Orodha ya Hadithi

Namuapa yule ambaye nafsi ya Muhammadi iko mkononi mwake, hatonisikia yeyote katika umma huu, Myahudi wala Mkristo, kisha akafa haliyakuwa hajayaamini yale niliyotumwa kwayo, ispokuwa atakuwa ni katika watu wa motoni.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Umma wangu wote utaingia peponi ispokua atakaye kataa, akaulizwa ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu ni nani atakaye kataa? akajibu: Mwenye kunitii ataingia peponi na mwenye kuniasi atakuwa amekataa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Umejengwa uislamu kwa mambo matano
عربي Lugha ya kiingereza Kiispania
Na hakika aliyoyaharamisha Mjumbe wa Mwenyezi Mungu ni sawa na aliyoyaharamisha Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Kiispania
Nilitoka katika kundi la Bani Aamir kwenda kwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- tukasema: Wewe ni bwana wetu, basi akasema Bwana ni Mwenyezi Mungu -Aliyetakasika na kutukuka.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Nyanyua kichwa chako na sema yasikilizwe, na omba upewe, na taka utetezi utetewe
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Nimepewa mambo matano, hajapewa yeyote katika manabii kabla yangu: nimenusuriwa (nimeepushwa) na hofu kiasi cha kutembea mwezi mzima, na imefanywa ardhi kwangu kuwa ni msikiti na ni mahala twahara (safi)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Siku bora lililochomoza jua ndani yake ni siku ya ijumaa: Ndani yake kaumbwa Adam, na ndani yake kaingizwa peponi, na ndani yake katolewa humo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Alifariki Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- hali yakuwa hakuna chochote nyumbani kwake anachoweza kukila mwenye ini (uhai) ila kiasi kidogo cha ngano kilichokuwa katika ubao wangu (wa kuhifadhia chakula), nikala mpaka kikakaa muda mrefu, nilipokipima kikamalizika
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa