عن أنس بن مالك رضي الله عنه مرفوعاً: أخبر النبي صلى الله عليه وسلم : "أنه يأتي فيسجد لربه ويحمده [لا يبدأ بالشفاعة أولا]، ثم يقال له: "ارفع رأسك وقل يُسمع، وسَلْ تُعط، واشفع تُشفَّع".
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...

Kutoka kwa Anasi bin Maliki -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Hadithi Marfu'u: Alieleza Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- "kwamba yeye atakuja asujudu kwa Mola wake na amtukuze [hatoanza na kuomba utetezi kwanza], kisha ataambiwa: "Nyanyua kichwa chako na sema yasikilizwe, na omba upewe, na taka utetezi utetewe".
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim

Ufafanuzi

Atakuja Mtume wa Mwenyezi Mungu -Rehema na Amani ziwe juu yake- siku ya kiyama atasujudu kwaajili ya Mwenyezi Mungu, na aombe, kisha amuidhinishe Mwenyezi Mungu katika utetezi mkubwa, na aseme Mola wake kumwambia: Omba upewe, na taka utetezi utetewe, Yaani ombi lako ni lenye kukubalika na utetezi wako ni wenye kukubalika.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kivetenamu Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kireno
Kuonyesha Tarjama