Kutoka kwa Suhaib -Radhi za Allah ziwe juu yake- Amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu -rehema na amani ziwe juu yake: "Ajabu iliyoje ya jambo la muumini, hakika jambo lake lote ni kheri, na hakuna hilo kwa yeyote ila kwa muumini, akipatwa na jambo lenye kufurahisha anashukuru ikawa hilo ni kheri kwake, na akipatwa na madhara anasubiri likawa hilo ni kheri kwake."
الملاحظة
hjk
النص المقترح عن صُهيب بن سِنان الرومي رضي الله عنه مرفوعاً: «عجَبًا لِأَمر المُؤمِن إِنَّ أمرَه كُلَّه له خير، وليس ذلك لِأَحَد إِلَّا لِلمُؤمِن: إِنْ أَصَابَته سَرَّاء شكر فكان خيرا له، وإِنْ أَصَابته ضّرَّاء صَبَر فَكَان خيرا له».
[Sahihi] - [Imepokelewa na Imamu Muslim] - [صحيح مسلم - 2999]Ufafanuzi
Anastaajabu rehema na amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake, jambo na hali za muumini kwa namna ya kufurahishwa; Hii ni kwa sababu hali zake zote ni kheri, na sivyo hivyo kwa yeyote isipokuwa Muumini. Mambo mazuri yakimpata, anamshukuru Mwenyezi Mungu kwa hilo, analipwa kwa kushukuru. Ukimpata msiba husubiri na hutaraji malipo kwa Mwenyezi Mungu, na hupata malipo ya subira, hivyo anakuwa katika malipo kwa kila hali.
Katika Faida za Hadithi
Fadhila ya kushukuru nyakati za kheri na kuwa na subira wakati wa dhiki, mwenye kufanya hivyo atapata kheri zote za Dunia na Akhera, na asiyeshukuru juu ya neema, na wala havumilii juu ya msiba atakosa ujira na kupata mzigo (wa dhambi).
Fadhila ya Imani, na kwamba malipo kwa kila hali ni kwa watu wenye imani.
Kushukuru nyakati za kheri na subira wakati wa shida ni miongoni mwa sifa za waumini.
Kuamini maamuzi na Kadari za Mwenyezi Mungu humfanya Muumini kuridhika kabisa na hali zake zote, tofauti na kafiri ambaye hukasirika mara kwa mara pindi anapopatwa na madhara, na akipata neema kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu huacha kumtii Mwenyezi Mungu, na huenda mbali zaidi na kuzitumia katika kumuasi.
Tafsiri:Lugha ya kiingerezaLugha ya KiurduKiispaniaLugha ya KiindonesiaKi ighoriKibangaliLugha ya kifaransaKiturukiLugha ya KirashiaLugha ya KibosniaKisin-halaKihindiKichinaKifursiKivetenamuKitagalogiKikurdiKihausaKirenoKimalayoKitelguuThaiPashtoKiassamالسويديةالهولنديةالغوجاراتيةLuqadda qer-qeesiyaالنيباليةLuqadda yuruubaالليتوانيةالدريةالصربيةالصوماليةLuqadda kiniya ruwadigaالرومانيةالمجريةالتشيكيةالموريLuqadda malgaashkaLuqadda OromahaLuqadda kinaadigaالولوفLuqadda Asarigaالأوكرانيةالجورجيةالمقدونية
+Ufafanuzi+Lugha ya kiingereza+Lugha ya Kiurdu+Kiispania+Lugha ya Kiindonesia+Ki ighori+Kibangali+Lugha ya kifaransa+Kituruki+Lugha ya Kirashia+Lugha ya Kibosnia+Kisin-hala+Kihindi+Kichina+Kifursi+Kivetenamu+Kitagalogi+Kikurdi+Kihausa+Kireno+Kimalayo+Kitelguu+Thai+Pashto+Kiassam+السويدية+الهولندية+الغوجاراتية+Luqadda qer-qeesiya+النيبالية+Luqadda yuruuba+الليتوانية+الدرية+الصربية+الصومالية+Luqadda kiniya ruwadiga+الرومانية+المجرية+التشيكية+الموري+Luqadda malgaashka+Luqadda Oromaha+Luqadda kinaadiga+الولوف+Luqadda Asariga+الأوكرانية+الجورجية+المقدونية