عن أنس بن مالك رضي الله عنه مرفوعاً: أن النبي صلى الله عليه وسلم كان لا يَرُدُّ الطيب.
[صحيح] - [رواه البخاري]
المزيــد ...
Kutoka kwa Anas bin Maliki Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Hadithi Marfu'u: Yakuwa, Alikuwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- hakatai marashi.
Sahihi - Imepokelewa na Al-Bukhaariy
Ilikuwa katika muongozo wa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake- kuwa yeye harudishi marashi wala hayakatai; kwasababu ni rahisi kubebeka na yana harufu nzuri, kama ilivyokuja katika riwaya nyingine.