Aina:
عَنْ أَبِي سَعِيدٍ الخُدْرِيِّ رضي الله عنه قَالَ:

كَانَ النَّبِيُّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ أَشَدَّ حَيَاءً مِنَ العَذْرَاءِ فِي خِدْرِهَا، فَإِذَا رَأَى شَيْئًا يَكْرَهُهُ عَرَفْنَاهُ فِي وَجْهِهِ.
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...

Kutoka kwa Abuu Saidi Al khudriy -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Amesema: Alikuwa Mtume Rehema na Amani zimfikie na haya (aibu) nyingi kuliko msichana bikra akiwa chumbani kwake, alikuwa akiona kitu asichokipenda basi tunajua kwa kumtazama usoni kwake.

الملاحظة
سەرەتا السلام عليكم .من لەبارەی ئەم فەرموودەیە وە زۆرناڕازیم چونکە رسول الله دەچوێنن بە ئافرەت .
النص المقترح لا يوجد...

Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim

Ufafanuzi

Alikuwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- na aibu sana kuliko mwanamke ambaye hajawahi kuolewa, naye ndiye mwanamke mwenye haya kubwa kuliko wanawake wote; kwasababu hajawahi kuolewa na hajawahi kuishi na wanaume, utamuona akiwa na haya chumbani kwake, hivyo Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- ana haya kubwa zaidi kuliko yake, lakini yeye -Rehema na Amani ziwe juu yake- anapoona anachokichukia na yale yanayokwenda kinyume na tabia yake -Rehema na Amani ziwe juu yake- lilikuwa likijulikana hilo usoni mwake.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kireno
Kuonyesha Tarjama

Maana ya Maneno

العَذْرَاء:
البكر، وهي الأنثى التي لم يمسها رجل، سميت به لبقاء عذرتها، وهي ما يكون من التحام في فم الرحم.
الخِدْر:
ناحية في البيت يترك عليها ستر.
Aina tofauti
Ziada