عن أبي هريرة رضي الله عنه مرفوعاً: «مَنْ حَجَّ، فلَمْ يَرْفُثْ، وَلم يَفْسُقْ، رَجَعَ كَيَوْمَ وَلَدْتُهُ أُمُّهُ».
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...
Kutoka kwa Abuu Hurayra radhi za Allah ziwe juu yake hadithi iliyo rufaishwa kwa Mtume: (Mwenye kuhiji na akawa hakusema maneno machafu wala kutenda matendo machafu, anarudi kama siku alivyo zaliwa na mama yake (akiwa hana dhambi).
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim
Atakae Hiji kwaajili ya Mwenyezi Mungu Mtukufu, na yakawa hayakupatikana kwake maneno machafu, wala matendo mabaya wakati wa kutekeleza ibada, na akawa hakuleta maasi yoyote, anarudi kutoka katika Hija yake akiwa kasamehewa, kama anavyozaliwa mtoto mchanga akiwa kasalimika na madhambi, na hija kufuta madhambi ni maalumu kwa madhambi madogo tu, ama madhambi makubwa ni lazima kufanya toba.