Aina: . .
عن أبي هريرة رضي الله عنه: أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال:

«لَا تَجْعَلُوا بُيُوتَكُمْ مَقَابِرَ، إِنَّ الشَّيْطَانَ يَنْفِرُ مِنَ الْبَيْتِ الَّذِي تُقْرَأُ فِيهِ سُورَةُ الْبَقَرَةِ».
[صحيح] - [رواه مسلم] - [صحيح مسلم: 780]
المزيــد ...

Imepokewa kutoka kwa Abuu Huraira -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- amesema:
"Msiyafanye majumba yenu kuwa makaburi, hakika Shetani hukimbia kutoka katika nyumba inayosomwa suratul Baqara ndani yake".

الملاحظة
محمد
النص المقترح لا يوجد...
الملاحظة
مترجم التركية لا يوجد
النص المقترح مترجم التركية لا يوجد

[Sahihi] - [Imepokelewa Imamu Muslim] - [Swahiih Muslim - 780]

Ufafanuzi

Anakataza Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kuyatelekeza majumba kwa kutoka swali ndani yake, yakawa kama makaburi yasiyoswaliwa ndani yake.
Kisha akaeleza -Rehema na amani ziwe juu yake- kuwa Shetani hukimbia nyumba ambayo husomwa suratul Baqara ndani yake.

الملاحظة
Galatooma garuu hadiisota Hunda akkana nuuf gochuu qabdu
النص المقترح Afaan oromo

Katika Faida za Hadithi

  1. Kumependekezwa kuzidisha ibada na swala za sunna ndani ya majumba.
  2. Haifai kuswali makaburini; kwa sababu ni njia katika njia za shirki na kuwakweza wafu, isipokuwa swala ya jeneza.
  3. Katazo la kuswali makaburini limethibiti kwa Masahaba, na kwa sababu hiyo amekataza Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- nyumba kufanywa mfano wa makaburi hakuswaliwi ndani yake.
الملاحظة
بيان فضل سورة البقرة.
الحديث
النص المقترح فضل العلم
Kuonyesha Tarjama
Lugha: Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu Kiispania Ziada (62)
Aina tofauti
  • .