عن النعمان بن بشير رضي الله عنهما عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: «إن الدعاء هو العبادة». ومن حديث أنس رضي الله عنه بلفظ: «الدعاء مُخُّ العبادة».
[حديث النعمان بن بشير: صحيح. حديث أنس بن مالك: ضعيف] - [حديث النعمان -رضي الله عنه-: رواه أبو داود والترمذي وابن ماجه وأحمد. حديث أنس -رضي الله عنه-: رواه الترمذي]
المزيــد ...

Kutoka kwa Nu'man bin Bashir Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- kutoka kwa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake Amesema: "Hakika dua ndiyo ibada" Na katika hadithi ya Anas imekuja kwa lafudhi ya: "Dua ni ubongo wa ibada".
Sahihi - Imepokelewa na Ibnu Maajah

Ufafanuzi

Dua ndiyo ibada: Inaonyesha kuwa kumuomba Mwenyezi Mungu Mtukufu ndiyo asili ya ibada yake ambayo wanaitumia kuabudu waja wake, kwasababu mtu yakikatika matumaini yake kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu na akaonyesha kushindwa, na akampwekesha Mola wake kwa dua, na ukawa moyo wake haujageuka kwa asiyekuwa yeye, basi atakuwa amekiri kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu ukamilifu na kujibu dua, nakuwa yeye ni msikivu na yuko karibu na juu ya kila kitu ni muweza, na hii ndiyo ibada ya uhakika na ndiyo tauhidi halisi. Ama akuli yake: "Dua ni ubongo wa ibada: Maana yake nikuwa uhalisia wa ibada na roho yake ambayo ibada haiwezi kusimama ispokuwa kwayo. kama ambavyo mtu hawezi kusimama ispokuwa kwa ubongo.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kihindi Kivetenamu Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kihausa Kimalayo Kitelguu Kunakili kumbukumbu mahala pa kutafsiri Burmese Thai German Kijapani Pashto Kiassam Albanian السويدية الأمهرية الهولندية الغوجاراتية الدرية
Kuonyesha Tarjama

Katika Faida za Hadithi

  1. Nikuwa dua ni aina kubwa ya ibada.
  2. Nikuwa dua ndio asili na roho ya ibada hivyo haiwezi kusimama bila yenyewe.
  3. Kuhimizwa juu ya dua.
  4. Kupupia kuomba dua kila wakati kwa kile kilichomo miongoni mwa kuzikusanya dhikri kwa ulimi na kujinyenyekeza mbele ya Mwenyezi Mungu.
  5. Nikuwa dua inabeba uhalisia wa kuabudu na kukiri kutosha kwa mwenyezi mungu na uwezo wake Mtukufu na mja kujidhalilisha kwake.
  6. Dua inamzidishia mja ukaribu kwa Mola wake na kuikiri haki yake na kwa kukizunguka kwake Mtukufu kwa maarifa kila kitu na kwa kushindwa kwa mja.