عن أسامة بن زيد رضي الله عنهما مرفوعاً: «ما تركت بعدي فتنة هي أضر على الرجال من النساء».
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...
Kutoka kwa Osama bin zaidi- Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- Hadithi Marfu'u: "Sijaacha baada yangu fitina ambayo inamadhara zaidi kwa wanaume kuliko wanawake".
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim
Ameeleza Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake kuwa wanawake ni sababu kubwa ya fitina, na hilo ni kwasababu ya kushawishi kwao na kupinda kwao katika haki pale wanapotoka na wakachanganyikana na wanaume, na kunapopatikana kukaa nao faragha, na madhara hapa yanakuwa katika dini na dunia.