عَنْ عِمْرَانَ بْنَ حُصَيْنٍ رضي الله عنه قَالَ: قَالَ النَّبِيُّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ:

«الحَيَاءُ لاَ يَأْتِي إِلَّا بِخَيْرٍ»، وَلِمُسلمٍ: «الْحَيَاءُ خَيْرٌ كُلُّهُ».
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...

Kutoka kwa Imrani bin Huswain -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- Amesema: Amesema Mjumbe wa Mwenyezi Mungu -Rehema na Amani ziwe juu yake-: "Haya (Aibu) haiji ila kwa kheri". na katika riwaya nyingine: "Haya ni kheri yote" Au alisema: "Haya yote ni kheri".
Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim

Ufafanuzi

Haya(Aibu) ni sifa iliyoko katika nafsi inayomsukuma mtu kufanya mazuri au yanayopendeza, na kuacha yanayochafua na kuharibu, na ndio maana haiji isipokuwa kwa kheri, na sababu ya kuja kwa hadithi hii nikuwa mtu mmoja alikuwa akimnasihi ndugu yake kuhusu haya, na akimkataza kuhusu haya, Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- akasema kumwambia maneno haya.

الملاحظة
ةلالغااعاعاغاعتهنمككمنتاغغعهنةووووةىلالالالالالاىةةوظزوةىلا ك
النص المقترح لا يوجد...

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kivetenamu Kisin-hala Kikurdi Kireno
Kuonyesha Tarjama

Maana ya Maneno