Aina ndogo

Orodha ya Hadithi

1. Niacheni na vile nilivyo kuachieni, hakika waliangamia waliokuwa kabla yenu kwa sababu ya maswali mengi na kuwapinga mitume wao
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
2. Mwenye kunyimwa upole basi kanyimwa kheri yote
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
3. Kutoka kwa Abdillah bin Mas'udi -radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Amesema: Amesema Mtume -rehema na amani ziwe juu yake-: "Shikamaneni na ukweli, kwani ukweli hupelekea katika wema, na hakika wema hupelekea katika pepo - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
4. “Mwenyezi Mungu Mtukufu atawaambia watu wa Motoni wenye adhabu nafuu zaidi siku ya Kiyama: Je, mngekuwa na kitu chochote katika ardhi mngejikomboa nacho? Basi watasema: Ndio
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
5. Alikuwa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake akikaa itikafu katika kila ramadhani siku kumi, ulipofikia mwaka aliofishwa ndani yake alikaa itikafu siku ishirini
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
6. “Mwenye kupigana ili neno la Mwenyezi Mungu liwe juu, basi huyo yuko katika Njia ya Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
7. “Msivae hariri wala dibaji (Sufi) wala msinywe katika vyombo vya dhahabu au vya fedha, wala msile katika vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu na fedha, kwani ni vyao (Makafiri) katika dunia na sisi ni vyetu Akhera
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
8. Atakaye apa juu ya kiapo cha mila isiyokuwa ya uislamu kwa uongo tena kwa makusudi basi atakuwa kama alivyosema - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
9. Ama mimi sikukuapisheni kwa sababu ya kuwatuhumu, lakini Jibril alinijia na kuniambia kuwa Mwenyezi Mungu Mtukufu anajifaharisha kupitia nyinyi, huko kwa Malaika.!
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
10. Nyoosheni safu zenu, kwani hakika kunyoosha safu ni katika ukamilifu wa swala - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
11. "Haya (Aibu) haiji ila kwa kheri"
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
12. Hachukii muumini wa kiume tabia za muumini wa kike, akichukia tabia fulani basi ataridhishwa na tabia nyingine
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
13. “Mnapoingia chooni, msielekee Kibla, wala msikipe mgongo, bali elekeeni Mashariki au Magharibi.”
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
14. Asishike mmoja wenu utupu wake kwa mkono wake wa kulia akiwa anakidhi haja ndogo, na asijifute haja ndogo au kubwa kwa mkono wake wa kulia na asipumulie ndani ya chombo anachonywea
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
15. Yakwamba Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- Alikuwa akinyanyua mikono yake usawa wa mabega yake anapofungua swala,
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
16. Allaahumma baaid bainiy -Ewe Mwenyezi Mungu weka mbali baina yangu- wa baina khatwaayaaya -na baina ya makosa yangu- kamaa baa a'tta bainal mashriqi wal maghribi -kama ulivyoweka mbali baina ya mashariki na magharibi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
17. Hivi nikuhadithieni hadithi kuhusu Dajali ambayo hajawahi kuhadithia Nabii yeyote watu wake! Hakika yeye ni chongo, na hakika atakuja akiwa pamoja na mfano wa pepo na moto,
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
18. Linganeni sawa katika sijida, na asikunjue mmoja wenu mikono yake kama anavyokunjua mbwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
19. “Mfano wa rafiki mwema na rafiki muovu ni mfano wa mbeba miski na mfua vyuma - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
20. Fanyeni haraka kufanya matendo kuna fitina nzito kama kipande cha usiku wa giza, - 4 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
21. Yakwamba Mtume -rehema na amani ziwe juu yake- alikuwa anapo swali anatanua kati ya mikono yake mpaka unaonekana weupe wa kwapa zake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
22. Dinari bora anayoitoa mtu: ni Dinari anayoitoa kwa familia yake, na dinari anayoitoa mtu kwa mnyama wake katika njia ya Mwenyezi Mungu, na dinari anayoitoa kwa watu wake katika njia ya Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
23. Ajabu iliyoje ya jambo la muumini, hakika jambo lake lote ni kheri, na hakuna hilo kwa yeyote ila kwa muumini, - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
24. Namna ya kuoga janaba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
25. Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- anapopiga chafya anaweka mkono wake au nguo yake juu ya kinywa chake, na anapunguza sauti yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
26. “Hakika mtafuata njia za walio kuwa kabla yenu, hatua kwa hatua, na dhiraa kwa dhiraa,
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
27. Nyanyua kichwa chako na sema yasikilizwe, na omba upewe, na taka utetezi utetewe
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
28. Hakuna kuambukizana, wala mikosi ya ndege, wala mkosi wa Bundi, wala mkosi wa Kipanga (Jamii ya ndege). Na mkimbie mwenye ukoma kama unavyomkimbia simba
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
29. Ninamuapa Mwenyezi Mungu, ikiwa Mwenyezi Mungu atamuongoza mtu mmoja kupitia kwako, hilo ni bora zaidi kwako kuliko ngamia wekundu - 4 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
30. Hakika watu wakimuona dhalimu na wasimchukulie hatua, basi wako karibu Mwenyezi Mungu kuwaadhibu wote kwa adhabu yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
31. Namuapa yule ambaye nafsi yangu iko mkononi mwake, hakika mtaamrisha mema, na mtakataza mabaya; au hakika atakuwa karibu zaidi Mwenyezi Mungu kukutumieni adhabu toka kwake, kisha mtamuomba na wala hamtojibiwa - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
32. Je! nikujulisheni mambo ambayo yakifanyika Allah hufuta madhambi na hupandisha daraja kwa mambo hayo? - 6 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
33. “Je, nisiwaambieni matendo bora zaidi kwenu, na masafi zaidi mbele ya Mfalme wenu, na yatakayo kunyanyueni juu zaidi katika daraja zenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
34. Kafaulu ikiwa atakuwa mkweli
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
35. “Siku bora zaidi iliyochomozewa jua ni siku ya Ijumaa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
36. Ameangukia pua (kapata hasara), kisha Ameangukia pua (kapata hasara), kisha Ameangukia pua (kapata hasara), atakayewakuta wazazi wake wawili wakati wa utuuzima, mmoja wao au wote wawili, na akawa hakuingia peponi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
37. Wamepata ushindi wenye kujitenga
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
38. Shikamana na kusujudu kwa wingi kwa ajili ya Allah, kwani hakika wewe huta sujudu kwa ajili ya Allah isipokuwa Allah atakupandisha kwa sijida hiyo daraja, na atakufutia kwa sijida hiyo makosa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
39. Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, ni nani mwenye haki zaidi ya kumfanyia wema wa karibu? akasema: mama yako, kisha mama yako kisha mama yako, kisha baba yako, kisha anayefuata kwa ukaribu kisha nayemfuata kwa ukaribu - 4 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
40. Atakayeswali (wakati) wa baridi mbili ataingia peponi - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
41. Muislamu atakapoulizwa kaburini anashuhudia kuwa hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu, nakuwa Muhammadi ni Mjumbe wa Mwenyezi Mungu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
42. Hakika Mwenyezi Mungu ameniondolea mimi kwa umma wangu (madhambi ya) kukosea na kusahau, na yale waliyolazimishwa - 1 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
43. Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu ananyoosha mkono wake wakati wa usiku ili amsamehe mkosefu wa mchana, na ananyoosha mkono wake wakati wa mchana ili amsamehe mkosaji wa usiku, mpaka jua litakapochomoza kutoka magharibi yake - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
44. Kila kiungo kwa watu kina sadaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
45. Hawezi kuwa na imani mmoja wenu mpaka ampendelee ndugu yake anachokipenda yeye katika nafsi yake - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
46. Atakaye koga siku ya Ijumaa josho la janaba, kisha akatoka katika saa ya kwanza ni kana kwamba katoa sadaka ya ngamia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
47. Atakayekula chakula, akasema: Kila sifa njema zinamstahiki Mwenyezi Mungu aliyenilisha chakula hiki, na akaniruzuku, si kwa ujanja wangu wala kwa nguvu zangu, atasamehewa madhambi yake yaliyotangulia
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
48. Atakayetawadha na akaufanya vizuri udhu, kisha akaja katika swala ya Ijumaa akasikiliza na akanyamaza atasamehewa yale yaliyoko kati ya Ijumaa yake hiyo na Ijumaa ijayo na ziada ya siku tatu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
49. “Ewe mwanadam, maadamu unaniomba na kunitumainia, nitakusamehe uliyo nayo wala sitojali - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
50. Enyi watu, toleaneni salamu na muunge udugu, na mlishe chakula, na msali usiku watu wakiwa wamelala, mtaingia peponi kwa amani
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
51. Hakika dini ni nyepesi, na hatoifanyia mkazo dini yeyote ila itamshinda, basi shikamaneni na mfanye kadiri ya uwezo yanayoweza kukuwekeni karibu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
52. Enyi kongamano la vijana mwenye uwezo miongoni mwenu wa kuoa na aoe, kwani ndoa ni sababu ya kuinamisha macho na kulinda tupu, na asiekuwa na uwezo basi ajilazimishe kufunga, hakika funga kwake itakata matamanio
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
53. Je, nisikujulisheni kitu bora zaidi kuliko hicho mlichoomba? Mtakapokwenda kulala basi msabihini Mwenyezi Mungu; yaani (Sub-haanallaah) mara thelathini na tatu, na mhimidini (Al-hamdulillaah) mara thelathini na tatu, na mtukuzeni (Allahu Akbar) mara thelathini na nne, kufanya hivyo ni bora zaidi kwenu kuliko mfanyakazi.”
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
54. Alikuwa Mtume wa Allah -rehema na amani ziwe juu yake ni mkarimu kuliko watu wote, na alikuwa mkarimu zaidi anapokuwa katika mwezi wa Ramadhani pindi anapokutana na Jibrili
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
55. Atakaye apa akasema katika kiapo chake: Na apa kwa Lata na uzza, basi aseme: Hapana apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu, na atakayesema kumwambia ndugu yake: Njoo tucheze kamari, basi na atoe sadaka
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
56. Je mnajua ni nani aliyefilisika? - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
57. Hakuna yeyote miongoni mwenu, isipokuwa ataongeleshwa na Mwenyezi Mungu siku ya Kiyama bila ya kuwapo na mkalimani yeyote kati yake na Yeye (Allah)
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
58. Atakayesimulia kutoka kwangu mazungumzo ambayo yanaonekana kuwa ni uongo basi huyo ni mmoja kati ya waongo - 4 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
59. alikuwa anapoingia msikitini anasema: "Najilinda kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu, na kwa uso wake mkarimu, na kwa mamlaka yake ya tangu, kutokana na shetani aliyelaaniwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
60. “Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na Kutukuka, atawaambia watu wa Peponi: Enyi watu wa Peponi? Watasema: Labeka tumekuitikia na umetukuka, atasema: Je, mmeridhika? Watasema: Tuna nini mpaka tusiridhike hali yakuwa umetupa mambo ambayo hujampa yeyote katika viumbe wako?
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
61. Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akiosha, au akioga, kwa kibaba kimoja mpaka vibaba vitano, na anatawadha kwa kibaba kimoja
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
62. “Hakuna Muislamu anayetawadha na akautia vizuri udhu wake, kisha akasimama na kuswali rakaa mbili, akielekea kwa moyo wake na uso wake ndani ya rakaa hizo, isipokuwa Pepo itastahiki kwake.” - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
63. Hawaingii Malaika nyumba ambayo ndani yake kuna mbwa au picha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
64. Msiape kwa masanamu, wala kwa baba zenu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
65. Msiwatukane Maswahaba wangu, kwa sababu, lau kama yeyote kati yenu atatoa dhahabu sawa na (mlima) Uhud (katika njia ya Mwenyezi Mungu), basi haiwezi kuwa sawa na theluthi mbili ya kilo ya mmoja wao wala nusu yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
66. Safu bora kwa wanaume ni safu ya kwanza, na safu yenye shari ni ya nyuma, na safu bora kwa wanawake ni safu ya mwisho na yenye shari ni safu ya mwanzo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
67. Hakika swala hizi mbili, ni swala nzito sana kwa wanafiki, na lau kama mngejua malipo yaliyomo basi mngezijia, hata kwa kutambaa kwa magoti
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
68. Hakika Mwenyezi Mungu amewafutia umma wangu yale yanayozungumzwa na nafsi zao, madamu hayajafanyiwa kazi au kuzungumzwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
69. Basi itakapokuja Ramadhani, basi fanya Umra, kwani Umra ndani ya Ramadhani ni sawa na Hija.” - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
70. Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, tunaiona Jihadi kuwa ni amali bora zaidi, basi je tupigane? Akasema: "Hapana, lakini Jihadi iliyo bora zaidi ni Hija iliyokubaliwa
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
71. Nilikuwa pamoja na Mtume rehema na amani ziwe juu yake akafika katika jalala la watu fulani akakidhi haja ndogo akiwa kasimama,
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
72. Msihusudiane, na wala msipandishiane bei, na wala msichukiane, na wala msitengane, na wala wasiuze baadhi yenu juu ya biashara ya wengine, na kuweni waja wa Mwenyezi Mungu ndugu - 2 ملاحظة
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu