عن عبد الله بن مالك بن بُحَيْنَةَ رضي الله عنهم : «أن النبي صلى الله عليه وسلم كان إذا صَلَّى فرّج بين يديه، حتى يَبْدُوَ بياضُ إبْطَيْهِ».
[صحيح] - [متفق عليه]
المزيــد ...

Kutoka kwa Abdillahi bin Maliki bin Buhaina -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- "Yakwamba Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- alikuwa anapo swali anatanua kati ya mikono yake mpaka unaonekana weupe wa kwapa lake"
Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim

Ufafanuzi

Alikuwa Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- anaposujudu anaweka mbali miundi ya mikono yake na mbavu zake, ili mikono ipate nafasi yake katika kuinama na kuiegemea, katika kupitiliza kuiachanisha kati yake ulikuwa unadhihiri weupe wa kwapa lake. Na hii ni kwasababu Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- alikuwa ni imamu au peke yake, ama maamuma ambaye jirani yake anakereka kwa kule kutanua kwake; basi haruhusiwi kufanya hivyo.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kisin-hala Ki ighori Kikurdi Kireno الدرية
Kuonyesha Tarjama