Orodha ya Hadithi

Hakika watu wanaotumia mali ya Mwenyezi Mungu pasina haki, hao (wana adhabu ya) moto siku ya Kiyama
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika dunia ni tamu, ni ya kijani, na hakika Mwenyezi Mungu anakumilikisheni ndani yake aone ni namna gani mtafanya, iogopeni dunia na waogopeni wanawake
عربي الإنجليزية الأوردية
Laiti Dunia ingelingana na ubawa wa mbu kwa thamani yake mbele ya Allah mtukufu basi kafiri asingekunywa fundo moja la maji.
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika kila umma una mtihani wake, na mtihani wa umma wangu: ni mali
عربي الإنجليزية الأوردية
Lau kama ningekuwa na dhahabu kubwa mfano wa mlima Uhudi, basi ningependa zisipite siku tatu nikiwa namiliki chochote katika mali hiyo zaidi ya kile ninachokihifadhi kwaajili ya kulipa madeni
عربي الإنجليزية الأوردية
Si chochote dunia katika Akhera isipokuwa ni kama mfano wa mmoja wenu anapoweka kidole chake baharini, kisha atazame kimerudi na nini?
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika mimi ninakuhofieni baada yangu, yale mtakayofunguliwa juu yenu katika maua ya dunia na pambo lake
عربي الإنجليزية الأوردية
Yanamfuata maiti mambo matatu: familia yake na mali yake na matendo yake, vinarudi vitu viwili na kinabakia kimoja: wanarudi familia yake na mali yake, na yanabakia matendo yake
عربي الإنجليزية الأوردية
Moyo wa mzee huendelea kuwa kijana katika mambo mawili: Katika kupenda dunia na matumaini ya muda mrefu
عربي الإنجليزية الإندونيسية
Zidisheni sana kukikumbuka kikata ladha" Yaani: Kifo
عربي الإنجليزية الإندونيسية
Dunia ni Gereza la Muumini na ni Pepo ya Kafiri
عربي الإنجليزية الأوردية
Ewe Hakim, hakika mali hii ni kijani kibichi kitamu
عربي الإنجليزية الأوردية
Ewe Mwenyezi Mungu hakuna maisha bora isipokuwa maisha ya Akhera, basi wasamehe Maanswari (watu wa Madina) na Muhajirina (waliohama kutoka kutoka Makkah)
عربي الإنجليزية الأوردية
Tambueni kuwa dunia imelaaniwa, na vimelaaniwa vilivyomo, isipokuwa kumtaja Mwenyezi Mungu na yanayompendeza, na msomi, au mwanafunzi
عربي الإنجليزية الأوردية
Hivi leo hii nyinyi si mnapata chakula na kinywaji mkitakacho? Kwa hakika mimi nilimuona Nabii wenu rehema na amani ziwe juu yake inafika mahala hapati hata tende mbovu ya kutosha kujaza tumbo lake
عربي الإنجليزية الأوردية
Lau mwanadamu angelikuwa na mabonde mawili ya mali basi angelitafuta la tatu
عربي الإنجليزية الأوردية
Msitengeze mabustani, mkajakuipenda sana dunia
عربي الإنجليزية الأوردية
Nina haja gani mimi na dunia, kwani mimi katika dunia hii ni kama msafiri aliyeshuka chini ya mti kisha akaondoka akauacha
عربي الإنجليزية الإندونيسية
Lilikuwa tandiko la Mtume rehema na amani ziwe juu yake ni kutokana na ngozi, na ndani limejazwa majani ya mitende
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika amefaulu aliye jisalimisha, na akaruzukiwa kujizuia na kuombaomba, na Allah akamkinaisha kwa kile alichompa
عربي الإنجليزية الأوردية