عن عائشة رضي الله عنها قالت: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : "من أحدث في أمرنا هذا ما ليس منه فهو رد " وفي رواية " مَن عَمِلَ عملًا ليس عليه أمرُنا فهو رَدٌّ".
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...
Kutoka kwa Aisha Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Amesema: Amesema Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Rehema na Amani ziwe juu yake-: "Atakayezua katika dini yetu hii yale yasiyokuwemo, basi yatarejeshwa" Na katika riwaya nyingine "Atakayefanya amali yoyote isiyokuwa ndani yake na maamrisho yetu, basi itarejeshwa".
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim
Kila amali au kauli ambayo haijaendana na sheria katika namna zake zote; kiasi kwamba haujaonyesha ushahidi wake na kanuni zake juu yake, basi hiyo itarejeshwa kwa mfanyaji wake wala haitokubalika kwake.