Aina:
عن عثمان رضي الله عنه عن النبي صلى الله عليه وسلم قال:

«خَيْرُكُمْ مَنْ تَعَلَّمَ الْقُرْآنَ وَعَلَّمَهُ».
[صحيح] - [رواه البخاري] - [صحيح البخاري: 5027]
المزيــد ...

Imepokewa kutoka kwa Othman -Radhi za Allah ziwe juu yake- kutoka kwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- amesema:
"Mmbora wenu ni yule aliyejifunza Qur'ani na akaifundisha".

الملاحظة
Ingin bertanya tentang nomor hadis nya
النص المقترح Hadis ke berapa dalam kitab shahih muslim
الملاحظة
tasydidnya
النص المقترح saya butuh tasydidnya
الملاحظة
tasydidnya
النص المقترح saya butuh tasydidnya

[Sahihi] - [Imepokelewa na Al-Bukhaariy] - [Swahiih Al Bukhaariy - 5027]

Ufafanuzi

Anaeleza Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- yakuwa muislamu bora na aliye na daraja ya juu zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu: Ni yule aliyejifunza Qur'ani, kwa kuisoma na kuihifadhi na kuisoma vizuri na kuielewa na kuitafsiri, na akamfundisha mwingine kile alichonacho katika elimu za Qur'ani pamoja na kuifanyia kazi.

الملاحظة
Разъяснение
النص المقترح لا يوجد...
الملاحظة
ترجم
النص المقترح ز
الملاحظة
Tt bu buà
النص المقترح Hu
الملاحظة
0775038982
النص المقترح لا يوجد...

Katika Faida za Hadithi

  1. Kumebainishwa utukufu wa Qur'ani, nakuwa ndio maneno bora; kwani ni maneno ya Allah.
  2. Mwanafunzi bora ni yule anayefundisha wengine, hatosheki kujifunza mwenyewe pekee.
  3. Kujifunza Qur'ani na kuifundisha kunakusanya, kuisoma na maana yake na hukumu zake.
الملاحظة
فضل تعلم القرآن الكريم وتجويده، وفضل تعليمه.
مضمون بھیجئے
النص المقترح قرن کو ایک فضیلت کے طور پر یا ایک فضیلت کے طور پر درست کرنے کے لیے قرآن کا پہلا قدم ہے۔
الملاحظة
فضل تعلم القرآن الكريم وتجويده، وفضل تعليمه.
30ثلا ثون
النص المقترح لا يوجد...
الملاحظة
فضل تعلم القرآن الكريم وتجويده، وفضل تعليمه.
التتعلم
النص المقترح ال قرآن
الملاحظة
خير المُتعلمين مَن يُعَلِّمُ غيرَه لا مَن يَقتصِرُ على نفسِه.
تعلم
النص المقترح لا يوجد...
الملاحظة
خير المُتعلمين مَن يُعَلِّمُ غيرَه لا مَن يَقتصِرُ على نفسِه.
تعلم
النص المقترح لا يوجد...
Kuonyesha Tarjama
Lugha: Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu Kiispania Ziada (63)
Aina tofauti
Ziada