عن عائشة رضي الله عنها ، وعبد الله بن عمر رضي الله عنهما قالا: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «ما زال جبريل يوصيني بالجار، حتى ظننت أنه سيورِّثه».
[صحيح] - [متفق عليه من حديث ابن عمر -رضي الله عنهما-، ورواه مسلم من حديث عائشة -رضي الله عنها]
المزيــد ...
Kutoka kwa Aisha Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Na Abdillah bin Omari Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao-: wamesema: Amesema Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Rehema na Amani ziwe juu yake: "Hakuacha Jibril kuendelea kunihusia kuhusu jirani mpaka nikadhania kwamba yeye atamrithisha".
Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim
Bado Jibrili anaendelea kuniusia kumjali jirani, mpaka nikadhania kuwa utateremka wahyi anaokujanao Jibrili wa kumrithisha jirani.