عن جابر بن عبد الله رضي الله عنهما قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «كل معروف صدقة».
[صحيح] - [رواه البخاري]
المزيــد ...
Kutoka kwa Jabiri bin Abdillah Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao, Amesema: Amesema Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Rehema na Amani ziwe juu yake-: "Kila wema ni sadaka".
Sahihi - Imepokelewa na Al-Bukhaariy
Kila wema anaoufanya mwanadamu ni sadaka, na sadaka ni kila anachokitoa mtoaji katika mali, na hii inakusanya sadaka za wajibu na za sunna, akabainisha Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake kuwa kufanya wema kuna hukumu ya sadaka katika malipo na thawabu.