عن عبد الله بن مسعود رضي الله عنه مرفوعاً: "إن من شرار الناس من تُدركهم الساعة وهم أحياء، والذين يتخذون القبور مساجد".
[حسن] - [رواه أحمد]
المزيــد ...
Kutoka kwa Abdillah bin Mas'udi radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Hadithi Marfu'u: "Hakika katika watu waovu ni wale kitakaowakuta kiyama wakiwa hai, na wale wanaoyafanya makaburi kuwa ni misikiti."
Ni nzuri - Imepokelewa na Ahmad
Anaeleza rehema na Amani zimfikie kuhusu wale kitakaowakuta kiyama nao wakiwa hai kuwa wao ni katika watu waovu, na miongoni mwao ni wale wanaoswali katika makaburi na kuyaelekea na wanajenga juu yake vikuba (vibanda) na hii ni tahadhari kwa umma wake usijekufanya pamoja na makaburi ya Manabii wao na wema wao mfano wa kitendo cha watu hao waovu.