عن سهل بن سعد رضي الله عنهما مرفوعاً: «من يضمن لي ما بين لَحْيَيْهِ وما بين رجليه أضمن له الجنة».
[صحيح] - [رواه البخاري]
المزيــد ...

Kutoka kwa Sahli bin Sa'di Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe Juu yao- Hadithi Marfu'u: "Yeyote atakaye nidhamini kuhifadhi ulimi wake na tupu yake nitamdhamini kuingia peponi"
Sahihi - Imepokelewa na Al-Bukhaariy

Ufafanuzi

Anaelekeza Mtume Rehema na Amani zimfikie katika mambo mawili ambayo anaweza muislamu ikiwa atalazimiana nayo akaingia peponi, ambayo amewaahidi Mwenyezi Mungu waja wake wachamungu, na mambo haya mawili ni kuhifadhi ulimi kutokana na kuzungumza yale yanayomkasirisha Mwenyezi Mungu Mtukufu-, Na jambo la pili ni kuhifadhi utupu kutokana na kuingia katika zinaa.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kivetenamu Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kireno Kimalayo Kitelguu Kunakili kumbukumbu mahala pa kutafsiri Burmese Thai German Kijapani Pashto Kiassam Albanian السويدية الأمهرية الهولندية الغوجاراتية الدرية
Kuonyesha Tarjama

Katika Faida za Hadithi

  1. Kuhifadhi ulimi na utupu kutokana na kuingia katika haramu ni njia ya kuingia peponi.
  2. Nikuwa sababu nyingi za kuingia motoni ni kutohifadhi yaliyo kati ya utupu na ulimi.