Aina ndogo

Orodha ya Hadithi

1. Yakwamba mwanamke mmoja alipatikana katika baadhi ya vita vya Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- akiwa kauwawa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
2. Yakwamba Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- Amekataza kuweka nadhiri, na akasema: Hakika nadhiri haiji kwa kheri, na hakika hutolewa kwayo (vilivyo) kwa bahili
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
3. Hakika mimi ninamuapa Mwenyezi Mungu -In shaa Allah- si api juu ya kiapo, nikaona kingine ni bora kuliko hicho isipokuwa nitaleta kilicho bora, na ninajivua nacho
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
4. Msivae hariri; kwani atakayeivaa duniani hatoivaa Akhera
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
5. Jihadi bora ni neno la uadilifu kwa kiongozi muovu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
6. Alikuwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- anapoamka asubuhi anasukutua kinywa chake kwa mswaki
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
7. Amekataza Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- kuswali baada ya swala ya sub-hi mpaka lichomoze jua, na baada ya laasiri mpaka lizame
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
8. Wewe pamoja na uliyempenda
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
9. Mtu huwa katika mwenendo wa rafiki yake wa karibu, basi na aangalie mmoja wenu ni nani anayemfanya kuwa rafiki yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
10. Ewe mwenye kuzigeuza nyoyo uthibitishe moyo wangu katika Dini yako.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
11. Atakapokunywa mbwa katika chombo cha mmoja wenu basi akioshe mara saba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
12. Hapana Mola isipokuwa Mwenyezi Mungu, Ole wao waarabu kutokana na shari iliyokaribia, imefunguliwa leo katika ngome ya Ya-ajuju na Ma-juju mfano wa hiki, na akachora duara kwa vidole vyake viwili, kidole gumba na kile kinachofuata, nikasema: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, Hivi tunaweza kuangamizwa hali miongoni mwetu kuna wema? Akasema: Ndiyo, pindi uchafu utakapokithiri.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
13. Alikuwa Mtume Rehema na Amani zimfikie na haya (aibu) nyingi kuliko msichana bikra akiwa chumbani kwake - 1 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
14. Atakayemuomba Mwenyezi Mungu shahada (yaani kufa shahidi) kwa ukweli, basi atamfikisha daraja ya mashahidi hata kama atafia juu ya godoro lake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
15. Halitoacha kumfika balaa muumini wa kiume na muumini wa kike katika nafsi yake na watoto wake na mali yake mpaka akutane na Mwenyezi Mungu Mtukufu akiwa hana dhambi lolote
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
16. Ni dua ipi inasikilizwa zaidi? Akasema: katikati ya mwisho wa usiku, na mwisho wa swala za faradhi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
17. Ee fulani, una nini wewe? kwani hukuwa unaamrisha mema na unakataza mabaya? atasema: Ndivyo, nilikuwa nikiamrisha mema na wala siyafanyi, na ninakataza mabaya na ninayafanya
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
18. Hili ni jiwe lililotupwa motoni tangu miaka sabini, anaporomoka motoni sasa hivi mpaka kaishia katika kina chake ndio maana mkasikia kishindo chake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
19. Atakaye muandaa mpiganaji katika njia ya Mwenyezi Mungu basi na yeye atakuwa kapigana, na atakayemsimamia mpiganaji katika familia yake basi na yeye atakuwa kapigana
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
20. Hakika mja anaweza kuzungumza neno asilijali ndani yake akateleza kwa neno hilo nakuingia katika moto ambao umbali wake ni baina ya mashariki na magharibi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
21. Na hakuna Nabii aliyetumwa na Mwenyezi Mungu katika umma wowote kabla yangu, isipokuwa anakuwa katika umma wake na watu wake wapendwa na watu wanaoyachukua mafundisho yake na wanafuata amri yake, kisha wanakuja kutofautiana baada yao watu wanaowafuata, wanazungumza yale wasiyoyafanya, na wanafanya ambayo hawakuamrishwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
22. Nimepewa mambo matano, hajapewa yeyote katika manabii kabla yangu: nimenusuriwa (nimeepushwa) na hofu kiasi cha kutembea mwezi mzima, na imefanywa ardhi kwangu kuwa ni msikiti na ni mahala twahara (safi) - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
23. Ewe Mu'adhi, Wallahi hakika mimi ninakupenda, kisha ninakuusia ewe Mu'adhi, hakikisha usiache mwisho wa kila swala kusema: Allaahumma ainniy alaa dhikirika -Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie mimi niweze kukutaja wewe, Washukurika- na kukushukuru, Wahusni ibaadatika -Na kuzifanya vizuri ibada zako.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
24. Amesema Mwenyezi Mungu -Aliyetakasika na kutukuka-: Kila amali ya mwanadamu hiyo ni ya kwake isipokuwa swaumu, bila shaka hiyo ni yangu na mimi ndiye ninayeilipa.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
25. Atakapokutana mmoja wenu na ndugu yake basi na amsalimie, ukiwatenganisha kati yao mti, au ukuta, au jiwe, kisha akakutana naye tena basi amsalimie
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
26. Anafunga shetani juu ya kisogo cha kichwa cha mmoja wenu, pindi anapolala, mafundo matatu, anapiga katika kila fundo: Unatakiwa kulala usiku mrefu basi lala
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
27. Macho ya aina mbili hautoyagusa moto: Jicho lililolia kwa kumuogopa Mwenyezi Mungu, na jicho lililokesha likilinda kwaajili ya Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
28. Nilikutana na Ibrahimu usiku niliochukuliwa, Akasema: Ewe Muhammadi wafikishie umma wako salamu zangu, na uwaeleze kuwa pepo ina udongo mzuri, ina maji matam, nakuwa imenyooka na kulingana sawa, nakuwa mimea yake: ni (kusema) Sub-haana llaah -Ametakasika Mwenyezi Mungu, Na Alhamdulillaah -Kila sifa njema zinamstahiki Mwenyezi Mungu, Na Laa ilaaha illa llaah -Hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu, na Allaahu Akbar -Mwenyezi Mungu Mkubwa. - 1 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa