عَنِ شُرَيْحٍ بنِ هانِئٍ قَالَ:

سَأَلْتُ عَائِشَةَ، قُلْتُ: بِأَيِّ شَيْءٍ كَانَ يَبْدَأُ النَّبِيُّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ إِذَا دَخَلَ بَيْتَهُ؟ قَالَتْ: بِالسِّوَاكِ.
[صحيح] - [رواه مسلم]
المزيــد ...

Kutoka kwa Shuraihi bin Hanii, Amesema: Nilisema kumwambia Aisha -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake-: Ni kwa jambo lipi alikuwa akianza nalo Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- Anapoingia nyumbani kwake? Akasema: kwa mswaki.
Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim

Ufafanuzi

Anaeleza Aisha -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- kuwa jambo la kwanza aliloanza nalo -Rehema na Amani ziwe juu yake- wakati wa kuingia kwake nyumbani: Ni mswaki, na sheria ya mswaki anajumuisha nyakati zote, na linatiliwa mkazo hilo: katika nyakati ambazo sheria imefanya kuwa ni sunna, miongoni mwazo: ni wakati wa kuingia nyumbani, na huenda hili likawa ni kwasababu ya maneno mengi yanayojitokeza katika mikusanyiko.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kisin-hala Kikurdi Kihausa Kireno
Kuonyesha Tarjama

Maana ya Maneno