kumi za mwisho, kwa namna ambayo hakujitahidi katika siku zingine
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume -rehema na amani ziwe juu yake- zinapoingia siku kumi (za mwisho wa ramadhani) anauhuisha usiku, na anawaamsha watu wake, na anaongeza juhudi na anakaza kikoi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayefunga siku moja katika njia ya Mwenyezi Mungu, atauweka mbali Mwenyezi Mungu uso wake na moto miaka sabini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Aliniusia mimi kipenzi changu -rehema na amani ziwe juu yake kwa mambo matatu: kufunga siku tatu katika kila mwezi, na rakaa mbili baada ya kuchomoza jua (Dhuhaa), na nisali witiri kabla sijalala
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Chelewesheni kula daku, hakika katika kuchelewesha kula daku kuna baraka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilishuhudia swala ya Idd pamoja na Omari bin Khattwab radhi za Allah ziwe juu yake, akasema: Siku mbili hizi alikataza Mtume rehema na amani ziwe juu yake kufunga ndani yake: Siku ya kufungua kwenu kutoka katika swaumu yenu, na siku nyingine ni ile mnayokula katika vichinjwa vyenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mwenye kusimama usiku wenye cheo (Lailatul Qadri) kwa imani na kutaraji malipo, husamehewa madhambi yake yaliyotangulia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakaye hiji kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na hakufanya matendo mabaya,na hakufanya uwovu, atarudi kama siku aliyozaliwa na mama yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Fuatanisheni kati ya Hija na Umra, kwani huondoa umasikini na madhambi kama moto unavyoondoa uchafu wa chuma, na dhahabu, na fedha, na haina Hija nzuri na safi malipo isipokuwa Pepo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Nikuwa Talbiya (kuitika) kwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake kulikuwa ni: Labbaikallaahumma labbaika -Nimekuitikia ewe Mola nimekutikia, Labbaika laa shariika laka labbaika -Nimekuitikia huna mshirika wako nimekuitikia, Hakika sifa njema na neema zote ni zako pamoja na ufalme, wewe pekee usiye na mshirika
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna siku ambazo matendo mema yanapendeka zaidi ndani yake kwa Mwenyezi mungu kuliko siku hizi" Yaani: Siku kumi (za mwanzo wa Dhul-Hija)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Wapigeni vita washirikina kwa mali zenu na nafsi zenu na ndimi zenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Acha linalokutia shaka fanya lisilokutia shaka, kwani ukweli ni utulivu, na bila shaka uongo ni shaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu amewafutia umma wangu yale yanayozungumzwa na nafsi zao, madamu hayajafanyiwa kazi au kuzungumzwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu hatazami sura zenu na mali zenu, lakini anatazama katika nyoyo zenu na matendo yenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu hupata wivu, na hakika muumini hupata wivu, na wivu wa Mwenyezi Mungu ni pale muumini anapoyafanya yale aliyomharamishia juu yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yaepukeni mambo saba yenye kuangamiza
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hivi nikuelezeni madhambi makubwa?
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Madhambi makubwa: Ni kumshirikisha Mwenyezi Mungu, na kuwaasi wazazi wawili, na kuuwa nafsi, na kiapo cha uongo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
La kwanza litakalohukumiwa kati ya watu siku ya kiyama ni katika damu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayemuua aliyechukua ahadi ya kulindwa, hatonusa harufu ya pepo, na hakika hurufu yake hupatikana kuanzia mwendo wa miaka arobaini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Haingii peponi mkata udugu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayependa kukunjuliwa katika riziki yake, na acheleweshewe ajali yake, basi na aunge udugu wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Muunga udugu si mlipa fadhila, bali muunga udugu ni yule ambaye udugu wake ukikatwa anauunga
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilisema: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, ni nani nimfanyie wema zaidi? Akasema: "Mama yako, kisha mama yako kisha mama yako, kisha baba yako, kisha anayefuata kwa ukaribu kisha anayemfuata kwa ukaribu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hivi mnajua ni nini kusengenya?", Wakasema: Mwenyezi Mungu na Mtume wake ndio wajuzi, akasema: "Ni kumsema ndugu yako kwa yale anayoyachukia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
kila kilevi ni haramu, na atakayekunywa pombe duniani na akafa akiwa mlevi kupindukia na hakutubia, hatoinywa huko akhera
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amemlaani Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Rehema na Amani ziwe juu yake- mtoa rushwa na mpokea rushwa katika hukumu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msihusudiane, na wala msipandishiane bei, na wala msichukiane, na wala msitengane, na wala wasiuze baadhi yenu juu ya biashara ya wengine, na kuweni waja wa Mwenyezi Mungu ndugu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Tahadharini na dhana; kwani dhana ni mazungumzo ya uongo mno
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Haingii peponi mfitinishaji
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Umma wangu wote unasamehewa isipokuwa wenye kutangaza wazi madhambi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Enyi watu hakika Mwenyezi Mungu ameondosha kwenu nyinyi kiburi cha zama za ujinga, na kujifaharisha kwa nasaba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika mtu anayechukiza zaidi kwa Mwenyezi Mungu ni mgomvi mkorofi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Wakikutana waislamu wawili kwa mapanga yao, basi muuaji na muuliwaji wote motoni
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yeyote atakaetubebea silaha dhidi yetu, si miongoni mwetu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msiwatukane wafu, kwani wao tayari wameyapata yale waliyoyatanguliza
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ni haramu kwa mtu kumhama ndugu yake zaidi ya siku tatu, wanakutana, huyu akampuuza huyu na huyu naye akampuuza huyu, na mbora wao ni yule anaye anza kwa salamu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yeyote atakayenidhaminia mimi vilivyo kati ya Taya mbili na vilivyo kati ya miguu yake ninampa dhamana ya Pepo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Asisafiri mwanamke mwendo wa siku mbili mpaka awe pamoja na mume wake, au maharimu yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Sikuacha baada yangu fitina yenye madhara zaidi kwa wanaume kuliko wanawake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Enyi kongamano la vijana mwenye uwezo miongoni mwenu wa kuoa na aoe, kwani ndoa ni sababu ya kuinamisha macho na kulinda tupu, na asiekuwa na uwezo basi ajilazimishe kufunga, hakika funga kwake itakata matamanio
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika dunia ni tamu, ni ya kijani, na hakika Mwenyezi Mungu anakumilikisheni ndani yake aone ni namna gani mtafanya, iogopeni dunia na waogopeni wanawake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilisema: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, ni zipi haki za mke wa mmoja wetu juu yake?, Akasema: "Ni umlishe pale unapokula, na umvishe unapovaa, au utakapopata kipato, na wala usipige uso, na wala usitoe maneno machafu, na wala usihame isipokuwa ndani ya nyumba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Enyi hadhara ya wanawake, toeni sadaka, kwani hakika mimi nilionyeshwa kuwa nyinyi ndio wengi katika watu wa motoni" Wanawake wakasema: Na ni kwa nini ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu? Akasema: "Mnazidisha sana kulaani (kutukana) na mnawapinga waume, na mimi sijapata kuona wapungufu wa akili na dini wenye kuweza kuteka moyo ya mwanaume makini kuliko nyinyi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Tahadharini sana na kuingia/kukaa kwa wanawake" Mtu mmoja katika Maanswari akasema: Ewe Mtume wa Allah vipi kuhusu shemeji? Akasema: "Shemeji ni kifo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna ndoa ila kuwe na walii (Msimamizi)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mwanamke yeyote atakayeolewa bila idhini ya walii wake, basi ndoa yake ni batili" Akasema hivyo mara tatu "Ikiwa atamuingilia basi mahari yake ndio itakuwa kwa ajili ya kile alichokifanya kwake, na ikiwa watazozona basi kiongozi ndiye msimamizi wa asiyekuwa na msimamizi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amelaaniwa mwenye kumuingilia mke wake kinyume na maumbile
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Sharti zenye haki zaidi kwenu nyinyi kuzitekeleza ni zile mlizohalalishia tupu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Dunia ni starehe, na starehe yake bora ni mke mwema
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilimuuliza Mtume rehema na amani ziwe juu yake kuhusu kutazama ghafla, akaniamrisha nigeuze jicho langu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alichinja Mtume rehema na amani ziwe juu yake kondoo wawili wazuri weupe wenye pembe, aliwachinja kwa mkono wake, akasema, Bismillahi Allaahu Akbar, na akaweka mguu wake ubavuni mwao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kikoi cha muislamu kifikie nusu ya muundi, na wala hakuna tabu wala hakuna ubaya kikiwa kati yake na kati ya fundo mbili za miguu, kitakachokuwa chini ya fundo mbili basi hicho ni motoni, na atakayeburuza kikoi chake kwa kiburi hatomtazama Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
“Msivae hariri wala dibaji (Sufi) wala msinywe katika vyombo vya dhahabu au vya fedha, wala msile katika vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu na fedha, kwani ni vyao (Makafiri) katika dunia na sisi ni vyetu Akhera
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Imenyanyuliwa kalamu kwa watu wa aina tatu: Kwa aliyelala mpaka aamke, na kwa mtoto mdogo mpaka abalehe, na kwa mwendawazimu mpaka apate akili
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- amekataza kunyoa kiduku
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kiapo hutoa bidhaa, na hufuta faida
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Punguzeni sharubu na mfuge ndevu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Asiangalie mwanaume katika uchi wa mwanaume mwenzie, wala mwanamke kutazama uchi wa mwanamke mwenzie
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika katika wabora wenu ni mtu mwenye tabia njema kuliko wote
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika muumini hufikia kwa sababu ya tabia zake njema daraja ya mfungaji mwenye kusimama usiku
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Muumini iliyekamilika zaidi imani yake ni yule mwenye tabia nzuri zaidi kuliko wengine, na mbora wenu ni yule mbora wenu kwa wake zake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Aliulizwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kuhusu mambo yatakayowaingiza watu peponi kwa wingi, akasema: "Ni uchamungu na tabia njema
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- ni mtu mwenye tabia nzuri mno kuliko watu wote
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Basi tabia ya Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- ilikuwa ni Qur'ani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akipendezwa sana na kuanzia kulia, katika kuvaa kwake viatu, na kutana kwake nywele, na twahara yake, na katika mambo yake yote
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Mwenyezi Mungu amewajibisha (kufanya) wema katika kila kitu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika waadilifu mbele ya Mwenyezi Mungu watakuwa katika mimbari za nuru, kuliani mwa Allah Mtukufu, na mikono yake yote miwili ni kulia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna kujidhuru wala kusababisha madhara, na atakayedhuru Allah naye atamdhuru, na atakayemtia mtu uzito Mwenyezi Mungu atamtia uzito naye
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
“Mfano wa rafiki mwema na rafiki muovu ni mfano wa mbeba miski na mfua vyuma
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Usikasirike
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mtu hawi na nguvu kwa kupigana miereka, bali mwenye nguvu ni yule anayeimiliki nafsi yake wakati wa hasira
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mambo manne yatakayekuwa kwake atakuwa mnafiki halisi, na itakayekuwa kwake sifa moja kati ya hizo, atakuwa na sifa ya unafiki mpaka aiache: Akizungumza husema uongo, na akiingia makubaliano hufanya hiyana, na akiahidi anakwenda kinyume, na akigombana huvuka mipaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Muumini si msemaji watu vibaya wala mtoaji wa laana wala muovu wala mwenye kauli chafu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Haya ni katika imani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapompenda mtu ndugu yake basi na amueleze kuwa anampenda
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kila wema ni sadaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kila kiungo kwa watu kina sadaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayemtatulia muumini tatizo moja katika matatizo ya dunia, Mwenyezi Mungu atamtatulia yeye tatizo katika matatizo ya siku ya Kiyama
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hautonyanyuka unyayo wa mja siku ya Kiyama mpaka aulizwe kuhusu umri wake aliumaliza katika mambo yapi? Na kuhusu elimu yake aliifanyia kazi katika nini? Na kuhusu mali yake ni wapi aliichuma? Na aliitoa katika mambo gani? Na kuhusu mwili wake aliumaliza katika mambo yapi?
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mwenye kwenda upesi kuwasaidia wajane na maskini ni kama mwenye kupigana katika njia ya Mwenyezi Mungu, au mwenye kusimama usiku na kufunga mchana
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho basi na aseme la kheri au anyamaze
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kamwe!, Usidharau chochote katika wema, hata kama ni kukutana na ndugu ukiwa na uso mkunjufu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kutoka kwa Abdillah bin Mas'udi -radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Amesema: Amesema Mtume -rehema na amani ziwe juu yake-: "Shikamaneni na ukweli, kwani ukweli hupelekea katika wema, na hakika wema hupelekea katika pepo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Asiyewahurumia watu naye Mwenyezi Mungu Mtukufu hamhurumii
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Wenye huruma huwahurumia Ar-Rahmani -Mwingi wa huruma-, wahurumieni walioko ardhini atakuhurumieni aliyeko mbinguni
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Muislamu wa kweli ni yule wanayepata Amani waislamu wenzake kutokana na ulimi wake na mkono wake, na mhamaji ni yule mwenye kuyahama yale aliyoyakataza Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Haki za muislamu juu ya muislamu mwenzake ni tano: Kujibu salamu, na kumtembelea mgonjwa, na kufuata jeneza, na kuitika wito, na kumuombea dua mwenye kupiga chafya
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hamtoingia peponi mpaka muamini, na hamtoamini mpaka mpendane, je nisikufahamisheni juu ya jambo ambalo mkilifanya mtapendana? toleaneni salamu kwa wingi kati yenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ya kwamba mtu mmoja alimuuliza Mtume rehema na amani zimfikie: Ni Uislamu upi bora? Akasema: "Ni, ulishe chakula, na utoe salamu kwa unayemjua na usiyemjua
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Je! nikujulisheni mambo ambayo yakifanyika Allah hufuta madhambi na hupandisha daraja kwa mambo hayo?
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Muumini mwenye nguvu ni bora na anapendeka kwa Mwenyezi Mungu kuliko muumini dhaifu, na katika kila kheri,
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Fanyeni matendo na muwe na msimamo, na tambueni kuwa hatosalimika mmoja wenu kwa sababu ya matendo yake, wakasema: Hata wewe ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu?! Akasema: Hata mimi isipokuwa atakaponifunika mimi Mwenyezi Mungu kwa huruma zake na fadhila zake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuacha Jibrili kuniusia kuhusu jirani, mpaka nikadhania kuwa atamrithisha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayeitetea heshima ya ndugu yake basi Mwenyezi Mungu ataukinga uso wake na moto siku ya Kiyama
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hawezi kuwa na imani mmoja wenu mpaka ampendelee ndugu yake anachokipenda yeye katika nafsi yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika upole hauwi ndani ya kitu isipokuwa hukipendezesha, na hautolewi ndani ya kitu ila hukichafua
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika dini ni nyepesi, na hatoifanyia mkazo dini yeyote ila itamshinda, basi shikamaneni na mfanye kadiri ya uwezo yanayoweza kukuwekeni karibu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Fanyeni mambo kuwa mepesi na wala msiyafanye kuwa magumu, na wapeni watu bishara njema na wala msiwakimbize
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Tulikuwa kwa Omari akasema: "Tumekatazwa kujilazimisha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapo kula mmoja wenu basi na ale kwa mkono wake wa kulia, na atakapo kunywa basi na anywe kwa mkono wake wa kulia, kwani Shetani anakula kwa mkono wake wa kushoto, na anakunywa kwa mkono wake wa kushoto
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe kijana, mtaje Mwenyezi Mungu, na kula kwa mkono wako wa kulia, na kula kile kinachokuelekea
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Allah humridhia mja anapokula chakula akamshukuru juu ya chakula hicho, au akanywa kinywaji chochote akamshukuru kwa kinywaji hicho
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amesimulia kuwa mtu mmoja alikula chakula kwa Mtume Rehema na amani ziwe juu yake kwa mkono wake wa kushoto, akasema: "Kula kwa mkono wako wa kulia", Akasema: Siwezi, akasema: "Kamwe, hutoweza!",
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayekula kitunguusaumu, au kitunguu maji, basi na ajitenge nasi, au ajitenge na msikiti wetu, na akae nyumbani kwake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayekula chakula, akasema: Kila sifa njema zinamstahiki Mwenyezi Mungu aliyenilisha chakula hiki, na akaniruzuku, si kwa ujanja wangu wala kwa nguvu zangu, atasamehewa madhambi yake yaliyotangulia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- anapopiga chafya anaweka mkono wake au nguo yake juu ya kinywa chake, na anapunguza sauti yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kwa hakika Mwenyezi Mungu anapenda ichukuliwe ruhusa yake katika kufanya yaliyo mepesi, kama vile anavyopendelea kwa waja wake kufanya mambo yake aliyowawajibishia kuyafanya
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mwenye kutakiwa kheri na Allah, (Allah) humuonja kutokana na kheri hiyo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Haumpati muislamu uchovu wala maradhi, wala msongo, wala huzuni, wala udhia, wala shida, hata mwiba unaomchoma, isipokuwa anamfutia Mwenyezi Mungu kupitia hilo makosa yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Majaribio hayaachi kumpata muumini wa kiume na muumini wa kike katika nafsi yake, na watoto wake, na mali yake mpaka atakapokutana na Mwenyezi Mungu ilhali hana dhambi hata moja
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ajabu iliyoje ya jambo la muumini, hakika jambo lake lote ni kheri, na hakuna hilo kwa yeyote ila kwa muumini,
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Pindi anapougua mja au akasafiri basi huandikiwa mfano wa yale aliyokuwa akiyafanya akiwa nyumbani tena mwenye afya
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Fanyeni haraka kufanya matendo kuna fitina nzito kama kipande cha usiku wa giza,
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mwenye kutakiwa kheri na Allah humpa ufahamu katika dini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Allah amng'arishe mtu aliyesikia kutoka kwangu chochote akakifikisha kama alivyo sikia, huenda mfikishiwa akawa mwerevu zaidi kuliko aliye sikia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msijifunze elimu kwa ajili ya kujifaharisha kuwa ni katika maulama, wala kwa kujadiliana na wasiokuwa na elimu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mmbora wenu ni yule aliyejifunza Qur'ani na akaifundisha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
walikuwa wakitusomea Aya kumi kutoka kwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake-, hivyo hawakuwa wakichukua Aya kumi zingine mpaka wawe wamekwishayafanyia kazi yaliyo ndani ya aya hizo kumi kwa kujifunza na kuyafanyia kazi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayesoma herufi moja katika kitabu cha Allah basi atapata jema moja kwa herufi hiyo, na jema hilo hulipwa mara kumi mfano wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ataambiwa msomaji wa Qur'ani: Soma na upande daraja, na soma kwa utulivu kama ulivyokuwa ukisoma Duniani, kwa hakika upandaji wa cheo chako utakomea katika Aya ya mwisho utakayoisoma
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Je anapenda mmoja wenu pindi atakaporudi kwa mke wake apate Ngamia watatu wenye mimba na walio nenepa?
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Shikamaneni vizuri na hii Qur'ani, namuapa yule ambaye nafsi ya Muhammadi iko mkononi mwake, hutoroka kwa kasi mno kuliko hata Ngamia katika kamba yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msiyafanye majumba yenu kuwa makaburi, hakika Shetani hukimbia kutoka katika nyumba inayosomwa suratul Baqara ndani yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe baba Mundhir, hivi unaijua aya gani katika kitabu cha Mwenyezi Mungu ambayo ni tukufu zaidi?" Akasema: Nikasema: {Allahu laa ilaaha illa huwal hayyul qayyuum} Al-baqara: Basi akanipiga katika kifua changu, akasema: Nakuombea Mwenyezi Mungu elimu ikupe furaha ewe baba Mundhir
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayesoma aya mbili za mwisho wa suratul Baqara zitamtosheleza
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayehifadhi aya kumi za mwanzo wa suratul Kahf, atakingwa na Dajali". Na katika riwaya nyingine: "Za mwisho wa suratul Kahf
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Dua ndio ibada
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akimtaja Allah katika nyakati zake zote
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna kitu kinachotukuzwa zaidi kwa Allah Mtukufu kuliko dua
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna muislamu yeyote ataomba maombi yasiyokuwa ndani yake na kuomba dhambi wala kukata udugu, isipokuwa Allah atampa kwa maombi hayo moja kati ya mambo matatu: Moja ima amuharakishie maombi yake, au amlimbikizie ili amlipe siku ya Kiyama, au amuondoshee katika mabaya mfano wake" Wakasema: (Maswahaba) kwa hiyo tuzidishe? Akasema: "Allah ni mwenye kuzidisha mara dufu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mkimuomba Allah basi muombeni Firdausi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na amani ziwe juu yake akisema mara kwa mara: “Ewe Mbadilishaji nyoyo, uweke imara moyo wangu katika dini yako.”
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mwenyezi Mungu nitengenezee dini yangu ambayo ndiyo kinga ya jambo langu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi ninakuomba unipe afya katika Dunia na Akhera
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi ninakuomba (unipe) kutoka katika heri zote: zile za haraka na za kuchelewa, kwa ninayo yajua na nisiyo yajua, na ninajikinga kwako kutokana na shari zote zinazokuja haraka na zinazochelewa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika Imani huoza na kudhoofika kwenye mwili wa mmoja wenu kama inavyooza nguo mpya kwa kukaa muda mrefu, basi muombeni Mwenyezi Mungu aifanye Imani kuwa mpya kwenye nyoyo zenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amekwisha ionja ladha ya imani, yule mwenye kumridhia Mwenyezi Mungu kuwa ndiye Mola wake, na Uislamu ndiyo dini, na Muhammad ni Mtume
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
usijekuacha mwisho wa kila swala kusema: Allaahumma ainni alaa dhikrika washukrika wahusni ibaadatika" Ewe Mwenyezi Mungu nisadie katika kukutaja na kukushukuru na kuzifanya vizuri ibada zako
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Palipo karibu zaidi kwa mja na Mola wake ni pale anapokuwa kasujudu,Basi zidisheni dua
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ilikuwa Dua aiombayo zaidi Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake-:ni "Ewe Mola wetu Mlezi, tupe duniani mazuri, na Akhera mazuri, na utukinge na adhabu ya moto
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
“Je, nisiwaambieni matendo bora zaidi kwenu, na masafi zaidi mbele ya Mfalme wenu, na yatakayo kunyanyueni juu zaidi katika daraja zenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
"Umeniuliza kuhusu jambo kubwa, lakini nijepesi kwa yule atakayefanyiwa wepesi na Mwenyezi Mungu Mtukufu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikuwa anapolala kitandani kwake wakati wa kila usiku alikuwa akikusanya viganja vyake, kisha akivipuliza na kuvisomea : {Qul-huwallahu Ahad}, na {Qul-A uudhu birabbil falaq} na (Qul-Auudhu birabbi naas }
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Bwana wa Istighfari (Dua ya kuomba msamaha)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mwenyezi Mungu kwako tumeamka, na kwako tunashinda, na kwako tunakuwa hai, na kwako tutakufa, na kwako tutafufuliwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yeyote atakayesema: Bismillaahi lladhi laa yadhurru ma'asmihi shai un fil Ardhwi walaa fis samaai, wahuwas samiiu'l 'aliim, (Kwa jina la Mwenyezi Mungu ambaye hakuna kinachoweza kudhuru pamoja na jina lake kitu chochote ardhini wala mbinguni, naye ni msikivu na mjuzi) mara tatu, basi halitomfika balaa la ghafla, mpaka atakapoamka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Sema Yeye ni Mwenyezi Mungu mmoja tu" na sura mbili za kinga unapofika nyakati za jioni na nyakati za asubuhi mara tatu, zitakutosheleza kila kitu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mwenyezi Mungu ninajilinda kwa radhi zako kutokana na hasira zako, na salama yako dhidi ya adhabu zako, na ninajilinda kwako kutokana nawe, siwezi kuzidhibiti sifa zako kwa idadi maalum kama ambavyo wewe ulivyoisifu nafsi yako
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Maneno yanayopendeka zaidi kwa Allah ni manne: Sub-haanallah, Al-hamdulillaah, na Laa ilaaha illa llaah, na Allahu Akbar, haidhuru ikiwa utaanza na lolote kati ya hao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayesema: Laa ilaaha illa llaahu wahdahu Laa shariika lahu, Lahul-Mulku walahul hamdu Wahuwa a'laa kulli shai-in qadiir, mara kumi (10)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Maneno mawili mepesi mno katika ulimi, ni mazito mno katika mizani, yanapendeka mno kwa Al-Rahmani (Mwingi wa rehema)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayesema: Sub-haanallahi wabihamdihi, (Ametakasika Mwenyezi Mungu na sifa njema ni zake) kwa siku mara mia moja (100), yatafutwa madhambi yake hata kama yatakuwa na wingi mfano wa povu la Bahari
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Twahara ni nusu ya imani, na kusema Al-hamdulillah neno hilo hujaza mizani, na neno Sub-hanallah neno Alhamdulillah maneno hayo mawili hujaza mizani- au hujaza- sehemu iliyopo kati ya Mbingu na Ardhi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kusema kwangu: Sub-haanallaah, na Alhamdulillaah, na Laa ilaaha illa llaah, na Allaahu Akbaru, kunapendeka sana kwangu kuliko vitu vyote vilizochomozewa na jua
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Dhikiri bora ni: Laa ilaaha Illa llaah: Na dua bora ni: Al-hamdulillah
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayeshuka mahali akasema: Audhubikalimaatillaahit-taammaati min sharri maa khalaqa (Najilinda kwa maneno ya Mwenyezi Mungu yaliyotimia kutokana na shari ya vile alivyoviumba) hakitomdhuru kitu mpaka aondoke mahala pake hapo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakapoingia mmoja wenu msikitini basi aseme: Allaahummaf-tah lii abwaaba rahmatika (Ewe Mola wangu, nifungulie milango ya rehema zako), na akitoka aseme: Allaahumma innii as-aluka min fadhlika (Ewe Mola wangu ninakuomba unipe katika fadhila zako)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Anapoingia mtu nyumbani kwake akamtaja Mwenyezi Mungu wakati wa kuingia kwake na wakati wa chakula chake, Shetani husema: Hakuna malazi kwenu, wala chakula cha usiku
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakayesema: (Laa ilaaha illa llahu, wah-dahu laa sharika lahu, Lahul mulku, Walahul hamdu, Wahuwa alaa kulli shaini Qadiir) kwa siku mara mia moja
عربي Lugha ya kiingereza Kibangali
Alikuwa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake akikaa itikafu katika kila ramadhani siku kumi, ulipofikia mwaka aliofishwa ndani yake alikaa itikafu siku ishirini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilimuendea Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- Nikasema: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, Hakika sisi tuko katika ardhi ya watu wa kitabu, je tule katika vyombo vyao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Atakaye apa juu ya kiapo cha mila isiyokuwa ya uislamu kwa uongo tena kwa makusudi basi atakuwa kama alivyosema
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Je anaweza kulala mmoja wetu akiwa na janaba? Akasema: Ndiyo, atakapotawadha mmoja wenu basi na alale
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mchungeni(mfuatilieni) Muhammadi -Rehema na Amani ziwe juu yake- kwa watu wa nyumba yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
"Haya (Aibu) haiji ila kwa kheri"
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Paliletwa mashtaka kwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- kuhusu mtu anayepata wasiwasi kuwa anapata kitu ndani ya swala (katika vitenguzi vya udhu), Akasema: asiondoke mpaka asikie sauti, au apate harufu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Itakaposimamishwa swala na kikatengwa chakula cha usiku basi anzeni na chakula cha usiku
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Amekataza Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- kuswali baada ya swala ya sub-hi mpaka lichomoze jua, na baada ya laasiri mpaka lizame
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Linganeni sawa katika sijida, na asikunjue mmoja wenu mikono yake kama anavyokunjua mbwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nilimuuliza Anas bin Malik: alikuwa Nabii Rehema na amani za Allah ziwe juu yake- akiswali na viatu vyake? akasema: ndio
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Muabuduni Mwenyezi Mungu peke yake msimshirikishe yeye na chochote, na acheni wanayosema baba zenu, na anatuamrisha swala na ukweli
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Anasema Mwenyezi Mungu Mtukufu: Hana mja wangu muumini toka kwangu malipo yoyote pindi ninapomchukua kipenzi chake katika familia yake duniani kisha akasubiri (malipo mazuri) zaidi ya pepo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yakwamba Nabii -Rehema na Amani ziwe juu yake- alikuwa safarini, akaswali swala ya ishaa ya mwisho, akasoma katika moja ya rakaa mbili kwa sura ya wattin wazzaitun, sijawahi kumsikia yeyote mwenye sauti nzuri au kisomo kizuri zaidi yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Waliamrishwa watu kuwe kuagana kwao kwa mwisho ni katika nyumba (Alka'ba), isipokuwa likaondoshwa hilo kwa mwanamke mwenye hedhi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msiziombee mabaya nafsi zenu,wala msiwaombee vibaya watoto wenu,wala msiziombee vibaya mali zenu,nakhofia dua hizo zisikutane na muda ambao haombwi Mwenyezi Mungu katika muda huo chochote isipokuwa anakujibuni.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hujibiwa mmoja wenu anapokuwa hajafanya haraka: anasema: Nimemuomba Mola wangu, na wala sijaona ananijibu mimi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hebu rudi kwa wazazi wako, na ukaishi nao vizuri
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna kwa baba yako matatizo baada ya leo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Yalikuwa maneno ya Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- ni maneno ya wazi anayaelewa kila mwenye kuyasikia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Je nisikuelezeni kwa kile ambacho ninakiogopea zaidi kwenu nyinyi kuliko hata masihi dajali? Wakasema: Tueleze ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, akasema: Ni shirki iliyofichikana, anasimama mtu kuswali anapendezesha swala yake kwakuwa anaona kuna mtu anamtazama
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kauli ya Mwenyezi Mungu Mtukufu: "Msimfanyie Mwenyezi Mungu washirika na hali nyinyi mnajua, Amesema bin Abbas katika aya hii: Washirika, ni ushirikina, uliofichikana kuliko sauti ya mkanyago wa mdudu chungu katika jiwe kubwa jeusi katika giza nene la usiku.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakika ukubwa wa malipo huendana sawa pamoja na ukubwa wa matatizo, na hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu anapowapenda watu huwapa mtihani; atakayeridhia atapata radhi, na atakayechukia atapata hasira (za Mwenyezi Mungu).
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Waelezeni watu yale wanayoyafahamu, Hivi mnataka akadhibishwe (apingwe) Mwenyezi Mungu na Mtume wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Msilifanye kaburi langu kuwa sikukuu, wala nyumba zenu kuwa makaburi, na nitakieni rehma, kwani dua zenu hunifikia popote mlipo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
kuapa kwangu kwa jina la Mwenyezi Mungu kwa uongo napenda zaidi kuliko kuapa kwa jina la asiyekuwa Mwenyezi Mungu nikisema ukweli
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Mtakapo vaa, na mtakapo tawadha, basi anzeni na kuliani kwenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Ni nini kinachowaogopesha hawa? wanapatwa na ulaini (wanazikubali) katika aya zilizo wazi, na wanaangamia katika aya zinazotatiza
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Kwani hawaharamishi aliyoyahalalisha Mwenyezi Mungu nanyi mkayaharamisha? na wanahalalisha aliyoyaharamisha Mwenyezi Mungu nanyi mkayahalalisha? Nikasema: Ndivyo, Akasema: Basi huko ndiko kuwaabudu.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Nyanyua kichwa chako na sema yasikilizwe, na omba upewe, na taka utetezi utetewe
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu