«خَيْرُكُمْ مَنْ تَعَلَّمَ الْقُرْآنَ وَعَلَّمَهُ».
[صحيح] - [رواه البخاري] - [صحيح البخاري: 5027]
المزيــد ...
Imepokewa kutoka kwa Othman -Radhi za Allah ziwe juu yake- kutoka kwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- amesema:
"Mmbora wenu ni yule aliyejifunza Qur'ani na akaifundisha".
Anaeleza Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- yakuwa muislamu bora na aliye na daraja ya juu zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu: Ni yule aliyejifunza Qur'ani, kwa kuisoma na kuihifadhi na kuisoma vizuri na kuielewa na kuitafsiri, na akamfundisha mwingine kile alichonacho katika elimu za Qur'ani pamoja na kuifanyia kazi.
فضل تعلم القرآن الكريم وتجويده، وفضل تعليمه.مضمون بھیجئے
فضل تعلم القرآن الكريم وتجويده، وفضل تعليمه.30ثلا ثون
فضل تعلم القرآن الكريم وتجويده، وفضل تعليمه.التتعلم
خير المُتعلمين مَن يُعَلِّمُ غيرَه لا مَن يَقتصِرُ على نفسِه.تعلم
خير المُتعلمين مَن يُعَلِّمُ غيرَه لا مَن يَقتصِرُ على نفسِه.تعلم