عن عائشة رضي الله عنها ، وعبد الله بن عمر رضي الله عنهما قالا: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «ما زال جبريل يوصيني بالجار، حتى ظننت أنه سيورِّثه».
[صحيح] - [متفق عليه من حديث ابن عمر -رضي الله عنهما-، ورواه مسلم من حديث عائشة -رضي الله عنها]
المزيــد ...

Kutoka kwa Aisha Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Na Abdillah bin Omari Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao-: wamesema: Amesema Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Rehema na Amani ziwe juu yake: "Hakuacha Jibril kuendelea kunihusia kuhusu jirani mpaka nikadhania kwamba yeye atamrithisha".
Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim

Ufafanuzi

Bado Jibrili anaendelea kuniusia kumjali jirani, mpaka nikadhania kuwa utateremka wahyi anaokujanao Jibrili wa kumrithisha jirani.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kihindi Kivetenamu Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kireno Kimalayo Kitelguu Kunakili kumbukumbu mahala pa kutafsiri Burmese Thai German Kijapani Pashto Kiassam Albanian السويدية الأمهرية الهولندية الغوجاراتية
Kuonyesha Tarjama

Katika Faida za Hadithi

  1. Ukubwa wa haki ya jirani na ulazima wa kulichunga hilo.
  2. Kutilia mkazo juu ya haki yake kwa njia ya usia inamaanisha umuhimu wa kumkirimu na kujipendekeza na kumfanyia wema, na kuzuia madhara kwake, na kumtembelea wakati wa maradhi, na kumpongeza wakati wa mambo ya kufurahisha, na kumpa pole wakati wa matatizo.
Ziada