عن سهل بن سعد رضي الله عنهما مرفوعاً: «من يضمن لي ما بين لَحْيَيْهِ وما بين رجليه أضمن له الجنة».
[صحيح] - [رواه البخاري]
المزيــد ...
Kutoka kwa Sahli bin Sa'di Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe Juu yao- Hadithi Marfu'u: "Yeyote atakaye nidhamini kuhifadhi ulimi wake na tupu yake nitamdhamini kuingia peponi"
Sahihi - Imepokelewa na Al-Bukhaariy
Anaelekeza Mtume Rehema na Amani zimfikie katika mambo mawili ambayo anaweza muislamu ikiwa atalazimiana nayo akaingia peponi, ambayo amewaahidi Mwenyezi Mungu waja wake wachamungu, na mambo haya mawili ni kuhifadhi ulimi kutokana na kuzungumza yale yanayomkasirisha Mwenyezi Mungu Mtukufu-, Na jambo la pili ni kuhifadhi utupu kutokana na kuingia katika zinaa.