عن عبد الله بن عباس رضي الله عنهما قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : "إياكم والغُلُوَّ؛ فإنما أهلك من كان قبلكم الغُلُوُّ".
[صحيح] - [رواه ابن ماجه وأحمد]
المزيــد ...

Kutoka kwa Abdallah bin Abbasi- Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- Amesema: Amesema Mjumbe wa Mwenyezi Mungu -Rehema na Amani ziwe juu yake- : "Tahadharini na kuchupa mipaka, bila shaka kilichowaangamiza waliokuwa kabla yenu ni kuchupa mipaka".
Sahihi - Imepokelewa na Ibnu Maajah

Ufafanuzi

Anatukataza Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- katika hadithi hii kutochupa mipaka katika dini, nako ni kupita kiasi ndani yake; ili tusiangamie kama zilivyoangamia umma zilizopita pindi walipochupa mipaka katika dini yao na wakavuka kiwango katika ibada zao.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kivetenamu Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kireno Kimalayo Pashto Kiassam السويدية الأمهرية الهولندية الغوجاراتية الدرية
Kuonyesha Tarjama